Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Babu yangu alioa wanawake Saba,na kila mmoja akazaa nae watoto kumi na mbili,na kila mmoja alijengewa nyumba na kupewa shsmba la ekari mbili.
Mengi uliyoyataja ni mahitaji ya kawaida ya mwanamke.
Je Kuna wanawake wabaya,gold diggers,yees wapo wengi!!!je Kuna ndoa zinazoumiza wanaume,zipo kibao,
Je Kuna ndoa na wanawake wazuri,?wapo weeengi tu.
Lakini Cha msingi tangu Dunia iumbwe,hakuna ndoa isiyo na matatizo!!!
Kuna ubaya gani binti,kutaka kuolewa na mtu mwenye uwezo au na mwelekeo wa kipato!?sasa unataka aolewe na kapuku,harafu uzao wake nao uishi kwa shida!umetoka familia maskini,umesoma kwa shida,uolewe Tena na kapuku harafu wanao Tena waishi maisha magumu!!!
Kijana Bado hujakomaaa,kama unatsfuta mwanamke wa kukupenda kwa mspenzi ya muvi za kifilipino na kihindi,usioe kabisa.
Ndoa ni maisha halisi sio maagizo,unaishi na binadamu sio maraika.
Hujamwelewa mtoa mada, shida sio mwanamke kuolewa na mtu mwenye mali nyingi, shida ni kuwa wanawake wengi wanaolewa kwasababu ya pesa ya mwanaume tu, na hawana hisia za kimapenzi na mwanaume aliolewa nae, sasa utakuta mdada akikuona anatamani atapike, jinsi anavyoona una sura mbaya, ila kwasababu una hela nyingi basi ataigiza kuwa anakupenda ili apate hela zako, yani wanaingia ndoani sababu ya pesa ya mwanaume tu.

Sidhani kama wewe utafurahi ukigundua mke ulie naye yuko na wewe sababu ya pesa zako tu, na hana hisia za kimapenzi na wewe JUAN MANUEL
 
Hivi kutimiza jukumu lako la kumhudumia mke wako nako ndiyo kupenda hela? Basi tuvunje huu mgawanyo wa majukumu ili iwe rasmi sasa wote mwanaume na mwanamke waingie mzigoni kutafuta pesa wasaidiane kulipa bills halafu na kazi za nyumbani pia liwe ni jukumu la wote unaonaje hapo?

Hujamwelewa mtoa mada, shida sio Jukumu la sisi kuwahudumia wanawake na kuwapa hela, Sisi wanaume tunapenda sana kuwapa hela wanawake tunaowapenda.

Shida ni kuwa wanawake wengi wanaolewa kwasababu tu ya pesa Za mwanaume tu, ilhali hawana hisia za kimapenzi na huyo mwanaume wanayeolewa naye , Kwa mfano utakuta mdada Hajavutiwa na mimi kimapenzi tena
ananiona nina sura mbaya, ila Kwa vile kaona nina vihela, ataigiza kuwa ananipenda ili tu apate hela zangu Karma
 
Kwahio mkuu tuchukulie mumeo alikuwa na fedha Ila baadae akafilisika au kufariki alafu wewe ndo hivyo majukumu yake huyawezi, yaani ulikuwa golikipa na Sasa umeachiwa watoto... Unafanyaje kuendesha gurudumu au ndo utaanza kudanga? Maana majukumu yote yatakuangalia wewe tu mwanamke?
 
Sema na we jamaa jifunze kufupisha.

Ndoa inamnufaisha zaidi mwanamke kuliko mwanaume. Kwa kifupi hakuna faida ya ndoa kwa mwanaume.
Mwanamke itampa unafuu wa maisha lakini mwanaume itamuongezea majukumu zaidi.
Mimi ni redpill guy, ila personally naona Ndoa ni nzuri na ina faida kwa sisi wanaume, Just imagine kuzeeka pamoja mkipendana We na mkeo huku mkisaidiana, na kuleana, kama ukimpata mke sahihi, ili upate uyo mke sahihi ni vitu viwili, bahati na Mungu aingilie kati, bila hivyo Mmh Vishu Mtata
 
Mimi ni redpill guy, ila personally naona Ndoa ni nzuri na ina faida kwa sisi wanaume, Just imagine kuzeeka pamoja mkipendana We na mkeo huku mkisaidiana, na kuleana, kama ukimpata mke sahihi, ili upate uyo mke sahihi ni vitu viwili, bahati na Mungu aingilie kati, bila hivyo Mmh Vishu Mtata
Haha mkuu, wenzako hio kusaidiana ndo hawaitaki wanataka uwe na hela Hadi mwisho
 
