Hili jambo deep down linaweza kwenda ku push zaidi agenda za upinde……Imagine vijana mnosema kataa kuoa, madai mnawakomesha wanawake na kujilinda kwa afya akili…..what will happen?
mnapiga mnasepa mnapiga mnasepa, matokeo ni nini? ,baadhi ya wanawake hata wale wazuri na sahihi watakuwa discouraged hata na kuanzisha mahusiano na vijana wa kiume watakuwa traumatised. Consequences zake ni nini!?
1….Mabinti watatafuta namna ya kulidhishana wenyewe kwa wenyewe, matango,dildos finally LGBT.
2….Mabinti wakishapata namna ya kuridhishana kwa wingi kumbuka mambo husambaa kwa kasi kama vazi la vijora lilivyoanza mpaka sasa,vijana mtaanza kuhaha kutafuta matundu, mwisho wa siku mtaanza kuangaliana nani mnyonge anyongwe, tamaa plus umasikin wa akili ulioanzishwa utakuta jamii ishakaribisha fully LGBT.
Najua mtasema wale wa kununua watakuwepo, kumbuka moja ya sababu zenu pia ni kuogopa kumhudumia mwanamke, kwa hiyo hata wa kununua mtakuwa mnachungulia mfuko…hata kimasihara itakuwa imepungua kwa kuwa sehem kubwa ya wanawake itakuwa na uoga na wanaume.
Haya yanaweza yasiwe ya leo,kesho wala ya kesho kutwa, ni pengine nyakati ambazo tayari wengi wetu humu tutakuwa tushasepa ulimwenguni, ila kwa kiwa sisi tunaishi kibinafsi tunaweza tukaona ni sawa.
Kumbuka ulimwengu na new world order unaweza jikuta kuwa kuropoka na kutenda “Kataa ndoa, Kataa ndoa” na ukaenda kuzibua milango ambayo hukuitegemea uka catalyse vitu ambavyo labda unavipinga.
Tufanye mambo kuwazia na vizazi vyetu tusiwe wabinafsi kifikra, usikate ndoa kata mtu asiye sahihi katika ndoa.
Tyrone