Mjadala kuhusu Mke asiye wa Ndoa na Mtoto wa nje ya Ndoa kwenye urithi

this is too bad..............
well may be ni njia ya kuwafanya watu wasizae nje kwan watoto watabaguliwa sana.
niliwah kusoma kwenye novel moja eti mtoto wa nje anaitwa bastard i was like what????????
 
Ninaongea kwa msimamo wa dini ya Kiislamu, kwa upande huu mtoto wa nje ya ndoa hawezi kurithi. Na hakubaliki kwa familia hata kama atatambulishwa.
Hizo dini zilizokuja na majahazi tabu tupu,unazaa alafu unasema haramu,hata aliyekuumba akikusikia atakutia laana
 
Kaka ulifanya mistake ukawa na mtoto wa nje ya ndoa , basi ujue katika sheria ya kiislam sio mrithi , nadhani mpaka pale utakapoacha wosia, wosia wa marehemu kwenye dini umepewa kipaumbele zaidi...


Anyways i have to confirm this kwa mwalimu wangu ila nadhani anarithi kama kutakuwa na wosia tu!
 
this is too bad..............
well may be ni njia ya kuwafanya watu wasizae nje kwan watoto watabaguliwa sana.
niliwah kusoma kwenye novel moja eti mtoto wa nje anaitwa bastard i was like what????????

ndo hivo tena...

bas·tard
ˈbastərd/
noun
noun: bastard; plural noun: bastards
  1. 1.
    a person born of parents not married to each other.
    synonyms: illegitimate child, child born out of wedlock;
    datedlove child, by-blow;
    natural child/son/daughter
    "he had fathered a bastard"
  2. 2.
    an unpleasant or despicable person.
    "he lied to me, the bastard!"
    synonyms: scoundrel, villain, rogue, rascal, weasel, snake, snake in the grass, miscreant, good-for-nothing, reprobate;
    informallowlife, creep, nogoodnik, scamp, scalawag, jerk, beast, rat, ratfink, louse, swine, dog, skunk, heel;
    slimeball, son of a bitch, SOB, scumbag, scumbucket, scuzzball, scuzzbag, dirtbag, sleazeball, sleazebag;
    datedhound, cad;
    archaicblackguard, knave, varlet, whoreson
    "he's a real bastard"
    • a person of a specified kind.
      "the poor bastard"
    • a difficult or awkward thing, undertaking, or situation.
      "it's been an absolute bastard of a week"
 
Du sijakuelewa,wewe ni mwanasheria au hayo ni mawazo yako!kama ni mwanasheria taja vifungu ,nashindwa kuelewa mbona wengine wanataja sheria ya mtoto,
Embe bolibo hujanielewa wapi???
Nilichokiandika mimi ni kwamba, sheria haitambui mtoto wa nje. Lakini kuna ukoo wa makabila fulani wanaamua kuwaingiza watoto wa nje wa ndoa kwenye mirathi ya marehemu mzazi wao kwa sababu tu kwa mila na taratibu za kiukoo watoto wa nje wanatambulika kifamilia. sasa hapo ndipo mkanganyiko unapotokea na ndio maana nikaandika ushauri kwa wakinababa ambao wameshachepuka na kuzaa nje wajiandae kuwaandikia watoto wao wosia. hio itasaidia sana kuondoa majanga kwenye mali.
 
Kwa wakristo na sheria za kimila wanaruhusiwa kurithi kama wosia ukiachwa ila kwa waislamu sahau!!
 
Katika uislam mtoto wa nje ya ndoa hawezi kurithi... kwahyo ukimuandika kwenye wosia kama unavyosema kweli atapata ila kama mtu mwingine kwenye ile 1/3....

Asa hapo usipoacha wosia ndo nitolee
 
W Wewe mlaumu Baba yako kwa kutoacha wosia
 
Kuna mengi ya kujifunza kuhusu hili na JF ina member wenye ujuzi mbali mbali sasa kama member ana point za kisheria muacheni atoe somo kwa wote na si kukashifiana, muda mwingine kupitia JF tunajifunza mambo mengi especially linapokuja swala la specialist.
 
