Hayo uliyoandika hapo ndo yalinifanya niache mwanamke tukiwa na watoto wadogo wawili, niliacha mwanamke tukiwa na mtoto mmoja wa miaka miwili na nusu na mwingine wa miezi mitatu
Yaani changamoto nilizopitia ningeendelea kuishi na yule mwanamke angeweza kuniua au mimi kumuua yeye, yaani ilifikia kipindi nikawa naishi nae kwa tahadhari,
Kuna kipindi hata kurudi nyumbani nikawa sitamani, yaani nikiwa kazini ukifika muda wa kurudi nyumbani naanza kunyong'onyea, furaha yote inaisha, nikawa najikuta napachukia nyumbani
Wacha niishie hapa, nimeshachukua kadi ya uanachama kwa
Liverpool VPN