We yamekukuta shauri yako, sie wenzio tushatomba saana, tushafanya uhuni saana, mwishowe tumeona muhimu kuoa.
Jambo la msingi inapofikia hatua ya kuoa, oa mwanamke sababu anafaa kiwa mkeo, usioe kwa uzuri, usioe kwa akili za nyege, usioe sababu anakufinyia kwa ndani, oa mke, vijana tunakwama hapa kwenye kuoa, tunakimbilia pisi ili washikaji watusifu tuna wake wakali, ila ndani mateso, oa mwanamke ambae yeye bila ww hawezi, sio wewe bila yeye hawezi.
Lazima ujiulize why unaoa, kisha utapita njia sahihi. Ndoa ni jambo la mungu, yeye ndio katutaka tuoe, sasa tunafata amri ya muumba, tunaacha ushauri wake, tunafanya jambo la mola kihuni huni tu.
Tomba wee, ruka ruka wee, ila MKE ni jambo la muhimu, sio mwanamke, namkwambia MKE.
wanawake wapo wa aina hizo [emoji3577](sema mbili) [emoji23]
Kuna wanawake hao ni wa kutombwaa tu, huyu ukipata we toa nyege zako mbimbilise kadri unavyojiweza, ila usithubutu kuoa,
Kuna wakuolewa sasa, ukibahatika huyu, mzee oa fasta, acha akili za nyege jitulize.