dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
NAKAZIAKataa Utumwa
Kataa Unyonyaji
Kataa Ujambazi
Tokomeza Ndoa
Pinga Ndoa
Kataa Ndoa
NAKAZIA
NAKAZIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIAKataa Utumwa
Kataa Unyonyaji
Kataa Ujambazi
Tokomeza Ndoa
Pinga Ndoa
Kataa Ndoa
Mimi ndo mwizi mwenyewe.Uliibiwa Nini??
Mbona hutaki kufunguka
Anapatikana wapi huyo??Mjomba kikubwa ni kutulia kumpata mtu sahihi
Wew utakua ni rangi nyingi.Kataa Utumwa
Kataa Unyonyaji
Kataa Ujambazi
Tokomeza Ndoa
Pinga Ndoa
Kataa Ndoa
Kwani hao wenzenu rangi nyingi hawapiganii ndoa? Hata mashoga kuaoana ni ndoa, sisi tunapinga ndoa zote. KATAA NDOAWew utakua ni rangi nyingi.
Uhjajijua kama ni wa kike au wa kiume ndio maana.Kwani hao wenzenu rangi nyingi hawapiganii ndoa? Hata mashoga kuaoana ni ndoa, sisi tunapinga ndoa zote. KATAA NDOA
Wakati nimeoa na kuanza kuishi na wife ndani siku za kwanza wife alikuwa ananipa kwa wiki kama mara mbili hivi. Nikifosi basi itafika mara 3 au 4.
Unajua mwanaume ukipiga bao automatically ashki huisha hapohapo na unaweza kusema sitaki tena sex mpaka mwaka upite ila kesho tu wazungu wanakusumbua tena. Unaanza tena kusimamisha mnara wa Babeli. Wanawake wenye kupenda sex kila siku ni wachache sana, wengine kwa wiki labda wakahisi kiu mara moja tu. Na wengine kwa mwezi ni siku tatu tu .
Sasa ukiwa mjinga utapangiwa ratiba na mwanamke.
Nilivyoona wife ananipangia ratiba, siku moja usiku namshika anatoa mkono, nikavaa nikaenda sebuleni nikalala huko akaja kunipa sebuleni.
Siku nyingine akarudia nikavaa nikatoka nje nikarudi asubuhi. Nikavaa nguo nikaenda kazini. Sms za malalamiko kuwa nilikwenda kulala kwa mchepuko zikaanza. Nikamjibu kweli nilichepuka baada ya kuona yeye naye amempata mwanaume ampendaye anayempa bila kikomo that's why Mimi ananipangia ratiba.
Kwakuwa sasa kila mmoja amempata ampendaye imekaa vizuri achague kati ya kubaki nyumbani amwite mwenzake waishi pale au amfuate mwenzi wake Mimi nibaki pale na mtu ninayempenda.
Nataka majibu kabla ya saa SITA. Hiyo ikumbukwe kuwa ilikuwa saa tatu asubuhi.
Nikamwambia kuwa awe huru akitaka kubaki pale Mimi sitatia mguu wangu tena na awe huru kwa lolote.
Kilichofuata ni kilio na kuomba msamaha.
Nikamwambia tukutane sehemu fulani jioni nikitoka kazini aje na watu wazima wawili Akaja . Nikamwambia sasa kuhusu hali halisi nikaanza "mimi Jana usiku nikitoka nyumbani kwa hasira na kwenda kushinda mitaani nikiwa na mawazo mengi baada ya kuona mke wangu kaanza tabia za uzinzi na umalaya, inafika wakati mpaka anachoka anashindwa kunipa unyumba Mimi mume wake, kwakuwa nilishaapa kuwa mke wangu akichepuka nitamwacha muda huohuo basi kuanzia sasa sitamgusa tena awe huru kwa mwili wake na sasa ninakwenda kuanza maisha mapya".
Wazee wakahamaki na kuniomba msamaha mwisho wa siku ndoa ikiendelea.
Haiwezekani nikulishe, nikuvishe, nikutibu n.k halafu unipangie ratiba kama mtoto wa chekechea.
Mpaka leo wife hajawahi kulala na chupi labla awe kwenye blead.
Sikuwa najaribu, kama angeonyesha kiburi kwenye kutatua kale kamgogoro ningemwacha mazima maana ingekuwa ishara kuwa kuna mtu nyuma anamtia kiburi.
We ni jasusiWakati nimeoa na kuanza kuishi na wife ndani siku za kwanza wife alikuwa ananipa kwa wiki kama mara mbili hivi. Nikifosi basi itafika mara 3 au 4.
Unajua mwanaume ukipiga bao automatically ashki huisha hapohapo na unaweza kusema sitaki tena sex mpaka mwaka upite ila kesho tu wazungu wanakusumbua tena. Unaanza tena kusimamisha mnara wa Babeli. Wanawake wenye kupenda sex kila siku ni wachache sana, wengine kwa wiki labda wakahisi kiu mara moja tu. Na wengine kwa mwezi ni siku tatu tu .
