Mjadala kuhusu chanzo cha ulimwengu na maisha

Mjadala kuhusu chanzo cha ulimwengu na maisha

..halafu walokole wanakurupuka kuja na majibu simple kabisa
Mkuu mi sio mlokolee..alaf kama vilee haujaielewa comment yangu. Hilo nilotoa apo sio jibu but navyojua thread kama hizi nzuri wengi wanao ziharibu ni wachangiaji. So far mimi ni m islam. Na majibu yote ya existence of university nayapata mule. Si muda ntashuka na ushahidi sema wengi wawapingaji hawawayaamini.
 
Mkuu mi sio mlokolee..alaf kama vilee haujaielewa comment yangu. Hilo nilotoa apo sio jibu but navyojua thread kama hizi nzuri wengi wanao ziharibu ni wachangiaji. So far mimi ni m islam. Na majibu yote ya existence of university nayapata mule. Si muda ntashuka na ushahidi sema wengi wawapingaji hawawayaamini.
..my bad,I draw it back
..back to this comment of yours,_uje na majibu yenye logic sio hizo riwaya zilizokopiwa na kupestiwa kutoka kwenye biblia mnazoziita korani mkuu
....actually tujifunze kujibu hoja kwa mantiki ili angalau tueleweke kuliko kuleta ushahidi wa hizo hadithi za kale za waaarabu na wayahudi
 
..my bad,I draw it back
..back to this comment of yours,_uje na majibu yenye logic sio hizo riwaya zilizokopiwa na kupestiwa kutoka kwenye biblia mnazoziita korani mkuu
....actually tujifunze kujibu hoja kwa mantiki ili angalau tueleweke kuliko kuleta ushahidi wa hizo hadithi za kale za waaarabu na wayahudi
Science without religion is lame,Religion Without Science is Blind. By Albert
 
Mjadala ni mzuri sana ukilinganisha na unyeti wake wa iutafuta ukweli na maana halisi ya Maisha ya viumbe hai na visivyo hai piam

natamani kuongea kitu lakini nashindwa nianzie wapi na nimalizie wapi.

naogopa kufunga mjadala kwa kile nijachotaka kuandika na tukaharibu uzuri wa mada.

Naomba kukumbusha mambo Muhimu matatu ya msingi katika kuchunguza ukweli wa mambo.

Hoja itakayokuwa imeletwa humu ili kutetea kundi lolote kati ya haya

1.Kundi la kwanza linaamini ulimwengu umekuwepo na hauna chanzo chake yaani The universe has always existed and it has infinite past.

2.Kundi la pili hapa kuna wanasayansi wengi sana wanaamini kwamba ulimwengu ulitokea kutokana na mlipuko ambao haukusababishwa na kitu chochote yaani The universe was popped into existence from nothing with absolutely no cause rejea bigbang theory

3.Kundi la tatu linaamini kwamba ulimwengu ulisababishwa kuwepo na nguvu au kitu nje yake yaani The universe was caused to exist by something outside it.

Ni lazima hoja hio ipimwe Vitu vitatu

1. Logic(Mantiki)

2.Science

3.Common Sense


kwa makundi yote matatu yanawajibu wa kupima hoja zao katika vipimo hivyo maana wote kwa ujumla hakuna anayepingana na vitu hivyo vitatu.

asante mtoa mada
 
..my bad,I draw it back
..back to this comment of yours,_uje na majibu yenye logic sio hizo riwaya zilizokopiwa na kupestiwa kutoka kwenye biblia mnazoziita korani mkuu
....actually tujifunze kujibu hoja kwa mantiki ili angalau tueleweke kuliko kuleta ushahidi wa hizo hadithi za kale za waaarabu na wayahudi
Tuanzie hapa kwenye "logic"

We we unataka logic ya namna gani.au mpakaa mpate maneno ya watu weupe ndy mnayaamini Unajua msipinge tu vitabu vingine bila kuchunguza kwa undani..


