mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Waoaji hawataki kuoa.Sorry:-
We umeolewa?
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waoaji hawataki kuoa.Sorry:-
We umeolewa?
#YNWA
Mitandaoni shwaari, ila ndani ya nyumba ni SHARI tupu.Wenzio wanaoa wa kupiga nao picha kutupia status,na kujirekedi video tiktok[emoji3]
Sana,ndani kwa motoMitandaoni shwaari, ila ndani ya nyumba ni SHARI tupu.
We nae hebu huko kwanza nani kakuruhusu uniquote?Bora uwaambie.
Mi nishawaambia WASIOE hawasikii.
Unadhani huyu angeoa YANGEMKUTA haya?
#YNWA
Ni kubaya ndugu yangu we endelea na nyeto tu huku hakukufai kabisa 😂😂Dah sema uzi za aina hii zimejaa Sana toka mwaka Jana ..
Mtuambie Kuna nini huko kwenye mahusiano..
Ndio mwezi wa maumivu ya mapenzi huuHuu mwaka watu wameanza kuumizwa na mapenzi mapema sn..Nipo na hajawa hapa Nasubiri part two mjomba
I Love Your Kisirani..!!We nae hebu huko kwanza nani kakuruhusu uniquote?
Kuoa Ni kwa wenye akili sio mjinga wa aina yako na usiwe unaniquote huwa Sina urafiki na wanaume wajinga km weweI Love Your Kisirani..!!
#YNWA
Wazi mkuuHuwezi kukosa dada damu yangu. Awe wa bamkubwa, wa mamdogo, wa nani sijui ni dada yako huyo, ukimkuta kainamishwa sehemu lazima nafsi ikuume, ndio nduguyo huyo. Huna dada basi hata mama unae, hukosi ndugu jinsia ya kike.
Mtu mmoja aliemda kwa mtume, akamueleza kuwa yeye kazidiwa, anaombwa apige muchinga hata mara moja, mtume akamuuliza vipi ukikuta dada yako, anaziniwa, vipi akiwa ni shangazi yako, vipi kama shemeji yako, je akiwa ni MAMA MZAZI je, akapaniki akasema atachinja mtu, basi akaambiwa huyo anaetaka kumzini ni aidha dada, shangazi, mke au mama wa mtu.
Uje uku chimamy longing for that sweet nanny! Don’t keep me waiting for long.Kuoa Ni kwa wenye akili sio mjinga wa aina yako na usiwe unaniquote huwa Sina urafiki na wanaume wajinga km wewe
Kuoa Ni kwa wenye akili sio mjinga wa aina yako na usiwe unaniquote huwa Sina urafiki na wanaume wajinga km wewe
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanaogopa hizi thread za MAGUMU..!!
#YNWA
Ndo Nini hiki ulichoandika hapa?? Halafu utegemee kuheshimiwa mtajiliza Sana Kama mtoa madaUje uku chimamy longing for that sweet nanny! Don’t keep me waiting for long.
Kila siku Majanga mtu akifikiria kuoa akazikumbuka Threads za JF basi ni shidaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaoa sana,huku mitaani kila siku ndoaKila siku Majanga mtu akifikiria kuoa akazikumbuka Threads za JF basi ni shidaaaaa
#YNWA
Hahahahahah you messing with the wrong guy😂Ndo Nini hiki ulichoandika hapa?? Halafu utegemee kuheshimiwa mtajiliza Sana Kama mtoa mada
Ila hazidumu hizo ndoa ni za mchongo!Wanaoa sana,huku mitaani kila siku ndoa
Sikupendi na unajua Hilo, maelezo haya kayapeleke kwingine kwangu ni upupuUkichunguza kiundani hii post ina kisirani ndani yake.
Ila I STILL LOVE YOU.
Na kamwe siwezi kutoa maneno yoyote mabovu (pessimism) kwa yeyotee akiwemo wewe.
Kukuita mjinga, mpumbavu, fala, na neno lolote ambalo ni pessimism FOR ME IS A BIG NO.
Ila pia usisahau hii ni mitandao USIWE SANAA SERIUOS.
Ukute hao wanaoleta matatizo humu ni UONGO tu.
Don't take vitu personal and serious.
#YNWA