Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Bado ni mtoto ndo maana unaongea hivyoNi kitu gani ambacho siwezi kukipata mpaka niwe kwenye ndoa??
Sheria ya ndoa kandamizi ipitiwe kwanza ili mabadiliko ya sheria yazingatie usahihi wa mambo yanayotakiwa ktk mahusiano.Mahakama ikiamua watoto wabaki na mama, bado baba anatakiwa atunze watoto na awasomeshe ingawa kwenye mgao watoto hawafikiriwi, mgao wa baba ni pamoja na watoto!
Sawa umeandika vizuri sana, sasa hio Bible unajua imeandikwa mara ngap yaan matoleo mangap na pia unajua kabla ya Bible kufanyiwa tafasiri ilikua kwenye lugha gan?Soma mdogo mdogo.. utaelewa
Mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, “Je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?”
Yesu akawajibu, “Je, hamkusoma katika Maandiko Matakatifu kwamba Mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke, na akasema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?’
Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikitenganishe.”
Lakini wao wakamwuliza, “Kwa nini basi, Mose alituagiza mwanamke apewe hati ya talaka na kuachwa?”
Yesu akawajibu, “Mose aliwaruhusu kuwaacha wake zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu.
Lakini haikuwa hivyo tangu mwanzo. Basi nawaambieni, yeyote atakayemwacha mke wake isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, akaoa mke mwingine, anazini.”
Wanafunzi wake wakamwambia, “Ikiwa mambo ya mume na mkewe ni hivyo, ni afadhali kutooa kabisa.”
Yesu akawaambia, “Si wote wanaoweza kulipokea fundisho hili, isipokuwa tu wale waliojaliwa na Mungu.
Maana kuna sababu kadhaa za kutoweza kuoa: Wengine ni kwa sababu wamezaliwa hivyo, wengine kwa sababu wamefanywa hivyo na watu, na wengine wameamua kutooa kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea fundisho hili na alipokee.”
Yesu anawabariki watoto wadogo
Swali lako ungekaa na kutafakari kidogo tu ungejua ni mangapi ambayo ukiishi bila ndoa utayakosa, tatizo ni kuwa hujatafajari.Ni kitu gani ambacho siwezi kukipata mpaka niwe kwenye ndoa??
Ahsante sana kwa hoja hii.Sawa umeandika vizuri sana, sasa hio Bible unajua imeandikwa mara ngap yaan matoleo mangap na pia unajua kabla ya Bible kufanyiwa tafasiri ilikua kwenye lugha gan?
Nisikuchanganye sana huko turudi huku kwenye sheria ya Ndoa ya kwetu ambayo imetungwa na kuandikwa na Bunge ya mwaka 1971 na kufanyiwa marekebisho mara ya mwisho mwaka 2002, je wewe kwa uelewa wako ulionao unahisi sheria ya Ndoa imenyooka au Ina mashimo mashimo?
Yaan uunde program alafu ikae tu miaka zaidi ya 21 hauifanyii updates ZOZOTE unahisi hio program si inakua imepitwa na wakati au wewe unaonaje?
Hata hii JF unayoitumia tangu ianzishwe haijawa kua dormant tu bila kufanyiwa updates zozote, na sheria ya Ndoa pia inabidi ifanyiwe marekebisho imeshapitwa na wakati miaka 21 bila marekebisho yoyote ni inabaki kua sheria useless,
Kabsa mkuu kwan ndoa ni uhai mkuu , nawafundisha kukataa kwanzia wakiwa wadogo wakizalishwa nitafurahia wajukuu kazi ya mwanamke ni kuzaa mastaMabinti zako nao wakikua watakutana na wakataa ndoa na wataishia kuzalishwa alafu watakua wametimiza lengo lako la kukataa ndoa
Binafsi ninaweza kuyapata yote bila ndoa.Swali lako ungekaa na kutafakari kidogo tu ungejua ni mangapi ambayo ukiishi bila ndoa utayakosa, tatizo ni kuwa hujatafajari.
Kuna maswali unaacha tu ya kujibu.. wanazingua kinoma hao jamaaSwali lako ungekaa na kutafakari kidogo tu ungejua ni mangapi ambayo ukiishi bila ndoa utayakosa, tatizo ni kuwa hujatafajari.
😅😅😅😅 ntoe out basiWazee mnapaswa kurudisha jando.
Ndoa ni ya rohoni, fanya update rohoni.. bible ina miongozo yote ya ndoa.. Miongozo ya serikali ndio inawavuruga wasio elewa origin ya ndoaSawa umeandika vizuri sana, sasa hio Bible unajua imeandikwa mara ngap yaan matoleo mangap na pia unajua kabla ya Bible kufanyiwa tafasiri ilikua kwenye lugha gan?
Nisikuchanganye sana huko turudi huku kwenye sheria ya Ndoa ya kwetu ambayo imetungwa na kuandikwa na Bunge ya mwaka 1971 na kufanyiwa marekebisho mara ya mwisho mwaka 2002, je wewe kwa uelewa wako ulionao unahisi sheria ya Ndoa imenyooka au Ina mashimo mashimo?
Yaan uunde program alafu ikae tu miaka zaidi ya 21 hauifanyii updates ZOZOTE unahisi hio program si inakua imepitwa na wakati au wewe unaonaje?