Lazma uzame ndani ya hivyo vitabu uchimbue ujue kinachosemwa sio kukurupuka tu na kutoa hitimisho.
 
mshana jr alisemaga "Unapoishia uchawi sayansi ndiko inakoanzia"
Naamini katika maandiko kuwa Mungu aliumba Dunia na vilivyomo vyote (vinavyoonekana na visivyoonekana)
 
( إِلَيْهِ مَرْجِعُكُمْ جَمِيعًا ۖ وَعْدَ اللَّهِ حَقًّا ۚ إِنَّهُ يَبْدَأُ الْخَلْقَ ثُمَّ يُعِيدُهُ لِيَجْزِيَ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ بِالْقِسْطِ ۚ وَالَّذِينَ كَفَرُوا لَهُمْ شَرَابٌ مِّنْ حَمِيمٍ وَعَذَابٌ أَلِيمٌ بِمَا كَانُوا يَكْفُرُونَ )

يونس (4) Yunus

Kwake Yeye tu ndio marejeo yenu nyote. Hii ni ahadi ya Mwenyezi Mungu iliyo ya kweli. Hakika Yeye ndiye aliye anzisha uumbaji, na kisha ataurejesha ili awalipe kwa uadilifu wale walio amini na wakatenda mema. Na walio kufuru, wao watapata vinywaji vinavyo chemka, na adhabu chungu kwa sababu ya walivyo kuwa wakikufuru.


( هُوَ الَّذِي جَعَلَ الشَّمْسَ ضِيَاءً وَالْقَمَرَ نُورًا وَقَدَّرَهُ مَنَازِلَ لِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ ۚ مَا خَلَقَ اللَّهُ ذَٰلِكَ إِلَّا بِالْحَقِّ ۚ يُفَصِّلُ الْآيَاتِ لِقَوْمٍ يَعْلَمُونَ )

يونس (5) Yunus

Yeye ndiye aliye lijaalia jua kuwa na mwangaza, na mwezi ukawa na nuru, na akaupimia vituo ili mjue idadi ya miaka na hisabu. Mwenyezi Mungu hakuviumba hivyo ila kwa Haki. Anazipambanua Ishara kwa watu wanao jua.


( خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ بِالْحَقِّ ۖ يُكَوِّرُ اللَّيْلَ عَلَى النَّهَارِ وَيُكَوِّرُ النَّهَارَ عَلَى اللَّيْلِ ۖ وَسَخَّرَ الشَّمْسَ وَالْقَمَرَ ۖ كُلٌّ يَجْرِي لِأَجَلٍ مُّسَمًّى ۗ أَلَا هُوَ الْعَزِيزُ الْغَفَّارُ )

الزمر (5) Az-Zumar

Ameumba mbingu na ardhi kwa Haki. Hufunika usiku juu ya mchana, na hufunika mchana juu ya usiku. Na amefanya jua na mwezi vitumike. Kila kimojapo kinakwenda kwa kipindi kilicho wekewa. Jueni mtanabahi! Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kusamehe!


( اللَّهُ الَّذِي خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا فِي سِتَّةِ أَيَّامٍ ثُمَّ اسْتَوَىٰ عَلَى الْعَرْشِ ۖ مَا لَكُم مِّن دُونِهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا شَفِيعٍ ۚ أَفَلَا تَتَذَكَّرُونَ )

السجدة (4) As-Sajda

Mwenyezi Mungu ndiye aliye umba mbingu na ardhi na viliomo baina yao kwa siku sita, na akatawala kwenye Kiti cha Enzi. Nyinyi hamna mlinzi wala mwombezi isipo kuwa Yeye tu. Basi, je, hamkumbuki?



Hizo ni aya za mwingi Wa rehma mwenye kurehem. Kaaleza wazi kuwa ulimwengu huu mnauona yeye ndiyo muanzilishi.


