brother white
Member
- Feb 18, 2021
- 76
- 120
Ila wee mwamba noma Sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wee mwamba noma Sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee unaconnect VPN kwenye big screen. Vitu unaona hivi hapa.Liverpool VPN
Umeongea point za ukweli.We yamekukuta shauri yako, sie wenzio tushatomba saana, tushafanya uhuni saana, mwishowe tumeona muhimu kuoa.
Jambo la msingi inapofikia hatua ya kuoa, oa mwanamke sababu anafaa kiwa mkeo, usioe kwa uzuri, usioe kwa akili za nyege, usioe sababu anakufinyia kwa ndani, oa mke, vijana tunakwama hapa kwenye kuoa, tunakimbilia pisi ili washikaji watusifu tuna wake wakali, ila ndani mateso, oa mwanamke ambae yeye bila ww hawezi, sio wewe bila yeye hawezi.
Lazima ujiulize why unaoa, kisha utapita njia sahihi. Ndoa ni jambo la mungu, yeye ndio katutaka tuoe, sasa tunafata amri ya muumba, tunaacha ushauri wake, tunafanya jambo la mola kihuni huni tu.
Tomba wee, ruka ruka wee, ila MKE ni jambo la muhimu, sio mwanamke, namkwambia MKE.
wanawake wapo wa aina hizo [emoji3577](sema mbili) [emoji23]
Kuna wanawake hao ni wa kutombwaa tu, huyu ukipata we toa nyege zako mbimbilise kadri unavyojiweza, ila usithubutu kuoa,
Kuna wakuolewa sasa, ukibahatika huyu, mzee oa fasta, acha akili za nyege jitulize.
Mimi nilisha kaa nao na kuzungumza. Ishu ya kuoa au kuolewa waitoe akilini wapambane na maisha. Ndo imekua chanzo cha ndugu kuchukiana. Chanzo cha vifo, chanzo cha magonjwa. Chanzo cha umaskini. Na zaidi ukioa mara nyingi unakua umemsaidia mwanamke kutimiza ndoto zake wakati wewe ndio umeanza kuyaharibu kabisa maisha yako.Dada zako wakifanyiwa hivyo pia usitafute mchawi
Ila lakini vile mnatufanyaga sometimes! Mungu anawaonaHahahahaaa Asante kwa baraka mkuu
Hata mimiMI NTAOA UZEENI SANA. ANGALI MZEEE SANA
Acha ugomvi noelia. 😂Kuoa Ni kwa wenye akili sio mjinga wa aina yako na usiwe unaniquote huwa Sina urafiki na wanaume wajinga km wewe
Kwa kuonyesha makeke ulitakiwa ule sahani moja na mmoja wao..😂Niliwahi shitakiwa na mtalaka wangu kituo fulani cha polisi jijini Dar,nikaletewa barua ya wito.siku nakwenda kusikiliza nilichoitiwa nilipokelewa kwa maneno ya kejeli na askari wa kike waliokuwa pale kituoni.baada ya mahojiano na kuelezwa yale aliyokwenda kushtaki mtalaka,nikawajibu tu simple kuwa nina ushahidi wa kutosha juu ya vitengo alivyofanya hadi akaamua kuondoka mwenye nyumbani
1, kupewa ujauzito na Hawara yake kisha mm nilee mtoto nikijua ni wangu kumbe nimepachikwa.
2,kunitoa roho kwani kwake sikuwa na thamani tena hivyo alitaka kubadili mme.
3,kumuwekea mtoto wangu sumu ili afe kuondoa tofauti utakapojitokeza kati yake na mtoto wa mchepuko.
Baada ya kuweka ushahidi wa audio na kusikilizwa,wale ma wp waliondoka bila kuaga,aliyesalia(inspector) alinipa pole na kunisifu kwa uvumilivu nilionao na kumwambia mtalaka jamaa kwa ushahidi alionao akienda mahakamani hutoboi.sasa hivi hata kutongoza mwanamke naogopa.
Najua wewe sio mwanaume mjinga kama huyoAcha ugomvi noelia. 😂
Mh! Mi nachojua naishi na nifanya niwezavyo nihakikishe sijikatishi maisha basi inatosha..😂Najua wewe sio mwanaume mjinga kama huyo
Wanawake wanaotuweza ninwanaume wenye akili tu wasio na akili watafute wanaume wenzao,,😅teh teh tehMh! Mi nachojua naishi na nifanya niwezavyo nihakikishe sijikatishi maisha basi inatosha..😂
kwani ni sisi tu basi? nyie pia mnatufanyaga mambo meusi sana ni vile tu ya upande wetu yamezidi kidogo.Ila lakini vile mnatufanyaga sometimes! Mungu anawaona
Acha makasiriko unaandika kwa ukali nakuamuru utoke huku ukapumzike sawaWanawake wanaotuweza ninwanaume wenye akili tu wasio na akili watafute wanaume wenzao,,😅teh teh teh
Wanawake wanaotuweza ninwanaume wenye akili tu wasio na akili watafute wanaume wenzao,,😅teh teh teh
Ukweli unauma eehAcha makasiriko unaandika kwa ukali nakuamuru utoke huku ukapumzike sawa
Naomba nisikuone huku tena kuwa mwanamke unaesikiliza nakuelewa.Ukweli unauma eeh