Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio haituhusu sisi hayo ni maisha binafsi, hizo ni habari huko kwenye maeneo ya starehe wanako jiuza tuendelee kuwa huru kwenye fikra na maamuziKwa sasahivi inasemekana asilimia 95 ya watu wanaojaza Bar ni wanawake, wanaume ni wachache sana ukilinganisha na zamani ilivyokuwa.Haya ndyo matokeo ya kukataa Ndoa.
🤣🤣🤣🤣🤣👋👋👋Mods please tupeni gape na sisi tujimwambafy please uzi utembee
Ila sisi makataa hatutaki vyoteKumbe kuna tofauti kati ya Ndoa na Kukataa Kuoa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋👋
Sasa nimewaelewa vizuri waendesha hii kampeni.. Bopolar is real 🤦
🤣🤣🤣🤣🤣👋👋Ndoa na kuoa ni maneno tofauti na jumbe tofauti uhuisho uwe kwenye mema na madhaifu yake. Not all kuoa are ndoa and not all ndoa are kuoa, mfikirisho huo.
Ila sisi makataa hatutaki vyote
NAKAZIA KWA NGUVU KABISAkataa ndoa
HAITUHUSUKwa sasahivi inasemekana asilimia 95 ya watu wanaojaza Bar ni wanawake, wanaume ni wachache sana ukilinganisha na zamani ilivyokuwa.Haya ndyo matokeo ya kukataa Ndoa.
waache kwanza wasomeshwe namba za kilatin, maana hawasikii
NAKAZIAKIJANAKATAANDOA