Ukirejea kwenye mada baina ya makundi hayo yaliyotajwa na muandishi. Binafsi nipo kwenye kundi la tatu ila pale walipokosa jibu rejea "something outside" Mimi nimelipata jibu hilo kwenye Qur'an.


Hivyo basi muanzilishi na mlezi Wa ulimwengu wotee nii "Allah"
 
( إِلَيْهِ مَرْجِعُكُمْ جَمِيعًا ۖ وَعْدَ اللَّهِ حَقًّا ۚ إِنَّهُ يَبْدَأُ الْخَلْقَ ثُمَّ يُعِيدُهُ لِيَجْزِيَ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ بِالْقِسْطِ ۚ وَالَّذِينَ كَفَرُوا لَهُمْ شَرَابٌ مِّنْ حَمِيمٍ وَعَذَابٌ أَلِيمٌ بِمَا كَانُوا يَكْفُرُونَ )

يونس (4) Yunus

Kwake Yeye tu ndio marejeo yenu nyote. Hii ni ahadi ya Mwenyezi Mungu iliyo ya kweli. Hakika Yeye ndiye aliye anzisha uumbaji, na kisha ataurejesha ili awalipe kwa uadilifu wale walio amini na wakatenda mema. Na walio kufuru, wao watapata vinywaji vinavyo chemka, na adhabu chungu kwa sababu ya walivyo kuwa wakikufuru.


( هُوَ الَّذِي جَعَلَ الشَّمْسَ ضِيَاءً وَالْقَمَرَ نُورًا وَقَدَّرَهُ مَنَازِلَ لِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ ۚ مَا خَلَقَ اللَّهُ ذَٰلِكَ إِلَّا بِالْحَقِّ ۚ يُفَصِّلُ الْآيَاتِ لِقَوْمٍ يَعْلَمُونَ )

يونس (5) Yunus

Yeye ndiye aliye lijaalia jua kuwa na mwangaza, na mwezi ukawa na nuru, na akaupimia vituo ili mjue idadi ya miaka na hisabu. Mwenyezi Mungu hakuviumba hivyo ila kwa Haki. Anazipambanua Ishara kwa watu wanao jua.


( خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ بِالْحَقِّ ۖ يُكَوِّرُ اللَّيْلَ عَلَى النَّهَارِ وَيُكَوِّرُ النَّهَارَ عَلَى اللَّيْلِ ۖ وَسَخَّرَ الشَّمْسَ وَالْقَمَرَ ۖ كُلٌّ يَجْرِي لِأَجَلٍ مُّسَمًّى ۗ أَلَا هُوَ الْعَزِيزُ الْغَفَّارُ )

الزمر (5) Az-Zumar

Ameumba mbingu na ardhi kwa Haki. Hufunika usiku juu ya mchana, na hufunika mchana juu ya usiku. Na amefanya jua na mwezi vitumike. Kila kimojapo kinakwenda kwa kipindi kilicho wekewa. Jueni mtanabahi! Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kusamehe!


( اللَّهُ الَّذِي خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا فِي سِتَّةِ أَيَّامٍ ثُمَّ اسْتَوَىٰ عَلَى الْعَرْشِ ۖ مَا لَكُم مِّن دُونِهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا شَفِيعٍ ۚ أَفَلَا تَتَذَكَّرُونَ )

السجدة (4) As-Sajda

Mwenyezi Mungu ndiye aliye umba mbingu na ardhi na viliomo baina yao kwa siku sita, na akatawala kwenye Kiti cha Enzi. Nyinyi hamna mlinzi wala mwombezi isipo kuwa Yeye tu. Basi, je, hamkumbuki?



Hizo ni aya za mwingi Wa rehma mwenye kurehem. Kaaleza wazi kuwa ulimwengu huu mnauona yeye ndiyo muanzilishi.


Ukirejea kwenye mada baina ya makundi hayo yaliyotajwa na muandishi. Binafsi nipo kwenye kundi la tatu ila pale walipokosa jibu rejea "something outside" Mimi nimelipata jibu hilo kwenye Qur'an.