Mimi ni redpill guy, ila personally naona Ndoa ni nzuri na ina faida kwa sisi wanaume, Just imagine kuzeeka pamoja mkipendana We na mkeo huku mkisaidiana, na kuleana, kama ukimpata mke sahihi, ili upate uyo mke sahihi ni vitu viwili, bahati na Mungu aingilie kati, bila hivyo Mmh Vishu Mtata
Faida gani mwanaume unaipata mkuu??
Achana na wale wazee wa kipindi hicho mkuu. Kwasasa faida ya ndoa ipo zaidi kwa mwanamke.
 
Wajumbeeee salama?

Ni yuleyule Mfichua maovu ili awanusuru vijana na hili JANGA la Ndoa.

Si mlishaambiwa ndoa NDOANO na MSIOE? Ila mmekuwa WABISHI..

Kwa ukweli halisi bila kuongeza Wala Kupunguza naomba kuongea na wewe ambaye .

1. Mkeo ni askari magereza anasoma chuo Iringa na wewe ni mwalimu Songea. Mkeo umempa ruhusa ya kusoma, akaishi off campus. Sasa huko ghetoni kwake kuna baharia anajilalia kama yeye ndio katoa mahari.

2. Mkeo ni mwalimu ndani ya moja ya wilaya mkoa wa Songwe, mkeo ni mweupe na anashape fulani amaizing. Basi Kuna kijana ni mtendaji wa kijiji kimoja yupo ndani ya kata hiyo hiyo anayofundisha mkeo. Baharia anasugua mbususu ya mkeo kama kaoa yeye.

3. Mkeo anafanyia kazi moja ya chuo Iringa, na wewe upo kazini Sumbawanga. Basi huko Iringa huko raia wanampindukia balaa na mkeo.

4. Mkeo ni askari magereza (rafiki wa 01) ambae anasoma chuo kimoja na 01. Na wewe mwanaume ni mwanajeshi JWTZ huko Morogoro. Yaaani baharia pamoja na kuwa una vaa magwanda yanayo ogopesha ila raia wanachomfanya mkeo huko Iringa, Dah ni machungu sanaa.

5. Mkeo anafanya Kazi private company ya kilimo huko Mngeta (Morogoro >> Ifakara ndani ndani hukoo) na wewe unaishi Morogoro mjini. Basi bana Kuna mabosi wa kampuni wanajilia kama wao ndio wamemuoa.

6. Mkeo ni mwalimu huko Iringa, Kilolo ndani ndani huko na wewe upo sijui wapi. Aisee mabaharia wanaruka nae hasaa. Na mkeo ana bahasha wake mtu mzima hasa.

Mkeo anasemaga "Yule Mzee nimpeleke wapi mi nataka pesa zake tu". Basi bana mkeo hua anasafiri kutoka Iringa mpaka Dodoma ili akakutane na huyo babu. Mkeo anatoa utamu, babu anatoa pesa.

7. Mkeo ni Nesi ndani ya Songwe na wewe ni mwalimu Tabora. Bana eeh Nesi bana anatibu mpaka visivyotibika huko.

7. Mkeo ni mwalimu ajira mpya za juzi ndani mkoa uliokaribu na mkoa wa Mbeya. Sasa bana mkeo kaolewa huko, Kuna baharia alimpokea na kamfanya mkewe.

8. Mkeo ni HR, mweusi na ana chura fulani hivi amaizing. Wewe ni muuza magodoro huko mjini ya wilaya aliyopo mkeo kama HR wa halmashauri. Bana eeh huko kazini mabaharia nao Wana mHR chumbani.

9. Mkeo ni mfanyakazi bandarini Tanga na wewe upo Dar. Aisee wasambaa wanaenda nae sawaa hasaaa.

10. Mkeo ana duka kubwaa Iringa mjini na wewe unaishi mafinga unafanya Kazi kampuni ya simu. Bana bana mabaharia huwa wanachangia sanaa mtaji pale.

11. Mkeo ni mama mchungaji. Ni mweupe na mzuri hasaa. Anasoma uchungaji moja ya chuo hapa nchini. Aisee Kuna raia ni mwanafunzi mmoja wapo hapo Chuoni huwa wanakemea sanaa nae mapepo chumbani.

