@dronedrake ashawahi kuoa...sema upepo wa kule ulimuendea kushoto ndo maana anakata ndoa [emoji3]Nakala ifike kwa dronedrake ndoa ni ukanda wa GAZA
Haaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]@dronedrake ashawahi kuoa...sema upepo wa kule ulimuendea kushoto ndo maana anakata ndoa [emoji3]
Tunaomba utupe story yako juu ya ndoa tujifunze [emoji23]
Yaaah ngoja aseme mwenyewe [emoji23]Haaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππ Bila kusahau Mimi muweka hazinaKATAA NDOA,
NDOA NI UTAPELI
UTAPASUKA KICHWA Tu
π Ali sikika mwenyekiti dronedrake na Raisi Liverpool VPN
π€£π€£π€£π€£
Pamoja mkuu kataa ndoa.πππ Bila kusahau Mimi muweka hazina
Tuliomo ndani tunajua mbilinge yake ..tunakaza mafuvu tu .....Dah! mpaka kichwa kinauma, yaani yeye tena hana habari, ndo kwanza anauchapa usingiz wa pono. ndoa? ndoa? ndoa? hapana, natakiwa kufanya maamuzi magumu.
Pamoja SanaππPamoja mkuu kataa ndoa.
Naona hata avatar yako inasadifu unayosema.Tuliomo ndani tunajua mbilinge yake ..tunakaza mafuvu tu .....
Vijana wanaamka, wamechoka utapeliπ€π€ naona unazidi kuokota point tu kudadeki
Tunza kibunda chako