Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mkuu where were u?



Mbona umechelewa wasijesema anakuja kula pension
 
Mkuu issues za ndoa ni nyeti mno , sio wakubwa sio wadgo ndoa zimekuwa mwiba , na hili ni jukwaa la mapenz sioni kama kuna ubaya kama issue za ndoa zikizungumzwa humu.
Sasa ndio utajuwa Mimi na wewe nani mwenye akili.

Thread imeletwa huku kuunganishwa, na mwendo ni huu huu moderator wasafishe uchafu wote jukwaa la MMU.
 
Sasa ndio utajuwa Mimi na wewe nani mwenye akili.

Thread imeletwa huku kuunganishwa, na mwendo ni huu huu moderator wasafishe uchafu wote jukwaa la MMU.
Mkuu kwan tuna shindana[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nilisema tokea mwanzo kataa ndoa,ndoa ni ukati,ndoa ni utapeli kama unataka kuoa tusipende kukurupuka we fikiri unakutana nae demu bar unataka kumuona we ynafikiri atakuwa wife material? Nyie majitu msipende kukurupuka
 

Attachments

  • FB_IMG_1677157651259.jpg
    53.6 KB · Views: 6
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…