Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Kidogo ndoa za talaka Zina nafuu, ila hizi za kitakacho tutenganisha ni kifo hapana ni kufufungiana speed gavana huku kilometers zinasoma!
 
Kidogo ndoa za talaka Zina nafuu, ila hizi za kitakacho tutenganisha ni kifo hapana ni kufufungiana speed gavana huku kilometers zinasoma!
Mkuu ngoja tuone dr mwaka kama atashinda kesi ya yule bi mdada anaetaka nyumba , akishinda ina nafuu, akishindwa kataa ndoa ata kma ameshuka makerubi aka sema fungeni ndoa .
 
Hili jambo deep down linaweza kwenda ku push zaidi agenda za upinde……Imagine vijana mnosema kataa kuoa, madai mnawakomesha wanawake na kujilinda kwa afya akili…..what will happen?

mnapiga mnasepa mnapiga mnasepa, matokeo ni nini? ,baadhi ya wanawake hata wale wazuri na sahihi watakuwa discouraged hata na kuanzisha mahusiano na vijana wa kiume watakuwa traumatised. Consequences zake ni nini!?

1….Mabinti watatafuta namna ya kulidhishana wenyewe kwa wenyewe, matango,dildos finally LGBT.

2….Mabinti wakishapata namna ya kuridhishana kwa wingi kumbuka mambo husambaa kwa kasi kama vazi la vijora lilivyoanza mpaka sasa,vijana mtaanza kuhaha kutafuta matundu, mwisho wa siku mtaanza kuangaliana nani mnyonge anyongwe, tamaa plus umasikin wa akili ulioanzishwa utakuta jamii ishakaribisha fully LGBT.

Najua mtasema wale wa kununua watakuwepo, kumbuka moja ya sababu zenu pia ni kuogopa kumhudumia mwanamke, kwa hiyo hata wa kununua mtakuwa mnachungulia mfuko…hata kimasihara itakuwa imepungua kwa kuwa sehem kubwa ya wanawake itakuwa na uoga na wanaume.

Haya yanaweza yasiwe ya leo,kesho wala ya kesho kutwa, ni pengine nyakati ambazo tayari wengi wetu humu tutakuwa tushasepa ulimwenguni, ila kwa kiwa sisi tunaishi kibinafsi tunaweza tukaona ni sawa.

Kumbuka ulimwengu na new world order unaweza jikuta kuwa kuropoka na kutenda “Kataa ndoa, Kataa ndoa” na ukaenda kuzibua milango ambayo hukuitegemea uka catalyse vitu ambavyo labda unavipinga.

Tufanye mambo kuwazia na vizazi vyetu tusiwe wabinafsi kifikra, usikate ndoa kata mtu asiye sahihi katika ndoa.

Tyrone
 
Umeniwahi!

Hii ajenda ni ya kishetani na inakwenda sambamba na ile ya ushoga.

Unakataa ndoa ili iweje? Uendelee kuzini na kutapanya singo mazazi dunia nzima? Hao watoto watakaozaliwa kwenye huo usingo maza watakuwa na makuzi ya aina gani?

Ndoa na familia ndiyo nguzo-mama ya jamii yo yote ile iliyosimama sawasawa. Na shetani anajua kuwa akishinda katika hili basi atakuwa amefanikiwa kuuparaganyua mpango mzima wa Mungu na ukijumlisha na huu mvuvumko wa upunga basi atakuwa amemaliza kila kitu.

Mungu na Atusaidie [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Screenshot_20230129-061840_DuckDuckGo.jpg
 
Mahusiano yamekuwa mtaji
Hasa hawa watoto wa 2000s hawaoleki, hawahusianiki, sijui itakuwaje baada ya miaka mitano lakini kwa vijana sioni vile wakioa aisee
 
Hoja hazina uzito,,swala la ndoa ni akili ya mwanaume mwenyewe,,haya mambo siyo ya kushawishiana kamanda.
 
Unakuta mwanamke ana ma-ex 16, alafu hapo bado anawasiliano na ma-ex 12. Kwenye hilo kundi wapo vijana hata wanne ambao wakiomba mechi lazima wapewe tu, alafu mimi ndio nakuja kujiokotea huyu mtu namuoa nakua namuita 'mke wangu kipenzi'. Hapo mnaanza kula kwa zamu sasa na kina Juma, Mwamedi, Hans mwishoe mimba kumbe katoto sio kako mhusika ni Jafeti. Hiiii
 
Unakuta mwanamke ana ma-ex 16, alafu hapo bado anawasiliano na ma-ex 12. Kwenye hilo kundi wapo vijana hata wanne ambao wakiomba mechi lazima wapewe tu, alafu mimi ndio nakuja kujiokotea huyu mtu namuoa nakua namuita 'mke wangu kipenzi'. Hapo mnaanza kula kwa zamu sasa na kina Juma, Mwamedi, Hans mwishoe mimba kumbe katoto sio kako mhusika ni Jafeti. Hiiii
Wewe una ex wangapi
 
Back
Top Bottom