Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Eti kamtu kanajifanya ni kadume ooh ni kutomber na kusepa,, Nani kakuzuia mbona uko hapa kujiliza liza Hadi kamasi na anaekuliza Ni jike😅😅😅,, Kama huna akili usioe ndoa Ni kwa wanaume wenye akili sio nyie wapumbavu wapumbavu tu
 
Eti kamtu kanajifanya ni kadume ooh ni kutomber na kusepa,, Nani kakuzuia mbona uko hapa kujiliza liza Hadi kamasi na anaekuliza Ni jike[emoji28][emoji28][emoji28],, Kama huna akili usioe ndoa Ni kwa wanaume wenye akili sio nyie wapumbavu wapumbavu tu
Ni kwamba najilaumu kukutana nae ndo mana leo naleta ushuhuda ili wanaume wenzangu wasiingie mkenge wa kuoa kenge kama wewe Noelia[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni kwamba najilaumu kukutana nae ndo mana leo naleta ushuhuda ili wanaume wenzangu wasiingie mkenge wa kuoa kenge kama wewe Noelia[emoji23][emoji23][emoji23]
Uko hapa unajiliza na kutafuta huruma na mkeo Yuko huko anainjoi laifu nani kenge Sasa!!😅😅😅unachekesha
 
Asie kubaliana na wewe ana lake jambo
 
We yamekukuta shauri yako, sie wenzio tushatomba saana, tushafanya uhuni saana, mwishowe tumeona muhimu kuoa.

Jambo la msingi inapofikia hatua ya kuoa, oa mwanamke sababu anafaa kiwa mkeo, usioe kwa uzuri, usioe kwa akili za nyege, usioe sababu anakufinyia kwa ndani, oa mke, vijana tunakwama hapa kwenye kuoa, tunakimbilia pisi ili washikaji watusifu tuna wake wakali, ila ndani mateso, oa mwanamke ambae yeye bila ww hawezi, sio wewe bila yeye hawezi.

Lazima ujiulize why unaoa, kisha utapita njia sahihi. Ndoa ni jambo la mungu, yeye ndio katutaka tuoe, sasa tunafata amri ya muumba, tunaacha ushauri wake, tunafanya jambo la mola kihuni huni tu.

Tomba wee, ruka ruka wee, ila MKE ni jambo la muhimu, sio mwanamke, namkwambia MKE.

wanawake wapo wa aina hizo [emoji3577](sema mbili) [emoji23]
Kuna wanawake hao ni wa kutombwaa tu, huyu ukipata we toa nyege zako mbimbilise kadri unavyojiweza, ila usithubutu kuoa,
Kuna wakuolewa sasa, ukibahatika huyu, mzee oa fasta, acha akili za nyege jitulize.
"Oa mwanamke ambae yeye bila wewe awezi"

Nakubali sana mkuu hii tunaelewa wachache sana[emoji123]
 
Mkuu weka wazi tujifunze vizuri kilichokukuta,inawezekana pia kuna mahali ulimes up au pia upo sahihi sana,kuna watabe wa mahusiano humu wanaweza kutupa kitu
 
[emoji1787][emoji1787] naam! Tunakomeshwa haswaaa,mpaka tuimbe hallelujah.Ila namhurumia mjomba hayo maumivu yake vile yalivyo.Nikikumbuka mwezi wa 4 mwaka jana sina hamu,siamini kama nimepona.Nadhani mapigo aliyopata yule shost ndo walau yamenirudisha hali ya kawaida.

Wanawake Mungu awabariki
 
We yamekukuta shauri yako, sie wenzio tushatomba saana, tushafanya uhuni saana, mwishowe tumeona muhimu kuoa.

Jambo la msingi inapofikia hatua ya kuoa, oa mwanamke sababu anafaa kiwa mkeo, usioe kwa uzuri, usioe kwa akili za nyege, usioe sababu anakufinyia kwa ndani, oa mke, vijana tunakwama hapa kwenye kuoa, tunakimbilia pisi ili washikaji watusifu tuna wake wakali, ila ndani mateso, oa mwanamke ambae yeye bila ww hawezi, sio wewe bila yeye hawezi.

Lazima ujiulize why unaoa, kisha utapita njia sahihi. Ndoa ni jambo la mungu, yeye ndio katutaka tuoe, sasa tunafata amri ya muumba, tunaacha ushauri wake, tunafanya jambo la mola kihuni huni tu.

Tomba wee, ruka ruka wee, ila MKE ni jambo la muhimu, sio mwanamke, namkwambia MKE.

wanawake wapo wa aina hizo [emoji3577](sema mbili) [emoji23]
Kuna wanawake hao ni wa kutombwaa tu, huyu ukipata we toa nyege zako mbimbilise kadri unavyojiweza, ila usithubutu kuoa,
Kuna wakuolewa sasa, ukibahatika huyu, mzee oa fasta, acha akili za nyege jitulize.

Ndivyo tulivyofanya wajanja wajifunze hapa hili somo tosha kabisa
 
[emoji1787][emoji1787] naam! Tunakomeshwa haswaaa,mpaka tuimbe hallelujah.Ila namhurumia mjomba hayo maumivu yake vile yalivyo.Nikikumbuka mwezi wa 4 mwaka jana sina hamu,siamini kama nimepona.Nadhani mapigo aliyopata yule shost ndo walau yamenirudisha hali ya kawaida.

Wanawake Mungu awabariki
Hahahahaaa Asante kwa baraka mkuu
 
Back
Top Bottom