Sasa ukiwa mjinga utapangiwa ratiba na mwanamke.
Nilivyoona wife ananipangia ratiba, siku moja usiku namshika anatoa mkono, nikavaa nikaenda sebuleni nikalala huko akaja kunipa sebuleni.
Siku nyingine akarudia nikavaa nikatoka nje nikarudi asubuhi. Nikavaa nguo nikaenda kazini. Sms za malalamiko kuwa nilikwenda kulala kwa mchepuko zikaanza. Nikamjibu kweli nilichepuka baada ya kuona yeye naye amempata mwanaume ampendaye anayempa bila kikomo that's why Mimi ananipangia ratiba.
Kwakuwa sasa kila mmoja amempata ampendaye imekaa vizuri achague kati ya kubaki nyumbani amwite mwenzake waishi pale au amfuate mwenzi wake Mimi nibaki pale na mtu ninayempenda.
Nataka majibu kabla ya saa SITA. Hiyo ikumbukwe kuwa ilikuwa saa tatu asubuhi.
Nikamwambia kuwa awe huru akitaka kubaki pale Mimi sitatia mguu wangu tena na awe huru kwa lolote.
Kilichofuata ni kilio na kuomba msamaha.
Nikamwambia tukutane sehemu fulani jioni nikitoka kazini aje na watu wazima wawili Akaja . Nikamwambia sasa kuhusu hali halisi nikaanza "mimi Jana usiku nikitoka nyumbani kwa hasira na kwenda kushinda mitaani nikiwa na mawazo mengi baada ya kuona mke wangu kaanza tabia za uzinzi na umalaya, inafika wakati mpaka anachoka anashindwa kunipa unyumba Mimi mume wake, kwakuwa nilishaapa kuwa mke wangu akichepuka nitamwacha muda huohuo basi kuanzia sasa sitamgusa tena awe huru kwa mwili wake na sasa ninakwenda kuanza maisha mapya".
Wazee wakahamaki na kuniomba msamaha mwisho wa siku ndoa ikiendelea.
Haiwezekani nikulishe, nikuvishe, nikutibu n.k halafu unipangie ratiba kama mtoto wa chekechea.
Mpaka leo wife hajawahi kulala na chupi labla awe kwenye blead.
Sikuwa najaribu, kama angeonyesha kiburi kwenye kutatua kale kamgogoro ningemwacha mazima maana ingekuwa ishara kuwa kuna mtu nyuma anamtia kiburi.
Hatari sanaWe ni jasusi
Out of contextNasubiri...
Tufike kwenye:
"kataa kusomesha mtoto wa kike"
"Kataa kuajiri mtoto wa kike"
"Kataa kuzaa mtoto wa kike"
"Kataa kuzaa na mwanamke"
"Kataa kuwa na ndugu mwanamke"
"Kataa kuzaliwa kwenye Ndoa"
"Kataa kuzaliwa na mwanamke"........
Then it's over now.
Aisee hatarii sanaaa...!! Kwa hiyo siku hizii ukitakaa tu unaiwekaaaaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wakati nimeoa na kuanza kuishi na wife ndani siku za kwanza wife alikuwa ananipa kwa wiki kama mara mbili hivi. Nikifosi basi itafika mara 3 au 4.
Unajua mwanaume ukipiga bao automatically ashki huisha hapohapo na unaweza kusema sitaki tena sex mpaka mwaka upite ila kesho tu wazungu wanakusumbua tena. Unaanza tena kusimamisha mnara wa Babeli. Wanawake wenye kupenda sex kila siku ni wachache sana, wengine kwa wiki labda wakahisi kiu mara moja tu. Na wengine kwa mwezi ni siku tatu tu .
Sasa ukiwa mjinga utapangiwa ratiba na mwanamke.
Nilivyoona wife ananipangia ratiba, siku moja usiku namshika anatoa mkono, nikavaa nikaenda sebuleni nikalala huko akaja kunipa sebuleni.
Siku nyingine akarudia nikavaa nikatoka nje nikarudi asubuhi. Nikavaa nguo nikaenda kazini. Sms za malalamiko kuwa nilikwenda kulala kwa mchepuko zikaanza. Nikamjibu kweli nilichepuka baada ya kuona yeye naye amempata mwanaume ampendaye anayempa bila kikomo that's why Mimi ananipangia ratiba.
Kwakuwa sasa kila mmoja amempata ampendaye imekaa vizuri achague kati ya kubaki nyumbani amwite mwenzake waishi pale au amfuate mwenzi wake Mimi nibaki pale na mtu ninayempenda.
Nataka majibu kabla ya saa SITA. Hiyo ikumbukwe kuwa ilikuwa saa tatu asubuhi.
Nikamwambia kuwa awe huru akitaka kubaki pale Mimi sitatia mguu wangu tena na awe huru kwa lolote.
Kilichofuata ni kilio na kuomba msamaha.
