Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Duh pole sana kaka hakika sisi wanawake baadhi yetu tunaroho mbaya hivi unaujasir upi kubeba mimba nje na kumsingizia mume nabado kujarb kutoa uhai wa mtoto kwel anastahil adhabu ya kifo
 
Kama haya unayoyasema ni ya msingi basi hata baba yako asingeoa na badala yake angekuzaa wewe kwenye uzinifu mitaani. Lakini alioa na huenda yupo na mama yako hadi leo wanaishi kwa raha mustarehe!!

Sio kila aliyeoa anakimbia nyumba yake, wengine tunafurahia ndoa zetu kama tupo peponi!!!

Chagua familia njema ya kuoa, sio unavamia vamia tu viruka njia vya madanguroni utaona ndoa chungu. Sio kweli kwamba kila ndoa ni jehanamu kama ya huyo nduguyo.

Pia kumbuka usipoa utazini na kuzaa watoto wa zinaa na hiyo ni dhambi mbele za Mola wako.

Karibu ndoani bwana mdogo!!
 
Walio oa na masingle nyote hamna kesi ya kujibu-----------nolle prosequi. Jumaa Karim
 
Tatizo lilikuwa nini? Ungetueleza! Alikuwa anamdomo sana au hakupi mbususu?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lilikuwa nini? Ungetueleza! Alikuwa anamdomo sana au hakupi mbususu?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mkuu, alikua akiniweka wiki mbili bila kunipa mbususu, pia alikua na dharau yaani alikuwa anataka yeye ndo awe mwanaume mimi niwe mwanamke (anitawale).

Alikua anaishi maisha ya tamthilia

Mkuu nenda kwenye uzi wa Mshana Jr unaoitwa MADA MAALUM KWA WANANDOA kyle nimefunguka kwa uchache
 
Kama haya unayoyasema ni ya msingi basi hata baba yako asingeoa na badala yake angekuzaa wewe kwenye uzinifu mitaani. Lakini alioa na huenda yupo na mama yako hadi leo wanaishi kwa raha mustarehe!!

Punguza abuse and Pessimism.
Hakuna MTOTO aliyezaliwa UZINIFUNI.
Hakuna MTOTO aliyezaliwa MTAANI.

#YNWA
 
Tulishakubaliana mwanaume ukishindwa kuishi na mke akili huna,,
Kauli ya kujidanganya hii.

Fanya ujinga maksudi usingizie akili?

Kwanini inakuja baada ya miaka kadhaa na siyo mwanzoni.
 
Furaha ya ndoa kama peponi iko mwanzoni tu,Kaa ukijua hiyo furaha hata ifike miaka 10 kuna muda itaisha na utaona kero.

Ni wewe utaamua sasa uvumilie au ujiondoe!!

Walioko kwenye ndoa wengi wanavumilia tu kwa sababu ya watoto,anaona bora avumilie alee watoto tu kusudi wasihangaike,Lakini ukweli anaujua yeye.[emoji14]
 
Kauli ya kujidanganya hii.

Fanya ujinga maksudi usingizie akili?

Kwanini inakuja baada ya miaka kadhaa na siyo mwanzoni.
Heeey unamkasirikia Nani sasa, kwani mi ndo niliwaambie mtumie akili au ukose akili!!! Hebu pita huko
 
Heeey unamkasirikia Nani sasa, kwani mi ndo niliwaambie mtumie akili au ukose akili!!! Hebu pita huko
Mimi nikasirike kwani naolewa?

Anae kasirika ni yule anae hisi Kwa Uzi huu hataolewa maana ni WA kupotosha wanaume wanao oa na kujipa moyo wa mwanaume Mwenye akili ndiye anao.[emoji14].
 
Mimi nikasirike kwani naolewa?

Anae kasirika ni yule anae hisi Kwa Uzi huu hataolewa maana ni WA kupotosha wanaume wanao oa na kujipa moyo wa mwanaume Mwenye akili ndiye anao.[emoji14].
Kama mke humuwezi maana yake akili hauna, period,, usilete bla bla
 
Kama ni kero za wanawake hata usipomuoa utakutana nazo tu kero zao unless uamue kuwa hanithi au mpiga punyeto. Kwani ndoa ikikushinda si unaivunja tu na kuoa mwingine.
 
Kama ni kero za wanawake hata usipomuoa utakutana nazo tu kero zao unless uamue kuwa hanithi au mpiga punyeto. Kwani ndoa ikikushinda si unaivunja tu na kuoa mwingine.
Kero za ndani ya ndoa na nje ya ndoa ni tofauti ndio maana VPN Liverpool kasema msioe.

Utaachana na wanawake wangapi na kuoa wanawake wangapi wengine?

Si bora uache tu kuepukana na kero.
 
Wakuu habarini za sasa ...
Nasisitiza vijana musioe wanawake bora mkaishi wenyewe miaka yote ...cha msingi tafuta pesa ...mtafute Mungu...tena na tena tafuta pesa ....
Yaliyonikuta baada ya kuoa najuta hapa nilipo nipo dawati la jinsia na nimenyang'anywa mali zangu zote nilizotafuta kwa jasho langu ...narudia tena vijana musioe
 
Kwakua yamekukuta wewe, basi sisi wengine tusioe? We mwehu nini!

Mimi nitaoa soon. Likinikuta jambo, napiga chini then naoa tena. Sio atoke mlamba asali mmoja huko, aje kuniambia eti niachane na asali kwakua yeye ameng'atwa na nyuki.

Asee tuheshimiane!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…