Mtoto wa nje ana haki ya kurithi kabisa..... kifungu cha 10 cha sheria ya mtoto ya mwaka 2009 kinaelezea vizuri kabisa. .
Kuna watu wamekuwa wakichanganya kifungu hicho cha 10 kwa kuhisi ni mtu chini ya miaka 18 tu ... lakini haki ya mtu ya kurithi uliyokuwa nayo kama mtoto haiwezi ikapotea kwa vile umekuwa mtu mzima...

Hivyo basi kutokana na sheria ya mtoto na katiba yetu ambayo inapinga kabisa mtu kuwa discriminated mtoto wa nje ana haki ya kurithi...
 
Ahsante Ndugu
 
Watoto nje ya ndoa wamekuwa ni doa ktk jamii na hata upande wa dini zote. Lakini ni kati ya watu wenye bahati kubwa. Japo wenyewe wengi wanajiona hawana bahati hiyo. Wakumbuke kuzaliwa ni bahati, hata kama mama alibakwa, kumbe ndio njia iliowafikisha hapa duniani. Washukuru, wengi hawakuipata.
 
Hicho kifungu,ndio nilikuwa nataka kiwekwe hapa,niliwahi kuskia,kwa mali ya baba tutapewa tu,baba alikuwa na baadhi ya mali,kabla hata hajamuoa huyo mama yetu mdogo,wala hawajazaa hao watoto wao wawili,du huyu mama hajuwi mali sikitu,katutenganisha na wadogo zetu,hatufiki kwetu hatujuani la heri wala shari,kwa uroho wake wa mali,ndg zangu wa JF wasio jua mzazi wako akifariki usimtenge ndg yako wa damu,unamuumiza sana,kuliko unavyofikiri,mwenye mali aliyepata tabu kutafuta amekufa ameacha,je anarizka huko alipo kwa tamaa yenu ya kuwanyima watoto wake jasho lake?hawezi kuunga mkono,marehemu baba yetu alisema kabla hajakata kauli,kuna shamba gawaneni kila,mmoja heka tatu,ndio sababu tumekimbilia mahakamani,tena mahaka kuu,du wasio juwa hawatofika mahakamani,watapigwa changa la,macho,tunamshukuru magufuli amesisitiza kesi ziende haraka,tunasubiri,mungu yupo baba alisema tupewe bahati mbaya,hakuacha wosia,baba pumzika kwa amani tutapewa haki yetu,kwa kuwa uligawa kabla hujafariki
 
Mkuu vp kwa watoto ambao mkeo amekukuta unao na unaishi nao,ama wale ambao mkeo alikuta umezaa na mkakubaliana kuwachukua na mkawachukua hata kabla hamjachuma chochote na Mali zenu mmechuma mkiwa nao pamoja
 
Mi nna watoto ambao make wng alinikuta nao ma sasa tunaishi wote hapa pamekaaje
 
Mi nna watoto ambao make wng alinikuta nao ma sasa tunaishi wote hapa pamekaaje
hao watoto uliowazaa na kuishi nao, mama yao ulifunga naye ndoa au mlikuwa kwenye uhusiano wa kawaida halafu mkaachana? kama jibu ni kwamba hao watoto, mama yao mlikuwa kwenye ndoa halafu mkatengana basi sheria inawatambua hao watoto ni halali na kwenye mirathi watapewa chao.
lakini kama hao watoto uliwazaa na mama yao bila ya ndoa basi ujue kwenye kesi ya mirathi hawana chao, kwasababu sheria haitawatambua kama watoto halali.
cha msingi hapo ni kukaa na kuandika wosia kwa hao watoto ili sheria iweze kuwatambua hao watoto kwenye mgao wa mali. ukiweza kufanya hivyo utakuwa umelinda heshima ya familia yako
 
Asante mkuu maana sijafa tayari kimeanza kunuka wanaambiwa nyumba nlojenga haiwahusu na inatakiwa iuzwe ili wife atambae na chake ama nitoke na wanangu nimuachie nyumba na mtoto nlozaa nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…