Hata hii JF unayoitumia tangu ianzishwe haijawa kua dormant tu bila kufanyiwa updates zozote, na sheria ya Ndoa pia inabidi ifanyiwe marekebisho imeshapitwa na wakati miaka 21 bila marekebisho yoyote ni inabaki kua sheria useless,
Mzee samahani kwa hili swali Ila ningeomba ujibu inapobidi kwa kadri ya uelewa wako, Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 imeandikwa, imeandaliwa na imetungwa na nani?Ndoa ni ya rohoni, fanya update rohoni.. bible ina miongozo yote ya ndoa.. Miongozo ya serikali ndio inawavuruga wasio elewa origin ya ndoa
Siangalii ndoa kwenye mfumo ambao unauzunguzia .. ndio maana hapa ni kama vuta nikivute.. ukienda kwenye sheri ndoa ina mbemba mwanamke hilo halina ubishiMzee samahani kwa hili swali Ila ningeomba ujibu inapobidi kwa kadri ya uelewa wako, Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 imeandikwa, imeandaliwa na imetungwa na nani?
Jibu hilo swali alafu tuendelee ukiweza jibu kwa ufupi bila maelezo mengi, ukishanipa jibu tuendelee kujadili hili jambo alafu kingine ondoa masuala ya ROHO maana hakuna sehemu kwenye SHERIA YA NDOA pametaja masuala ya ROHO
Naomba tu-base kwenye Sheria ya Ndoa, maana hapo ndio kuna utata kukitokea lolote mamlaka inaenda kufungua vifungu vya Sheria ya Ndoa sio Msahafu wala Biblia
Basi kumbe umeelewa nini kinachopingwa na wengi kuhusu Sheria ya Ndoa, huku kwenye masuala ya kiroho patashughulikiwa na viongozi wa kiroho pale inapobidi na hapalalamikiwi Ila Sheria ya Ndoa ndio Ina matatizo ukiisoma vizuri ukaielewa utagundua jambo kwamba hii Sheria mboni ni ya Beijing kabisa hii 1995 mwanamke akiwezeshwa anawezaSiangalii ndoa kwenye mfumo ambao unauzunguzia .. ndio maana hapa ni kama vuta nikivute.. ukienda kwenye sheri ndoa ina mbemba mwanamke hilo halina ubishi
Serikali ( worldly system ) ipo kinyume na Spiritual system. Ndio maana migogoro ya ndoa kwenye akili humalizia ndani ya kanisa.. Sheria z dunia haziwezi fanya nipinge ndoa ambayo origin yake na muasisi ni MunguBasi kumbe umeelewa nini kinachopingwa na wengi kuhusu Sheria ya Ndoa, huku kwenye masuala ya kiroho patashughulikiwa na viongozi wa kiroho pale inapobidi na hapalalamikiwi Ila Sheria ya Ndoa ndio Ina matatizo ukiisoma vizuri ukaielewa utagundua jambo kwamba hii Sheria mboni ni ya Beijing kabisa hii 1995 mwanamke akiwezeshwa anaweza
Mbona unatukana wewe malaya. Jenga hoja, jibu hoja, mpuuzi ni wewe unayetetea utapeli wa ndoa.Hapo sasa.. Huyu mpuuzi ana allergy na feminist kwa kuwa mama yake alikua feminist
Sawa sikatai kulingana na uelewa wako kwa mujibu wa maandiko kwamba Ndoa imehasisiwa na Our Creator (Almighty God) Ila yapasa utambue kua pamoja na uasisi huo wanaofanya uwepo wa Ndoa ni wanadamu sio Our Creator na hakuna palipoandikwa kua kufunga Ndoa ni mandatory issue, hilo pia ulikumbuke kwa hio wapo wanaoamua kuishi pasina kufunga Ndoa, najua hilo unalitambua vizuri kabisa bila kupepesa macho yakoSerikali ( worldly system ) ipo kinyume na Spiritual system. Ndio maana migogoro ya ndoa kwenye akili humalizia ndani ya kanisa.. Sheria z dunia haziwezi fanya nipinge ndoa ambayo origin yake na muasisi ni Mungu
Malaya mama yako, tena UNIKOME, kujenga hoja wewe umejenga zaidi ya matusi?Mbona unatukana wewe malaya. Jenga hoja, jibu hoja, mpuuzi ni wewe unayetetea utapeli wa ndoa.
Naona kama unataka kujenga hoja kisha ghafla ukapoteana.Sawa sikatai kulingana na uelewa wako kwa mujibu wa maandiko kwamba Ndoa imehasisiwa na Our Creator (Almighty God) Ila yapasa utambue kua pamoja na uasisi huo wanaofanya uwepo wa Ndoa ni wanadamu sio Our Creator na hakuna palipoandikwa kua kufunga Ndoa ni mandatory issue, hilo pia ulikumbuke kwa hio wapo wanaoamua kuishi pasina kufunga Ndoa, najua hilo unalitambua vizuri kabisa bila kupepesa macho yako
Tupambane kwa hoja na si kushambuliana maungoniHapo sasa.. Huyu mpuuzi ana allergy na feminist kwa kuwa mama yake alikua feminist