Nikamwambia tukutane sehemu fulani jioni nikitoka kazini aje na watu wazima wawili Akaja . Nikamwambia sasa kuhusu hali halisi nikaanza "mimi Jana usiku nikitoka nyumbani kwa hasira na kwenda kushinda mitaani nikiwa na mawazo mengi baada ya kuona mke wangu kaanza tabia za uzinzi na umalaya, inafika wakati mpaka anachoka anashindwa kunipa unyumba Mimi mume wake, kwakuwa nilishaapa kuwa mke wangu akichepuka nitamwacha muda huohuo basi kuanzia sasa sitamgusa tena awe huru kwa mwili wake na sasa ninakwenda kuanza maisha mapya".
Wazee wakahamaki na kuniomba msamaha mwisho wa siku ndoa ikiendelea.
Haiwezekani nikulishe, nikuvishe, nikutibu n.k halafu unipangie ratiba kama mtoto wa chekechea.
Mpaka leo wife hajawahi kulala na chupi labla awe kwenye blead.
Sikuwa najaribu, kama angeonyesha kiburi kwenye kutatua kale kamgogoro ningemwacha mazima maana ingekuwa ishara kuwa kuna mtu nyuma anamtia kiburi.
Yaani ni full kuizagamua bila mashartiAisee hatarii sanaaa...!! Kwa hiyo siku hizii ukitakaa tu unaiwekaaaaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Aisee hatari sanaa.. Anafika lakini maana hawa viumbe unaweza weka kila.siku akaenda kojozwa nje badoYaani ni full kuizagamua bila masharti
Kukaa na watoto wako ukishuhudia hatua kadhaa za makuzi na kuwajengea falsafa zitakazowasaidia maishani mfn kuwafundisha kazi kwa bidii na kutokata tamaa,Toa faida hata moja tu ya ndoa ambayo asiyeoa haipati. Toa angalau moja tu. Then baadae nitakwambia utapeli wa ndoa.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Wakati nimeoa na kuanza kuishi na wife ndani siku za kwanza wife alikuwa ananipa kwa wiki kama mara mbili hivi. Nikifosi basi itafika mara 3 au 4.
Unajua mwanaume ukipiga bao automatically ashki huisha hapohapo na unaweza kusema sitaki tena sex mpaka mwaka upite ila kesho tu wazungu wanakusumbua tena. Unaanza tena kusimamisha mnara wa Babeli. Wanawake wenye kupenda sex kila siku ni wachache sana, wengine kwa wiki labda wakahisi kiu mara moja tu. Na wengine kwa mwezi ni siku tatu tu .
Sasa ukiwa mjinga utapangiwa ratiba na mwanamke.
Nilivyoona wife ananipangia ratiba, siku moja usiku namshika anatoa mkono, nikavaa nikaenda sebuleni nikalala huko akaja kunipa sebuleni.
Siku nyingine akarudia nikavaa nikatoka nje nikarudi asubuhi. Nikavaa nguo nikaenda kazini. Sms za malalamiko kuwa nilikwenda kulala kwa mchepuko zikaanza. Nikamjibu kweli nilichepuka baada ya kuona yeye naye amempata mwanaume ampendaye anayempa bila kikomo that's why Mimi ananipangia ratiba.
Kwakuwa sasa kila mmoja amempata ampendaye imekaa vizuri achague kati ya kubaki nyumbani amwite mwenzake waishi pale au amfuate mwenzi wake Mimi nibaki pale na mtu ninayempenda.
Nataka majibu kabla ya saa SITA. Hiyo ikumbukwe kuwa ilikuwa saa tatu asubuhi.
Nikamwambia kuwa awe huru akitaka kubaki pale Mimi sitatia mguu wangu tena na awe huru kwa lolote.
Kilichofuata ni kilio na kuomba msamaha.
Nikamwambia tukutane sehemu fulani jioni nikitoka kazini aje na watu wazima wawili Akaja . Nikamwambia sasa kuhusu hali halisi nikaanza "mimi Jana usiku nikitoka nyumbani kwa hasira na kwenda kushinda mitaani nikiwa na mawazo mengi baada ya kuona mke wangu kaanza tabia za uzinzi na umalaya, inafika wakati mpaka anachoka anashindwa kunipa unyumba Mimi mume wake, kwakuwa nilishaapa kuwa mke wangu akichepuka nitamwacha muda huohuo basi kuanzia sasa sitamgusa tena awe huru kwa mwili wake na sasa ninakwenda kuanza maisha mapya".
Wazee wakahamaki na kuniomba msamaha mwisho wa siku ndoa ikiendelea.
Haiwezekani nikulishe, nikuvishe, nikutibu n.k halafu unipangie ratiba kama mtoto wa chekechea.
Mpaka leo wife hajawahi kulala na chupi labla awe kwenye blead.
Sikuwa najaribu, kama angeonyesha kiburi kwenye kutatua kale kamgogoro ningemwacha mazima maana ingekuwa ishara kuwa kuna mtu nyuma anamtia kiburi.