Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jadda Mimi na wewe tuna fahamiana rafiki, Leo nime Shiba so sitaki tujeshe hapa 😁😆Tatizo hii kataa ndoa yenu ni mikwara tu yani ni kama mnabeep muone kama wanawake watabadili tabia zao au la, ukitaka kuamini hili basi angalia pale mwanamke akisema kataa ndoa namna hawa kataa ndoa wa kiume watakavyomshambulia, kwa kifupi hii kampeni ya kataa ndoa haina lengo la kukataa ndoa bali lengo lake eti wanawake wabadilike na kwa kizazi hiki mtasubiri sana
Suhendra nimo nimo 😁😆, au na wewe ni chama hiki?!.Kumbe na wewe ni kataa ndoa😂
mimi ni mzee wa No fapBalozi wa chama Cha kataa ndoa proton pump
Ndio Ndio.....Napiga sana Ndoa kwa Nguvu zoteWe mwanachama wa kataa ndoa mkuu??
Alafu wewe kuna uzi fulani kule jukwaa la afya waka ku tag kama doctar aiseee nilicheka sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😃😃😃 mjumbe wa kamati, Poor Brain
Mimi sijawahi kuwa kataa ndoa na sitowahi kuwa kwa gharama zozote over my dead body.Half american chama haki kutambui mbona 😁
hahaha haya kakaMimi sijawahi kuwa kataa ndoa na sitowahi kuwa kwa gharama zozote over my dead body.
Nna mke mtarajiwa humu msije muua na presha kwa kuona nahusishwa na kataa ndoa.hahaha haya kaka
hahahaha, Mkuu hongera Sana. Acha niendelee kufurahi sinema hiiNna mke mtarajiwa humu msije muua na presha kwa kuona nahusishwa na kataa ndoa.
Ahsante mkuuhahahaha, Mkuu hongera Sana. Acha niendelee kufurahi sinema hii
hoya katibu mweneziMwenyekiti wa chama Cha kataa ndoa Liverpool VPN.
Hao ndio wake zaohapa napoishi kuna jamaa anamke mstaarabu sana ,mpole mnyenyekevu hatari kiufupi ni mwanamke mwenye heshima,
sasa jana naingia lodge na manzi namuona yule mke wa mtu naye tena anatoka lodge na jamaa flan wa garage halafu et ananionea aibu.
badae kdg baada ya show tumepumzika naona simu ya manz inaita kucheki imeseviwa "MY HUSBAND" ikabidi nimuulize kwa hasira we siulisema hujaolewa unakaa kwa dada yako ,
akanijibu kiunyonge "nisamee niliamin nikwambia nmeolewa utanipotezea wakat unajua kabsa nakupenda"
yaani time huyu naenda kumchakata tena yule mkewa mtu anatoka kuchakatwa,
ila huyu aliyenidanganya huwez amin kama ameolewa hata matiti yako fiti na ana mtoto(hii ni baada ya kuamua kupekua simu yake kujihakikishia)
nime shinda kesi, Sera zetu ziendelee.hoya katibu mwenezi
ukitoka kwenye kifungo uje tuendeleze kampeni..!!
#YNWA
Hoya mwanachama wangu, ukitoka kwenye kifungo karibu tuendeleze harakati.Pamoja sana, Chama langu
Hatimaye nimerudi😂😂😂Hoya mwanachama wangu, ukitoka kwenye kifungo karibu tuendeleze harakati.
#YNWA