Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inshort tusioe tu wanawake wote mwalimu wao mmojaRekebisha ujumbe: Sema vijana msikosee mwanamke wa kuoa.
Wahenga husema Tafuta wa kufanana naye kitabia, Je ulitumia muda gani kumfahamu tabia kabla ya kuamua kuishi naye katika ndoa?, Je ulipata muda wa kuifahamu familia yake pia?Yaliyonikuta baada ya kuoa najuta hapa nilipo nipo dawati la jinsia na nimenyang'anywa mali zangu zote
Sahihi kabisa, mdau kuna mahala alikosea.Acha kututisha hiyo inategemea ntu na ntu
Ww sema umekutana na balaa.... waache wenzio waoe, wafurai, waongeze miaka ya kuishWakuu habarini za sasa ...
Nasisitiza vijana musioe wanawake bora mkaishi wenyewe miaka yote ...cha msingi tafuta pesa ...mtafute Mungu...tena na tena tafuta pesa ....
Yaliyonikuta baada ya kuoa najuta hapa nilipo nipo dawati la jinsia na nimenyang'anywa mali zangu zote nilizotafuta kwa jasho langu ...narudia tena vijana musioe
Wewe ndo unajua Leo..???....Wakuu habarini za sasa ...
Nasisitiza vijana musioe wanawake bora mkaishi wenyewe miaka yote ...cha msingi tafuta pesa ...mtafute Mungu...tena na tena tafuta pesa ....
Yaliyonikuta baada ya kuoa najuta hapa nilipo nipo dawati la jinsia na nimenyang'anywa mali zangu zote nilizotafuta kwa jasho langu ...narudia tena vijana musioe
Kwaiyo mkuu ndoa imekusababishia umepolwa Mali zako zote?Wakuu habarini za sasa ...
Nasisitiza vijana musioe wanawake bora mkaishi wenyewe miaka yote ...cha msingi tafuta pesa ...mtafute Mungu...tena na tena tafuta pesa ....
Yaliyonikuta baada ya kuoa najuta hapa nilipo nipo dawati la jinsia na nimenyang'anywa mali zangu zote nilizotafuta kwa jasho langu ...narudia tena vijana musioe
Dah, hatari sana.Nilijifunza kitu toka kwa Kaka yangu, yeye ilikuwa kila akiitwa Kwenye usuruhishi kule Ofisi ya Kata, alikuwa anawaambia anampenda sana Mke wake hivyo wanaambiwa warudi Nyumbani wakaishi kwa upendo. Sasa wakifika Home tu undava unaendelea kama kawaida. Alikuwa anafanya hivi kwa lengo la kuilinda Nyumba yake na Biashara alizozipata baada ya kuoa, maana alijua wakipewa Barua ya kwenda Mahakamani, Nyumba yake itauzwa ili wagawane mali na mkewe ambae kiukweli wala hawapendani tena.
Mwanaume Usijekuhangaika kwenda mahakamani kwenye kesi dhidi ya Mkeo kwa maana hutashinda. Siku zote kukiwa na kesi ya Mke na Mume, anaeangaliwa kwa jicho la huruma ni Mwanamke na sio wewe
NYAMA NI NYAMA.... lakini balaa!Dah, hatari sana.
kabisa,Rekebisha ujumbe: Sema vijana msikosee mwanamke wa kuoa.