Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Nyuzi ambazo zimezidi humu ndani ni za usaliti. Naona hii ni mikakati ya lazina iliyoratibiwa na wale KATAA NDOA.

Na wanafanya hivyo kimakusudi ili kuleta taharuki kwa vijana ambao bado hawajaoa na kubadili mwelekeo.

Mbaya zaidi, nyuzi hizo zinaletwa na ID mpya kila uchwao. Joined 29 May, alafu tar 31 May, utasikia nilimsaliti mume wangu. Kanikuta nabanjuliwa kwa mpalange.

See? Anayetegemea kuoa anapata pocha gani?

Kuna propaganda inaendelea humu jukwaani. Na kwenye uzi wana-tag-iana kwa wingi.
kweli kabisa dah
 
Nyuzi ambazo zimezidi humu ndani ni za usaliti. Naona hii ni mikakati ya lazina iliyoratibiwa na wale KATAA NDOA.

Na wanafanya hivyo kimakusudi ili kuleta taharuki kwa vijana ambao bado hawajaoa na kubadili mwelekeo.

Mbaya zaidi, nyuzi hizo zinaletwa na ID mpya kila uchwao. Joined 29 May, alafu tar 31 May, utasikia nilimsaliti mume wangu. Kanikuta nabanjuliwa kwa mpalange.

See? Anayetegemea kuoa anapata picha gani?

Kuna propaganda inaendelea humu jukwaani. Na kwenye uzi wana-tag-iana kwa wingi.
Boss mi Niko JF tokea 2018 ila ndio Raisi wa wakataa NDOA duniani...
Unataka kusema kwamba wake zenu hamgongewi?
Unataka kusema Ndoa hazina usaliti?

#YNWA
 
Kumbe kuna tofauti kati ya Ndoa na Kukataa Kuoa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋👋

NDOA YA DINI + NDOA YA MILA = NDOA NA KUKATAA KUOA..Aisee🐒

Sasa nimewaelewa vizuri waendesha hii kampeni.. Bipolar is real 🤦
No bipolar cause no one is hopeless.

Ila mkiwa hamna hoja mkaona mtumia negativity kutetea hoja zenu basi, hayo maneno ya pessimism yooteee tutayapokea.

Ila in nutshell "Hakuna kuoa kwasababu hakuna maana yoyote. Humo ndani Kuna kutombew-a, kulea watoto wasio wako, kufilisiwa na mengine kibaoooo"

#YNWA
 
Unasema bila aibu kwamba hutoingia kwenye ndoa (hutaoa) ila utazalisha watoto uwalee mwenyewe!!

Hivi unajua maumivu wanayoyapta watoto hao wewe??

[emoji16]kama wewe ungelelewa katika mazingira kama hayo unayoyafikiria kuwalea wanao, usingethubutu kuwaza hayo!

Maamuzi yako ya kukataa ndoa ni kwa faida yako wewe(ubinafsi), hakuna mtoto atafurahia kulelewa na mzazi mmoja au wazazi kutengana kwa namna yoyote ile, tena ni ukatili!

Wewe umelelewa na baba na mama pale nyumbani ukiwa unajimwayamya utakavyo, hujuwi ulisemalo;
Watafute waliolelewa na mzazi mmoja wakueleze ni jinsi gani wameathirika kisaikolojia.

KATAA NDOA, USIZA£/ZALISH£
 
Mtu yoyote anayekataa ndoa bila shaka ametokea katika familia ya ajabu kimalezi na hana maadili wala hofu ya ya Mungu.
 
Back
Top Bottom