12. Mkeo ni engineer na kapata ajira juzi tu. Aisee mkuu wa Idara ya ujenzi (Engineer mwenzake) kamuoa kabisaaa.

13. Mmmmh ni wengine aiseee ni wengi sanaaaa. Nimetembea sanaa na nimejionea mengii wafanyayo wake zenu walio mbali na upeo wa macho yenu. Hawa ndio niliokutana nao kwenye kuzurula kwangu na wengine nimewasahau.

Nachotaka kusema ni kwamba ""Wewe unayeishi mbali na mkeo, aiseee mabaharia A.K.A wakurungwa wanaruka nae hasaa""

Mabaharia hawana hurumaa kabisa na zile laki kadhaa wengine mpaka milioni huko mlizotoa za mahari.

Wao wanaruka nae bureee.

Note:-
1. Ukiamua kuoa hebu kaa na mkeo ndani ya paa moja.

2. Kama wote ni wafanyakazi basi lazima mmoja akubali kuacha Kazi ili kulea hiyo ndoa. Vinginevyo mwanaume mwenzangu utasaidiwa sanaaa.

Na ushauri uliomkuu ni kwamba...

ACHA KUOA KABISA, MTAKUFA KWA MAWAZO NA MATESO YA NAFSI.

Nikutonye kitu: Nimekua na safiri sanaa kununua mpunga mikoa ya Moro, Mbeya na Songwe. Sasa ipo siku nitawaletea NYUZI ya wake zenu wanayoyafanya tunapokua nao tukinunua mpunga.

Aisee wanachofanya na huku mmewaoa tena kwa ndoa halali dah sina la kusema zaidi ya ""Mungu saidia ndoa za hawa mabaharia wenzangu""

Halafu msisahau kutafuta hela; Yes money can't buy everything, ila HAKIKISHA una pesa nyingi kabla hujaropoka huu ujinga..!!!!

#YNWA
Hata kama mke akisuguliwa wewe unashwa na nini???!!!
Wewe tusubiri uoe. Tena utaishi nayo bila kuwa mbalimbali. Tuone kama haitasuguliwa na manjemba.
 
Usikataz wanaume kuoa mzee sabab hizo za mkeo kunyandulia kawaida tu
Mi sijao ila nawaonaga wake zenu wanavyonyanduliwa mtaani huku.
Na siamini kama kugawa utamu ni kawaida ..

tena mda mwingine hata na ndugu zako.
Yaani kumbe mna "share" mbunye na ndugu zenu..!!!
Hili sio kawaida aiseee
Oeni mambo mengine mtayakuta tu tena yanasovika na maisha mengine yanaendlea tu
OENI
Unajua kabisa kile chumba kina Simba halafu unajipeleka..!!!

Mi nawaangalia halafu nacheka ""Hii bagoshaaaaa""

#YNWA
 
Kiasi fulani ni kweli, lakini wangapi wanaishi nao paa moja lakini wanatembeza balaaa?!!hayo mambo sio hesabu kuwa lazima iwe na jibu moja tu, kuna wake wa wapemba hata sokoni hawaendi lakini hapo hapo ndani, kuna watu wanawashughurikia, hapo utasemaje?
Mimi nafikiri wanaoishi paa moja afadhali mabaharia wanakula Kwa uoga Ila hao wanaoishi wilaya au mikoa tofauti. Mabaharia wanajilia kama wao ndio wameoa
 
Wajumbeeee salama?

Ni yuleyule Mfichua maovu ili awanusuru vijana na hili JANGA la Ndoa.

Si mlishaambiwa ndoa NDOANO na MSIOE? Ila mmekuwa WABISHI..

Kwa ukweli halisi bila kuongeza Wala Kupunguza naomba kuongea na wewe ambaye .

1. Mkeo ni askari magereza anasoma chuo Iringa na wewe ni mwalimu Songea. Mkeo umempa ruhusa ya kusoma, akaishi off campus. Sasa huko ghetoni kwake kuna baharia anajilalia kama yeye ndio katoa mahari.

2. Mkeo ni mwalimu ndani ya moja ya wilaya mkoa wa Songwe, mkeo ni mweupe na anashape fulani amaizing. Basi Kuna kijana ni mtendaji wa kijiji kimoja yupo ndani ya kata hiyo hiyo anayofundisha mkeo. Baharia anasugua mbususu ya mkeo kama kaoa yeye.

3. Mkeo anafanyia kazi moja ya chuo Iringa, na wewe upo kazini Sumbawanga. Basi huko Iringa huko raia wanampindukia balaa na mkeo.

