Mjadala kuhusu chanzo cha ulimwengu na maisha

Mjadala kuhusu chanzo cha ulimwengu na maisha

Imekuwepo mijadala mingi ya aina hii hapa JF,Kwa hiyo lengo la uzi huu ni kujadili hoja zitakazoletwa bila jazba na hivyo kupanua uwezo wa kujenga hoja.kuna makundi makubwa mawili duniani yaani wanaoamini uwepo wa Mungu(Theism) na imani ya kutokuwepo Mungu au uungu yaani (Atheism) Wote hawa wanakubaliana kuwa ulimwengu upo,hoja ya kwamba ulimwengu una chanzo au hauna umegawanya watu katika makundi matatu makuu hii ni kulingana na utafiti uliofanywa na David Foster Wallace na ninayaainisha kama ifuatavyo:

1.Kundi la kwanza linaamini ulimwengu umekuwepo na hauna chanzo chake yaani The universe has always existed and it has infinite past.

2.Kundi la pili hapa kuna wanasayansi wengi sana wanaamini kwamba ulimwengu ulitokea kutokana na mlipuko ambao haukusababishwa na kitu chochote yaani The universe was popped into existence from nothing with absolutely no cause rejea bigbang theory

3.Kundi la tatu linaamini kwamba ulimwengu ulisababishwa kuwepo na nguvu au kitu nje yake yaani The universe was caused to exist by something outside it.

Hapa ndio mwanzo wa kila ubishi uliopo kuhusu chanzo hivyo Great thinker unaamini kundi lipi liko sahihi?

Mimi na Theist wote tuko kundi namba tatu ,kundi la kwanza halina mashiko kwa sababu utafiti wa kisayansi uliofanyika mwanzoni mwa miaka ya 1960 ulionyesha kwamba kwa namna yoyote ile ulimwengu una chanzo chake,hivyo hoja kuwa umekuwepo haina mashiko.

Kuhusiana na atheist waliobaki wa kundi namba mbili kiranga sijajua uko 1 au 2 ?Hoja ya kwaamba ulimwengu una chanzo chake nakubaliana nalo lakini hoja kwamba "it popped into existence from nothing with absolutely,no cause"hainiingii akilini,ukiangalia ulimwengu huu ambao unajiendesha kwa namna ya kustaajabisha kuna "costants" nyingi sana na zingine zinazidi kugunduliwa na hazibaliliki hii inadhihirisha kwamba kulikuwa na being that caused that existence hata mtaalamu wa sayansi bwana Albert Einstain aliwahi kusema 'Every scientist becomes convinced that the law of nature manifest the existence ofa spirit.Vastly superior to that of man"
na alipoulizwa kuhusu kuwa atheist Einstein alisema 'I am not atheist and i don't think i can call myself an atheist;

HITIMISHO Hivyo mtu yoyote ana haki ya kuamini anachoona kinamfaa na mnisamehe kwa uandishi na makosa ya kiuandishi na pia kila mtu ajitokeze kutetea anachoamini na kujibiana kiustaarabu inaonyesha jinsi gani tumestaarabika.Naungana na Einstein na viongozi wa dini kuwa kundi la tatu.
kundi namba 3 linaweza kuwa na watu wachache lakini likabeba maana nzima yenye uhalisia katika kuleta ukweli wa paradoxy hii...

Katika kuamini uhalisia wa kile kinachodaiwa kuwa ni chanzo cha ulimwengu huu,basi fuatana na mimi hapa chini.....

Nitakusia kidogo but ni hisia zangu na ufahamu wangu...

Kutokana na fundamental laws of nature ,ila watu wachache wanaweza kuwepo kwenye hili kundi..

Kwanza naomba niseme kitu kuwa ,nothing exists from nothing hii ni kwa mujibu wa laws of nature...

(Japo laws of nature are not constant because we can violate them)

There is no spontaneous creation of anything from nothing...!!!!
(According to physical universal laws of nature)

Everything has a source..( St.Aquinas postulates...)

We can not creat a constant from non- mathematical calculation unless it has been assumed ,and mind you that assumed constant never give an absolute answer...
(modern mathematical possibility)

At zero point of creation,there was an energy in a hidden state of non matter that can not be attributed by the present physical laws.....

There must be a constant initial energy from a hidden non- matter state( Vacuum) that resulted into an exprosion of energy that created matter which was set in a continous expansion...

Hiyo nguvu ambayo current Quantum physics kupitia laws zake inashindwa kuielezea pengine niseme hawajashindwa ila ni kutokana na uwezo mdogo wa kugundua hidden forces ila naamini ipo siku kila kitu kitakuwa wazi...

The universe has layers whose driving energy of expansivity rests within........


Physical universe can not tell us the result of Quantitative energy that is a driving force of expansion ,however the fate of the universe landers within the vacuum state in which the antimatter particles that spin under high resolution at Quantam spin na hiyo spining ndo inayosababisha nguvu ya kuespand spacetime hence tunapata matter...


matter is the result of spacetime distortion may be quantum entanglement will make this clearly...

Katika ulimwengu huu kuna matabaka ndani yake ambayo husababisha tabaka jingine( physical universe ) kuzalishwa katika Quantum expansion maalumu.....

Twende taratibu.....

Ni kama kuwa na tunda bila kokwa ndani.....inawezekana???

