Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Ukiona sikusikilizi ujue akili huna😅Naomba nisikuone huku tena kuwa mwanamke unaesikiliza nakuelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona sikusikilizi ujue akili huna😅Naomba nisikuone huku tena kuwa mwanamke unaesikiliza nakuelewa.
🙄 Mh!Nakupenda kenzy nimekusikiliza mume wangu😘😘
Acha uchawi jinga wewe, sijaandika hivyo🙄 Mh!
Unakuwa muongo hata kwa uliyoandika mwenyewe..😂 Acha kiburi.Acha uchawi jinga wewe, sijaandika hivyo
Wewe Ni Miongoni Mwa Vijana Ninaopenda Kufuatilia Nyuzi Zenu Hapa JFMwanamke anahitaji mwanaume mbabe, mshenzi asiye na huruma
Ukijifanya Mr.love umekwenda na maji.
Usiwajali watoto kuliko kujijali wewe MWENYEWE. Hawatakusaidia lolote.
Jifunze kuwa Mwanaume ndipo uoe.
Usiendeshwe na maneno ya Mwanamke.
Akikuzingua mara moja tambaa naye mara elfu mpaka Ajue amekosea njia.
Timua
Usipotimua utatimuliwa.
Mtu ni mwanaume bado mwanamke akusumbue huo ni upumbavu
Wewe Ni Miongoni Mwa Vijana Ninaopenda Kufuatilia Nyuzi Zenu Hapa JF
Huo ni mtazamo wako, hautuhusu wanaume rijali wengine. Sisi tunapambana tu na hao wanawake na tunawamudu yaani!Hapana mkuu
Mwanaume hawezi na hana ubavu wa kupambana na mwanamke. Mkeo akiwa msumbufu jambo la msingi ni kuoa mke wa pili.
Hapo itakuwa jukumu lao kuoneshana nani zaidi. Yaani nani anakupenda zaidi, nani anakujali zaidi, nani mkali kwenye mapishi, nani mkali kwa usafi. Nani mkali kwa mipango ya maendeleo. Kimsingi itamsaidia mno. Hivyo mume wao atakuwa huru kusaka mahela. Badala ya kutumia muda wako kujibizana maneno na mke mmoja.
Hiyo ndio kanuni!
Jichanganye nasema jichanganye umrudie kuna jamaa yangu mkewe alimsumbua sana Mungu si athumani Bana akapata mwingine na Yule wakaachana si watu wakamlaghai kuwa warudiane na mkewe atakuwa kajifunza ili walee watoto kilichompata jamaa saivi ni marehemu na mke yupo anadundaa duniani, ukipata nafasi ya kuachana na mtu Kwa amani shukuru Mungu sana mwanao atakuwa vizuri kikubwa tuma matumizi ukipata nafasi nenda kamuone Ila usijichanganye kurudiana na kirusi tabia ya mtu ni ngozi ata ajichubue VIP utarudi kwenye uhalisia wakeSema NN,mkuu,haya mambo buana we Acha Tu,kuna dada nimezaa nae ,mm kanda yaziwa yy,kusini,SASA anahitaji aje kwangu ili tulee mtoto japo aache kunyonya ili kila MTU anedelee nahamsini zake ,tatizo nihayo makelele yanayoambatana naugomvi mkubwa kiasi cha kuweza kuumizana mwili,
Hapa nawaza Sana,mtoto nahitaji nimlee nasiwezi kumlea bila yy,huku nikiwaza nitakabiliana nae vipi juu ya magomvi nnamaneno ambayo kiukweli Kwanza anaeongelea juu,Hadi najirani wanasikia ,napia anaweza kukudhalilisha mbele yawatu ,yy anadai amebadilika utoto umeisha Ila,duuu
Mshkaji wangu yamemkuta.Mbona umeandika thread kibabe sana!
Bila shaka ushaangukiwa na kitu che uzito kukuzidi...
Amen.Endelea kupiga spanaa mkuu..ipo siku nut zitalegea na watakuelewa...mimi nishaunga juhud mapema kabxa na muda wwte nitachukua kadi
Karibu.Kambi hapa
Vikao vya kamati VINAENDELEAJE?Mwaka huu naoa, jf mtapata card free[emoji120]
Wewe umetoa mahali wenzako wanakula BUREEE..!!Mimi nafikiri wanaoishi paa moja afadhali mabaharia wanakula Kwa uoga Ila hao wanaoishi wilaya au mikoa tofauti. Mabaharia wanajilia kama wao ndio wameoa
Nachofanya ni kuwakumbusha tu wanaume wenzangu.Mambo yao waachie wenyewe yasikuumize kichwa...
Karibu PM unipe namba nikutumie yaliyovunwa..!!Liverpool mzee wa ndoa, welcomed back....kilimo vipi ushapanda mazao???