min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Ww ndio umeona hivyo ndoa ni kama kamari kuna wanaoliwa na kuna wanao piga , na kuna ambao hawajihusishi na kamari kabsa , je kamari ni nzur au mbaya?Mfano wako hauendani na mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ndio umeona hivyo ndoa ni kama kamari kuna wanaoliwa na kuna wanao piga , na kuna ambao hawajihusishi na kamari kabsa , je kamari ni nzur au mbaya?Mfano wako hauendani na mada
Good manMimi niombeeni mema tu, nitaoa
kweli mkuu kwenye kamali kuna kula na kuliwaNi kwel mkuu bora ucheze kamari tu
Chukua tabia za mama yako mzazi utajua mwanamke sahihi anafananaje. Kama huzioni kwake wala kwa yoyote wa karibu katika familia yenu tatizo lako sio kutokuwepo kwa wanawake sahihi bali ni kutokuwa na reference katika maisha yako inayokusaidia kumtambua mwanamke sahihi.Wanawake sahihi ni yupi kama wanaweza igiza ata miaka 20
Maisha yenyewe ni kamari yanini uogope ndoa?Ww ndio umeona hivyo ndoa ni kama kamari kuna wanaoliwa na kuna wanao piga , na kuna ambao hawajihusishi na kamari kabsa , je kamari ni nzur au mbaya?
Tunakoelekea kwa hali hii ni kubayaGood man
Ila wapo. Wanawake wenye maadili wapo. Jamii yetu bado ina watoto wanaorithi maadili mema.Yaani kufa kuko karibu sana na idadi ya wanawake wa sifa hizo nzuri imepungua.
Mfano wako ni mzuri sana mkuu.Chukua tabia za mama yako mzazi utajua mwanamke sahihi anafananaje. Kama huzioni kwake wala kwa yoyote wa karibu katika familia yenu tatizo lako sio kutokuwepo kwa wanawake sahihi bali ni kutokuwa na reference katika maisha yako inayokusaidia kumtambua mwanamke sahihi.
Mkuu, tatizo ni tunajifanya wajanja na wajuaji sana linapokuja suala la kupata mwenza.Mfano wako ni mzuri sana mkuu.
Na haya ni matunda ya kukosa malezi na maadili. Wengi wanakurupuka.Mkuu, tatizo ni tunajifanya wajanja na wajuaji sana linapokuja suala la kupata mwenza.
Ulijuaje hili mkuuWengi wanaokataa ndoa hawana nguvu za kiume
Yote hayo yana mwisho mkuu.Dah ila sisi walaji wa wake za watu tupunguze ata kidgo kuna mda nakua na huruma na huyo mwenye ndoa lakni nitafanyaje sasa.
Je watoto wa ndoa kila siku wanaona baba ananyanyaswa au mama anapigwa kila sku na baba je?Huo mfano wamechwa upande wa baba na bado kazalisha mbakaji
Mama yangu ni wa karne ya 15 sasa tupo ya 21 hawa watu watakuaje na tabia zinazoendana ?Chukua tabia za mama yako mzazi utajua mwanamke sahihi anafananaje. Kama huzioni kwake wala kwa yoyote wa karibu katika familia yenu tatizo lako sio kutokuwepo kwa wanawake sahihi bali ni kutokuwa na reference katika maisha yako inayokusaidia kumtambua mwanamke sahihi.
Yeye anahuruma na wake za watu?Dah ila sisi walaji wa wake za watu tupunguze ata kidgo kuna mda nakua na huruma na huyo mwenye ndoa lakni nitafanyaje sasa.
Bila maisha hakuna uhai je bila ndoa?Maisha yenyewe ni kamari yanini uogope ndoa?
Hakuna kitu kisicho na mwisho mkuuYote hayo yana mwisho mkuu.