Hivyo basi muanzilishi na mlezi Wa ulimwengu wotee nii "Allah"
...shida sana kwa kweli,
...ndio hivyo lakin,tulishaingizwa mkenge tangu tukiwa vitoto kujinasua ni ngumu mno

....
 
( إِلَيْهِ مَرْجِعُكُمْ جَمِيعًا ۖ وَعْدَ اللَّهِ حَقًّا ۚ إِنَّهُ يَبْدَأُ الْخَلْقَ ثُمَّ يُعِيدُهُ لِيَجْزِيَ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ بِالْقِسْطِ ۚ وَالَّذِينَ كَفَرُوا لَهُمْ شَرَابٌ مِّنْ حَمِيمٍ وَعَذَابٌ أَلِيمٌ بِمَا كَانُوا يَكْفُرُونَ )

يونس (4) Yunus

Kwake Yeye tu ndio marejeo yenu nyote. Hii ni ahadi ya Mwenyezi Mungu iliyo ya kweli. Hakika Yeye ndiye aliye anzisha uumbaji, na kisha ataurejesha ili awalipe kwa uadilifu wale walio amini na wakatenda mema. Na walio kufuru, wao watapata vinywaji vinavyo chemka, na adhabu chungu kwa sababu ya walivyo kuwa wakikufuru.


( هُوَ الَّذِي جَعَلَ الشَّمْسَ ضِيَاءً وَالْقَمَرَ نُورًا وَقَدَّرَهُ مَنَازِلَ لِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ ۚ مَا خَلَقَ اللَّهُ ذَٰلِكَ إِلَّا بِالْحَقِّ ۚ يُفَصِّلُ الْآيَاتِ لِقَوْمٍ يَعْلَمُونَ )

يونس (5) Yunus

Yeye ndiye aliye lijaalia jua kuwa na mwangaza, na mwezi ukawa na nuru, na akaupimia vituo ili mjue idadi ya miaka na hisabu. Mwenyezi Mungu hakuviumba hivyo ila kwa Haki. Anazipambanua Ishara kwa watu wanao jua.


( خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ بِالْحَقِّ ۖ يُكَوِّرُ اللَّيْلَ عَلَى النَّهَارِ وَيُكَوِّرُ النَّهَارَ عَلَى اللَّيْلِ ۖ وَسَخَّرَ الشَّمْسَ وَالْقَمَرَ ۖ كُلٌّ يَجْرِي لِأَجَلٍ مُّسَمًّى ۗ أَلَا هُوَ الْعَزِيزُ الْغَفَّارُ )

الزمر (5) Az-Zumar

Ameumba mbingu na ardhi kwa Haki. Hufunika usiku juu ya mchana, na hufunika mchana juu ya usiku. Na amefanya jua na mwezi vitumike. Kila kimojapo kinakwenda kwa kipindi kilicho wekewa. Jueni mtanabahi! Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kusamehe!


( اللَّهُ الَّذِي خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا فِي سِتَّةِ أَيَّامٍ ثُمَّ اسْتَوَىٰ عَلَى الْعَرْشِ ۖ مَا لَكُم مِّن دُونِهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا شَفِيعٍ ۚ أَفَلَا تَتَذَكَّرُونَ )

السجدة (4) As-Sajda

Mwenyezi Mungu ndiye aliye umba mbingu na ardhi na viliomo baina yao kwa siku sita, na akatawala kwenye Kiti cha Enzi. Nyinyi hamna mlinzi wala mwombezi isipo kuwa Yeye tu. Basi, je, hamkumbuki?



Hizo ni aya za mwingi Wa rehma mwenye kurehem. Kaaleza wazi kuwa ulimwengu huu mnauona yeye ndiyo muanzilishi.


Ukirejea kwenye mada baina ya makundi hayo yaliyotajwa na muandishi. Binafsi nipo kwenye kundi la tatu ila pale walipokosa jibu rejea "something outside" Mimi nimelipata jibu hilo kwenye Qur'an.


