Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mwanamke anahitaji mwanaume mbabe, mshenzi asiye na huruma

Ukijifanya Mr.love umekwenda na maji.

Usiwajali watoto kuliko kujijali wewe MWENYEWE. Hawatakusaidia lolote.

Jifunze kuwa Mwanaume ndipo uoe.

Usiendeshwe na maneno ya Mwanamke.

Akikuzingua mara moja tambaa naye mara elfu mpaka Ajue amekosea njia.

Timua
Usipotimua utatimuliwa.

Mtu ni mwanaume bado mwanamke akusumbue huo ni upumbavu
 
Unajua vijana mnadanganyana sana. Saiz unaona kama unajimudu kuwa peke yako kwamba kila kitu unaweza kufanya lakin amin mwanaume bila mwanamke hajakamilika kuna mda unakuja wew mwenyewe bila kulazimishwa utao.
.
Sasa bas omba sana uo wakati unavyokuja uwe umempata mtu sahii la sivyo hayo majuto unayoona walioa wanajututia ndio yatayokukuta wewe...
 
Kuoa muhimu ila kama unakimbia nyumba sababu ya mke bora ukae mwenyewe
 
Sisi tunaoa na tunakula raha kama kawaida.

Msikurupukie kuoa, mtaoa majini yatawafyonza damu, shauri yenu.
Ujinga wa mateso huja tu hata miaka 100 mbele.

Kuna demu nimemla kumbe ni mke wa mtu na ndoa ina miaka 10.

Baada ya kugundua ndio nikamuhoji kwanini hakuniambia ye ni mke wa mtu?
Ye anasema "tokea niolewe ndio wewe mchepuko wangu wa kwanza"

Alinikwaza sanaa, maana ilibidi aniweke wazi ili Mimi mwenyewe ndio niamue kama naweza kutembea na mke wa mtu ila sio kunificha.

Japo nimekata mawasiliano baada ya kugundua, ila roho ili niuma kiasi.

Kutembea na mke wa mtu hiyo kwangu ni DHAMBI KUBWA SANAA.

Back to the point.

Huyu ukute miaka yotee 9 alikua anajisifia kaoa mke Bora ila mwaka wa 10 mke wake kachepuka..

What if angetufumania?

#YNWA
 
Bwege tu huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…