Ili tunda liendelee kukua lazima kokwa la ndani ambalo ni kama energy reservoir au energy store ya kudrive tunda kuendelea kukua...

Pengine a question can rise, where is a source ya hilo kokwa na energy yake.....???


Lakini kupitia Quantaum physics ya Antimatter zitakazogunduliwa( zimeshaanza kugunduliwa) kwenye vaccum state basi tutakuwa tumejua chanzo cha nguvu hiyo na ndo nguvu iliyosababisha expansion ya utupu huu ambao umeruhusu maisha ya kila kiumbe...


Kama tutaweza kugundua Anti matter ambazo zina properties tofauti na matter basi hilo litakuwa jambo ambalo utakuwa mwanzo wa kuamini kuwa nothing creates something,......

( Remember,Matter inaundwa na atom,ambayo nayo inaundwa na subatomic particles kama Electrons,neutrons na protons...so when we speak about antimatter, means particles with reverse of their particle duality of nature,they are not particles in such kama Louis de Broglie na wengine walivyostate kwenye Quantum scale ya Sunspensive electromagnetic wave form nature ya any subatomic particle,sasa hizi antimatter hazina tabia hizo hence zinaviolate Wave form quantum scale katika duality nature....hapa watu wa physics wanaelewa...[emoji4]


Laws of physics ambazo zinakataa au zinafeli kuelezea kuwa nothing creates something zitakuwa zimefikia mwisho na hapo ndipo tutaweza kutengeneza possibility from impossibility...

Antimatter ni something that is opposite to a real particle..,if a particle is created from antiparticle( something non particle ) hence we can create particles from nothing and that is what the universe was created...

The universe was created from antiparticles ( Antimatter ) contained in the vacuum state that doesnt follow the principle laws of physics...

Je ! Antiparticle zinawezaje kuswitch automatic expansion???

Pengine ndo swali ambalo mtu anaweza kujiuliza...

But mind you kuwa ,antiparticle do not exhibit physical laws ambazo zinahitaji primary source ya kuwa na tresor( source) ya kuendesha ...

Ni self generating particle with highest spinning quantum possibility ya kutoa unmeasurable energy ambayo inasababish expansion ya vacuum ambayo inagenerate physcal matter ambayo ndo inaunda physical universe...

The antimatter discovery will solve the paradoxy on how the initial universe started together with formulation of its universal laws that govern existance of matter within the spacetime continuum...

within the state where Antimatter regenerates,there are no laws that govern the spinning collisions between the antimatter thus why the process is self driving....

But keep waiting ,modern Quantum posibility ya Dark energy inaenda kutoa jibu sahihi la where we came from plus the fate of the universe...
 
Swali la kijinga kabisa Mimi nilizaliwa na walionizaa pia walizaliwa sio walitokea tu kama yesu alivyotokea kimazingaombwe
Jiulize chanzo chako wewe kwanza then ndo uje uulize chanzo cha Mungu.Jiulize kwanza wewe ulitokea wapi?.
 
Huyo Kiranga anasemaga kuwa hataki kuamini,hivyo nafikiri akija kuelezea msimamo wake atakuja na uthibitisho kabisa.
muite aje achague kundi ,moja hapo halafu twende sawa
 
OK. Ngoja niingie Chimbo kwanza but summary of my point ni kwamba GOD (MUNGU) ni Jina LA kiimani ambalo kisayansi ndiyo very small particle zilizohusika Kati Big Bang ya evolution of the universe. Nimejalibu kufatilia kuumbwa Kwa ulimwengu Kwa siku sita Kama vitabu vya ndini vinavyosema nikalingalisha na history ya geological evolution of the Earth nikaona matukia ya kutokea viumbe vilivyo hai na visivyo hai vinafanana Sana kimrorongo. Tofauti ni muda yaani ninaamanisha Kuwa Mungu aliposema ikawa usiku ikawa asubuhi Huku katika geology inachukua millions of years hilo tukio kukamilika. Nitarudi badae.
Kama umeiangalia vizuri bila shaka umeona quote ya Einstain ,mtu na sayansi yake anaamini Mungu yupo.
 
Swali la kijinga kabisa Mimi nilizaliwa na walionizaa pia walizaliwa sio walitokea tu kama yesu alivyotokea kimazingaombwe
Jibu la kijnga kabisa,Ulizaliwa tu?.Am talking about the origin of our ancestor,We kwa akili yako unafikiri sijui kama tumezaliwa?.
 
Mungu alitokea wapi maana kila kitu complex kina creator wake
Jibu la kijnga kabisa,Ulizaliwa tu?.Am talking about the origin of our ancestor,We kwa akili yako unafikiri sijui kama tumezaliwa?.
 
Mimi ni BUDHAA. Sidanganyiki na hila zako.Nitaendelea kufanya ibada na kuamini uwepo wa MUNGU mpaka mwisho.
...kama itakupendeza tafuta muda utuwekee thread inayohusiana na Buddha hapa mkuu,..kwa maana imani yenu kwa ujumla vile utakavyoweza kuelezea.
....thanking you in advance.

Igwe
 
Kama wewe mwenyewe binadamu umetokana na majimaji badae ukatokea wewe ukiwa na mifupa na nyama huna sababu ya kujiuliza mara mbili kuwa mungu yupo au hayupo jibu mungu yupo
 
Back
Top Bottom