Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Elewa hoja.Kwako kuoa mwanamke anaeliwa hovyo ndio uanaume? Kua na akili
Wewe wote unaowala utakuja kuwaoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elewa hoja.Kwako kuoa mwanamke anaeliwa hovyo ndio uanaume? Kua na akili
Tuko tofauti Mkuu, naheshimu ndoa za watu kana siwezi muangalia mwanamke alieolewa kwa kumtamani, najua wanawake ni viumbe dhaifu saaana kwenye issue ya mapenzi, Mimi ninachowaza au ninachojiuliza uhalali wa mwanamke Ku cheat while ameolewa?...na mauaji yanayoendelea hawajifunzi tuElewa hoja.
Wewe wote unaowala utakuja kuwaoa?
Kiafrika usipooa utapata jina lako hivi karibuni.Mwamba nadhani hunijui..!!
Mi ni mtu ambae sina mpango wa kuoa kabisaa.
Hebu fatilia nyuzi zangu.
Sina mke na Wala SIHITAJI KUOA.
When you have money YOU HAVE EVERYTHING.
#YNWA
Kwahiyo dawa nikuoa mwanamke anayeliwa hovyohovyo,heshima yako wewe mume iko wapi?Elewa hoja.
Wewe wote unaowala utakuja kuwaoa?
Na nyinyi wa jf mna maamuzi kwenye nyuchi za watu?
Ni kosa baya sana sanaTuko tofauti Mkuu, naheshimu ndoa za watu kana siwezi muangalia mwanamke alieolewa kwa kumtamani, najua wanawake ni viumbe dhaifu saaana kwenye issue ya mapenzi, Mimi ninachowaza au ninachojiuliza uhalali wa mwanamke Ku cheat while ameolewa?...na mauaji yanayoendelea hawajifunzi tu
Ukiwa na akili njema wala usingeandika hii fafa hapa.Kwahiyo dawa nikuoa mwanamke anayeliwa hovyohovyo,heshima yako wewe mume iko wapi?
Ujingaujinga tu,unaoa mwanamke anagongesha hadi watoto wanajisikia aibu,sijui kwa wewe ceremonial husband.
Kiafrika usipooa utapata jina lako hivi karibuni.
Waafrika tunaamini kuwa utimamu wa mwanaume uko katika kuoa. Asiyeoa siyo timamu.
Hata kwingineko ulimwenguni kiasi kikubwa inaaminika hivyo, mwanaume timamu huoa.
Biblia inawaasa wanaume kuishi na wanawake kwa akili, maana yake ni kuwa mwanaume asiye na akili hawezi kuishi na mwanamke.
Halafu kuna utowashi. Biblia inataja matowashi wa aina 3 katika Mathayo 19:12 "Maana wako matowashi waliozaliwa hali hiyo toka matumboni mwa mama zao; tena wako matowashi waliofanywa na watu kuwa matowashi; tena wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea neno hili, na alipokee".
Kwahiyo kama hutaki kuoa ni sawa tu.
unavyotushauri tusioe wanawake wanachepuka ! kwan hao wanawake wanapochepuka huwa wanachepuka na viumbe gani ?
Ndoa zipoKuna ndoa sikuhiz kwan
Shemeji hebu kunywa mirinda usubiri kuhesabiwa, hizi ngonjera hazina ishu.....hao wanawake wanatiwa na kina nani kwani???
Sensa imetupa picha halisi.Wanaume tusioe jamani wanaume tusioe
Hakuna kuoa unaona ili iwe nini labda ugundue niniTatizo walioa wanakulana na masingle..
Wenye ndoa wangetulia tulii ili kushawishi wasioa waoe.
#YNWA