4. Mkeo ni askari magereza (rafiki wa 01) ambae anasoma chuo kimoja na 01. Na wewe mwanaume ni mwanajeshi JWTZ huko Morogoro. Yaaani baharia pamoja na kuwa una vaa magwanda yanayo ogopesha ila raia wanachomfanya mkeo huko Iringa, Dah ni machungu sanaa.

5. Mkeo anafanya Kazi private company ya kilimo huko Mngeta (Morogoro >> Ifakara ndani ndani hukoo) na wewe unaishi Morogoro mjini. Basi bana Kuna mabosi wa kampuni wanajilia kama wao ndio wamemuoa.

6. Mkeo ni mwalimu huko Iringa, Kilolo ndani ndani huko na wewe upo sijui wapi. Aisee mabaharia wanaruka nae hasaa. Na mkeo ana bahasha wake mtu mzima hasa.

Mkeo anasemaga "Yule Mzee nimpeleke wapi mi nataka pesa zake tu". Basi bana mkeo hua anasafiri kutoka Iringa mpaka Dodoma ili akakutane na huyo babu. Mkeo anatoa utamu, babu anatoa pesa.

7. Mkeo ni Nesi ndani ya Songwe na wewe ni mwalimu Tabora. Bana eeh Nesi bana anatibu mpaka visivyotibika huko.

7. Mkeo ni mwalimu ajira mpya za juzi ndani mkoa uliokaribu na mkoa wa Mbeya. Sasa bana mkeo kaolewa huko, Kuna baharia alimpokea na kamfanya mkewe.

8. Mkeo ni HR, mweusi na ana chura fulani hivi amaizing. Wewe ni muuza magodoro huko mjini ya wilaya aliyopo mkeo kama HR wa halmashauri. Bana eeh huko kazini mabaharia nao Wana mHR chumbani.

9. Mkeo ni mfanyakazi bandarini Tanga na wewe upo Dar. Aisee wasambaa wanaenda nae sawaa hasaaa.

10. Mkeo ana duka kubwaa Iringa mjini na wewe unaishi mafinga unafanya Kazi kampuni ya simu. Bana bana mabaharia huwa wanachangia sanaa mtaji pale.

11. Mkeo ni mama mchungaji. Ni mweupe na mzuri hasaa. Anasoma uchungaji moja ya chuo hapa nchini. Aisee Kuna raia ni mwanafunzi mmoja wapo hapo Chuoni huwa wanakemea sanaa nae mapepo chumbani.

12. Mkeo ni engineer na kapata ajira juzi tu. Aisee mkuu wa Idara ya ujenzi (Engineer mwenzake) kamuoa kabisaaa.

13. Mmmmh ni wengine aiseee ni wengi sanaaaa. Nimetembea sanaa na nimejionea mengii wafanyayo wake zenu walio mbali na upeo wa macho yenu. Hawa ndio niliokutana nao kwenye kuzurula kwangu na wengine nimewasahau.

Nachotaka kusema ni kwamba ""Wewe unayeishi mbali na mkeo, aiseee mabaharia A.K.A wakurungwa wanaruka nae hasaa""

Mabaharia hawana hurumaa kabisa na zile laki kadhaa wengine mpaka milioni huko mlizotoa za mahari.

Wao wanaruka nae bureee.

Note:-
1. Ukiamua kuoa hebu kaa na mkeo ndani ya paa moja.

2. Kama wote ni wafanyakazi basi lazima mmoja akubali kuacha Kazi ili kulea hiyo ndoa. Vinginevyo mwanaume mwenzangu utasaidiwa sanaaa.

Na ushauri uliomkuu ni kwamba...

ACHA KUOA KABISA, MTAKUFA KWA MAWAZO NA MATESO YA NAFSI.

Nikutonye kitu: Nimekua na safiri sanaa kununua mpunga mikoa ya Moro, Mbeya na Songwe. Sasa ipo siku nitawaletea NYUZI ya wake zenu wanayoyafanya tunapokua nao tukinunua mpunga.

Aisee wanachofanya na huku mmewaoa tena kwa ndoa halali dah sina la kusema zaidi ya ""Mungu saidia ndoa za hawa mabaharia wenzangu""

Halafu msisahau kutafuta hela; Yes money can't buy everything, ila HAKIKISHA una pesa nyingi kabla hujaropoka huu ujinga..!!!!

#YNWA
Kafie mbali
 
Kuna mmoja hapa anakomaa nimsugue alipata nafasi akaja Dar, ni vile ninamhurumia tu mumewe huko Moshi... Ila wake wa watu wanagawa sana mbunye aisee.
 
Back
Top Bottom