Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Unamlaumu mwanamke wakati mwanamme mwenyewe ndiye zwazwa.

Imekuwaje unajengea wakwe wakati wewe mwenyewe huna sehemu ya kuishi? Hizo priorities zimekaa kivipi?
Angekuwa kijana wangu ningemchapa viboko ijapokuwa ni mkubwa
 
Ngoja ufike umri fulani, uone atakavyokubadilikia.
Wewe mwenyewe hujafikia huo umri ila tayari usha feed akili yako negativity za kutosha, hivi haukijui kitu kinachoitwa law of attraction. Unapowaza mambo kijinga jinga yanakuja kujidhihirisha kiuhalisia kupitia matendo yako aidha kwa kujua au kutokujua.
 
Kuna haja ya kutafakari kama Jamii ni wapi tulipokosea.

Wimbi la wengi wanaokataa ndoa ni vijana waliozaliwa miaka ya 1987 kuja juu.

Ni kweli maisha ni magumu na kupata wenza wenye uwezo wa kuvumilia uduni wa maisha ni changamoto pia.

Lakini nimekutana na Mabinti na Wanawake wengi wanaliochoshwa na Usingo maza na wako tayari kuolewa na kutulia.

Vyema kumshirikisha Mungu kwenye hili.

Lakini bado ndoa ni Jambo la kheri sana kuelekea Ustawi wa familia na kesho ya watoto wetu
 
Bado sijaona sababu zenye mashiko kukataa kuoa
 
Wamebembelezwa sana hadi wanaona kuwa maisha bila wao hayawezekani. Sasa sisi tuwabembeleze na bills tunalipa mwenyewe, achana na hizo mbaga.
Suala la kuhudumia Mwanamke bado ni Jukumu la Mwanaume.

Hilo ni takwa la Kimungu kabisa.

Muhimu tuendelee kumshirikisha Mungu kwenye kila jambo hasa la ndoa
 
Jamii yetu ilipofikia ni kwamba tuna hadi viongozi wa umma ambao wanaonekana tu wakilea watoto au mtoto huku baba wa mtoto hajulikani, huko mbele tutegemee kuona viongozi mashoga na mabasha.
Sahihi kabisa Mkuu, kama Mtoto analelewa Na Mama pekee manake atakuwa anajifunza vitu vingi vya kike. Sasa akiwa Mwanaume ndiyo zile traits za Kike zinaanza kumuandama hivyo kujikuta Ana tabia za kike kike.

Mungu atusaidie Wanaume turejee kwenye Uanamme wetu na kukubali kuoa
 
Ni Utapeli na ni Ujinga , Ujambazi wa mchana kweupee
Ndoa Ni Parasitic mode of nutrition

ME anaumia, KE ananeemeka
Huo Ni Upumbavu mbwa haruki
Ni wajinga pekee wanaopigwa, werevu kamwe HAWAOI
Kwamba ni dhambi kumuhudumia mwanamke anayelea watoto wako, anatekupa utamu kila siku?

Tena sisi wengine tulishajizoelea kwenda round zone zile then tushindwe kuhudumia ili aendelee kupendeza?
 
Nashangazwa na mnaopenda kutumia mahusiano ya watu ambao sio jamaa zenu wala ndugu zenu. Hivi kwenye ukoo wenu wote umekosa ndugu yako hata mmoja ambaye anaweza kuwa role model wako ?

Uache ujinga, hakuna mfano ambao kila mtu anaweza uelewa na kuujua kama huu, once you put your life in public utatumika kama mfano.

Ndo maana kwenye rulling mahakaman wanatumia kesi zilizopita kama mfano!
 
na huu ujinga umeshamir kwelikweli vijana wamechagua a wayout kwakujikita kuifanya hii kampeni hiyo yote ni kukimbia/kukwepa majukumu hawataki kuumiza kichwa kabisa mwisho wa siku ndomishoga inaongezeka
 
Unamlaumu mwanamke wakati mwanamme mwenyewe ndiye zwazwa.

Imekuwaje unajengea wakwe wakati wewe mwenyewe huna sehemu ya kuishi? Hizo priorities zimekaa kivipi?
Angekuwa kijana wangu ningemchapa viboko ijapokuwa ni mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…