kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Kwa kuanzia hili la mdhara ndio la muhimu zaidi na kwa kweli wamechelewa kuifanyia kazi na kutoa matokeo. I just cant imagine kama wangesema ina madhara....ukizingatia maelfu waliokwisha kunywa pamoja na viongozi kadhaa! Ni kweli kila dawa ina side effects lakini ni kwa kiwango gani cha madhara ukilinganisha na faida yake kwa mtumiaji.
kama kweli walikuwa wanaangalia madhara kwa nini waliacha watu waendelee kunywa?huoni results zinaweza kuwa biased?
Sijawahi kuona dawa isiyo na madhara regardless umuhimu wake kama dawa.kwa hiyo watoto,wazee,vijana,wajawazito,wenye magonjwa ya figo na ini wote hawatapata madhara!poor tanzania ujinga unatuangamiza!
Wanachotakiwa kufanya ni kusitisha matumizi ya hicho kikombe mpaka pale itakapogundulika ni dawa.