Alexprosper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,286
- 6,110
Sawa babee wangu love u much [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Wee sema kweli!! Inakaribia soon mbona usijaree kabesaaa!! kama najiona Iringaaaa hiooooo[emoji23]!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa babee wangu love u much [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Wee sema kweli!! Inakaribia soon mbona usijaree kabesaaa!! kama najiona Iringaaaa hiooooo[emoji23]!
Ewaaaa nimelipokea busu kwa bashasha kabisa!! Wabheja sanaSawa babee wangu love u much [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Ni busu na mm nienjoyEwaaaa nimelipokea busu kwa bashasha kabisa!! Wabheja sana
Hakuna mwanamke atakayekataa ndoa mkuu. Wanyonyaji hao wanataka nafuu ya maishaNi kweli?
Lakini sio wote mkuuHakuna mwanamke atakayekataa ndoa mkuu. Wanyonyaji hao wanataka nafuu ya maisha
Wengi waoLakini sio wote mkuu
Hatari sanaWengi wao
Sisiem mbele Kwa mbele.Aisee mnateseka sana poleni sana
Sio poa mzee babaHatari sana
Jamaa boya sana
Huyu mwana kawaweka familia na ndugu zake katika wakati mgumu mno!
Yani niache kuchakata mbususu huo ujinga wenu hamnipatiWanawake wameharibu ndoto za wanaume wengi,
Wa Binti wameharibu ndoto za vijana Wengi wa kiume.
Sikilizeni vijana wa kiume kama mnataka kuishi Kwa furaha na amani epukeni kabisa wanawake,
Ogopa ndoa, kataeni ndoa,
Ndoa ni mtego , ndoa ni wizi, ndoa ni utapel, ndoa ni ujambazi, ndoa ni kwa ajiri ya wanaume wadhaifu tu.
Ee Kijana wa kiume kama unataka kuwa imara basi pambana pasi na uwepo wa mwanamke,
Samson alifeli sababu ya mwanamke,
Adam alifeli sababu ya mwanamke.
📌Wanawake ni narcissist and opportunitsisty📌
Wanawake wote lengo Lau ni kutufanya sisi wanaume kama madaraja kwa ajiri ya kufikia malengo yao.
Wakorintho 7
"7 Na sasa kuhusu mambo mliyoniandikia. Ni vizuri mtu asioe"
Kataa ndoa.
Ndoa ni wizi.
Ndoa ni utapel.
Ndoa ni kwa wanaume wadhaifu
Mwamba kapoteza ubingwaJamaa boya sana
Kaifedhehesha sana familia na ndugu zake. Kweli baba mwenye mke na mtoto 🤔Huyu mwana kawaweka familia na ndugu zake katika wakati mgumu mno!
Ni nani huyo Chief?Mwamba kapoteza ubingwa
Story yake Iko vipi mkuu? Na ni nani huyo?Kaifedhehesha sana familia na ndugu zake. Kweli baba mwenye mke na mtoto 🤔
Ni nani huyo Chief? Na story yake Iko vipiHuyu mwana kawaweka familia na ndugu zake katika wakati mgumu mno!