Hivyo basi muanzilishi na mlezi Wa ulimwengu wotee nii "Allah"
Mkuu sio kwamba umepitia ShortCut na Kuwafungia Wengine nje?
 
...kwamba unaamini kila MTU anaiamini hiyo kuran na Allah wake...ni sawa na mimi nianze kutumia Things Fall Apart kujustfy hoja zangu...sijui kama watu watanielewa
Hapana mimi nimesema kwa mtazamo wangu tu. Wapo wengine watakuja kwa mitazamo yao na Mimi siwezi kuwaingilia sababu ni misimamo yao tayari.

Masala haya huwa hayalazimishwi ni kitendo cha kumfikishia mtu mwenyewe akiona ni sawa basi na afuate. Kinachomata ni je? Kile kilicho Elezwa ni sahihi kusudio ni kuwa kina make sense. Je? Kinapimika na kipo logic ?

Sio mtu unakuja na ushahidi ambao ukiuangalia ata wewe mwenyewe utakuta kuna mapungufu. Swala sio Ku judge kitabu Bali ni Ku judge kile kilichoandikwa ndani. Apo ndiyo utajua kuwa ni sahihi au sio sahihi in hayo tu mkuu.
 
Mkuu Kivipi ?
Ngoja Wengine waje ambao wako nje na Imani hizi mbili (christian&islamic).

kila mmoja anapaswa kuchambua vile anaelewa na anavyofahamu kwa upande wake, hakuna hoja dhaifu kama inapimika na kueleweka vizur.

Kila mmoja Apa Jf hakuna asiyefahamu habari za Mungu na kazi zake hata wale wanaompinga lakini wanafahamu hilo japo wanapinga.

Upande wako upo kundi la tatu lakini yapo makundi kawili mengine nayo yanahoja za msingi kwa upande wao.

kingine nisichodhani ni kuwa tunapojadili mambo mbambali nje ya Biblia na quran Mungu anachukia.

Tujadili kwa Free Mind ambayo haifungwi na chochote maana ukweli unasimama pale pale, nikiwa na maana kuwa kwasababu ukweli haupingiki basi mwisho wa siku tutarudi kwenye msingi ule ule ambao ndio ukweli(Mungu).

Wengine hawaamini Mungu Yupo(hili sio kosa letu) hawataki kuamini Neno la Mungu(hatuna haja ya kuumia).

Tusimame katika kundi moja wapo na tujikite kutetea hoja kwa upande wetu na kuchallenge pande zingine ili kuimarisha upande wetu.

Mungu hajafunuliwa na vitabu tu kwamba ndo uwe ushahidi wetu hapana, even nature.

mwisho wa siku kila mtu ana uhuru wa kuchagua yeye mwenyewe bila kulazimishwa.
 
VIP MTU akitumia biblia kujusfy uongo wa Mohammed ama Allah utamuamini.?
Kikubwa azingatie vitu vitatu ambapo kuna member mmoja ameeleza apo juu.


1) Logic

2) Make sense

3) Science


Siku zote Kwa mtu anaejielewa hawezi bishana kwenye Ukweli.
 
Mkuu Kivipi ?
Sisi wengine tunaamini katika chanzo fulanj(Muumba)

Na hicho kitabu hatukubaliani nacho kuwa ni cha Muumba

Na sio hicho tu na vyenzake vyote vilivyotangulia

Ila tunakubali kuwa ni cha miungu

Na kina kila sababu yakuwa kitabu cha Alien wanaotaka kutuingiza chaka

Na kinawafanya watu kuwa kondoo na wao kuwa wachungaji

kinatoa majibu Mepesiiiii..kwa maswali magumuuu

kwa shutuma hizi na zenginezo naomba usitumie nukuu zake huku

utachenji gia ya mjadala Angani sasa hivi
 
Back
Top Bottom