Nothing sio kwa hawa mbwa rafiki mwanamke kama unajimudu kataaaa ndoa,mkaka kama your soft hearted kaa mbali kabisa furaha ni 20% 80% majanga tuKabisa Mkuu,ila ukipata best friend ...ndoa tamu
Wahuni wanajipigia tuu we kuna kipengele unafel mkuu[emoji23][emoji23]Kuna binti huku mtaani kakataa nisimgonge, eti hadi tuoane. Ila cha ajabu kila kukicha matiti yake yanalala dolo
Sahv unatamani ndoa ili upate Peace of mind lakini kuna uwezekano ukishaolewa ukatamani sasa upate Tulizo la kihisia hapo sasa ndo mtiani unapoanzaI pray niolewe jamani,
whatever it takes btn mambo ya kutanga tanga leo huyu kesho huyu don't make sense.
Honestly kizazi cha saiv nawashauri #kataa ndoa si wanawake wala wanaume honestly hamna la maana zaidi ya kutiana umaskini na stress, looking for a way out inshort najutaaaa
Exactly angekuwa hataman ndoa angesha move on, yaan ana conflict na nafsi yake na akili yake vinashindana kimoja kinataka ndoa kingine hakitaki tatizo ni nguvu za asili na ndoa ni kitu cha asili
na mara nyingi huwa hawaoni umuhimu wa ndoa
Honestly kizazi cha saiv nawashauri #kataa ndoa si wanawake wala wanaume honestly hamna la maana zaidi ya kutiana umaskini na stress, looking for a way out inshort najutaaaa
don't be too serious dude,ndoa ni tamu jamani asikwambie mtu
Liverpool VPNShida hapo sio ya Ndoa ni aina ya watu wanaoingia kwenye Ndoa.
Mnaokotana jalalani huko mnakuja na uchafu wenu wa jalalani kwenye ndoa mnategemea nini.
Kimsingi ndoa ina wenyewe wanayoielewa na kuwa tayari kuitumikia. Sasa hao wote uliowaelezea sijaona ambaye yupo tayari kwa ndoa hapo wala kujicommit na ndoa.
Kwa nini Biblia na sio kitabu kingine cha kiimani?Endelea kubaki hivyo hivyo, ndoa ndio paradiso ya hapa duniani sasa endelea kupinga neno la Mungu. Inaonekana hujui kusoma Biblia
Kuna mmoja yuko na mkewe na watoto wake chachi wakitoka wanaenda zao beach kula bata wanamshukuru Mungu kwa zawadi ya familiaKuna mmoja kaenda jela kisa hasira za fumanizi..!!
#YNWA
Liverpool VPN
ndoa itaendelea kuwepo tu kwa walio tayari nayo. Mliopigwa matukio poleni tumieni wakati vizuri mjiponyeshe vidonda ili muwe tayari kwaajili ya mahusiano mengine mazuri yenye afya ambayo In Sha Allah yatadumu. Sumu mnayosambaza inawaua wenyewe
Kuna mmoja yuko na mkewe na watoto wake chachi wakitoka wanaenda zao beach kula bata wanamshukuru Mungu kwa zawadi ya familia
Ndo tukio lenyewe hilo au unaonaje Mkuu 🥴, huna experience yoyote nzuri poleTrust me Sijawahi kupigwa tukio likanifanya nikatae kuoa.
Kama tukio nilipigwa nikiwa 22 yrs Tena hili sio lile tukio eti NI TUKIOO ni yale mapenzi ya tu ya ujana na balehe za kiujana.
Ila kukataa kuoa nilikuona tu ufala nilivyoyasoma maisha ya ndoa.
Nikiwa chuo nilishawahi kuwa na demu miaka 3 chuo kumbe ni mke wa mtu (nilikuja kugundua last yr), kumuuliza kisa cha usaliti kupitia Mimi eti "Mumewe hamkojozi" yeye ameumbwa yule wa kutoa maji kitandani ila mumewe alikua hayapendi. Yaani hili tu lilimfanya amsaliti mumewe kwangu Tena kwa kunificha.
Bora angeniweka wazi ili niamue Mimi kama naweza kuwa na mke wa mtu "Je tungefumwa?"
In this millenial world GIRLS are hungry for money and Boys are hungry for pussy.
#YNWA
mtu kaenda zake church halafu beach ku relax na familia we unaona showoff! 😆😆Wasikudanganye na show off za nje huku ndani wamegawana vyumba.
#YNWA