katika harakati za kupambana na maisha nimechunguza sana wale watu wa kataa ndoa au straight man ambao hawana shobo na wanawake hawa wa kitaa au makazini wengi wao wanapenda malaya
Kwaiyo kutokana na kugonga wimbi la wadada wazuri wa Kila shape ,sura na miondoko Kuna wanaume kwao MALAYA ni burudani .
Unakuta msela akiwa kitaa au ofisini akakutana na wadada wanaoringa au wanaotafuta attention yeye kubabaika nao ni ngumu manake ana reserve na history ya kula kina aina ya Papuchi nzuri na mbaya so anaona hakuna jipya
Machache kuhusu wale wa kataa ndoa au wapenda Malaya ,nimewaandikia kwa herufi kubwa
1.UKIZOEA MALAYA/DEMU ASIYE PERMANENT KUOA NI NGUMU SANA
2.NA HATA UKIOA BASI MWANAMKE HAUTOTISHIKA NA KUACHANA NAYE
3.PIA UKIZOEA MALAYA HAWA WANAWAKE WENGINE KITAA KUMBEMBELEZA MWANAMKE & KUHUDUMIA INAKUWA NGUMU
4.UKIZOEA MALAYA WANAWAKE WA KITAA,KANISANI ,MSIKITI I AU MAOFISINI HUTOBABAIKA NAO KUWASHOBOKEA
5.UKIZOEA MALAYA AU KUGONGA DEMU ASIYE PERMANENT HUWEZI JINYONGA KISA STRESS ZA MAPENZI
6.UKIZOEA MALAYA GHARAMA YAKO KUU NI KULIPIA HELA YA TENDO ,HAKUNA HELA YA SALUNI,SJUI VOCHA AU MAMA ANAUMWA
7.UKIZOEA MALAYA HUTAKUWA NA STRESS ZA KUTOMBEWA
ONGEZEA MENGINE UNAYOJUA KUHUSU WAPENDA MALAYA AU WATU WA KATAA NDOA