Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mnaotaka kuolewa bwana ndio huyu hapa karibuni atakuwa single

Screenshot_20230305-214642_Instagram.jpg
 
Wanawake wameharibu ndoto za wanaume wengi,
Wa Binti wameharibu ndoto za vijana Wengi wa kiume.
Sikilizeni vijana wa kiume kama mnataka kuishi Kwa furaha na amani epukeni kabisa wanawake,
Ogopa ndoa, kataeni ndoa,
Ndoa ni mtego , ndoa ni wizi, ndoa ni utapel, ndoa ni ujambazi, ndoa ni kwa ajiri ya wanaume wadhaifu tu.


Ee Kijana wa kiume kama unataka kuwa imara basi pambana pasi na uwepo wa mwanamke,
Samson alifeli sababu ya mwanamke,
Adam alifeli sababu ya mwanamke.
📌Wanawake ni narcissist and opportunitsisty📌
Wanawake wote lengo Lau ni kutufanya sisi wanaume kama madaraja kwa ajiri ya kufikia malengo yao.

Wakorintho 7
"7 Na sasa kuhusu mambo mliyoniandikia. Ni vizuri mtu asioe"

Kataa ndoa.
Ndoa ni wizi.
Ndoa ni utapel.
Ndoa ni kwa wanaume wadhaifu
Yani niache kuchakata mbususu huo ujinga wenu hamnipati
 
Back
Top Bottom