Kwani walio oa havuni chochote kutoka na ndoa yao?Ukikataa ndoa kataa na tendo la ndoa.
Hupaswi kujipatia raha ya ngono nje ya kifungo cha ndoa ikimaanisha hata punyeto ni makosa..
So ukiona unauhitaji wa sana na ngono oa.
Otherwise utavuna unachokipanda.
MweeNdoa zinafaida kwa ke kwa me ni utumwa kwa dunia ya sasa,mwanamke kwangu akigusia kufunga ndoa napga chin . Nipo tyr kukaa na mwanamke ata miaka100 bila kufunga ndoa
Mpka tufike huko utakuta nimeshakufa
NakaziaNdoa ni kichaka cha mwanamke kumnyonya mwanaume, ndoa ni utumwa (mwanaume amtafutie mwanamke na mwisho wa siku wakiachana wagawane mali alizotafuta mwanaume!)
Ndoa ni ubatili, Kijana usione
KATAA NDOA
Mkuu nilishajitahidi mno nisiwe mbinafsi nikajikuta narudi nyuma hatua kumi na masimango kibaoHuo ndio ubinafsi niliousema kwa hiyo, huna mpango mwema wowote na kizazi kijacho!?
Ubinafsi unatufanya tunashindwa kuvunja circle za umasikini kwenye koo,Circle za ushirikina koo etc.
Mungu akujalie umri mrefu, utakuja kujua hukujua.
Muda ni mwalimu mzuri.
Hiki kizazi kipo very civilized
Mfano Mimi ni introvert sipendi kelele Wala kumfokea mtu au Mtu anipigie kelele pia sipendi kukaa karibu na mtu yoyote chumba kimoja
Maana yake Mimi sihitaji Mwanamke na sio dhambi sisi introvert tumeumbwa hivyo.
Ndoa zinapigiwa chapuo na watu wenye IQ ndogo wanaodhani Furaha yao inatokana na Binadamu
Mtu makini (Introvert) Hana shida na hizo na kampani fake za kuuana na kutiana Hasara.
Then mtu Kama Mimi sihitaji kuacha Legacy ya Mwanamke na mtoto hela zangu ndogo ntasaidia Yatima ,wafungwa ,wajane nk sio kwa ajili ya Mwanamke.
Nampogeza muhasisi wa kampeni ya Kataa Ndoa Mr Liverpool VPN hakika wewe ni shujaa
Pia tuendelee na No Fap challenge no time to waste.
Hakikisheni mnapata tu angalau watoto msije kutia huruma huko uzeeni.
Maupinde yalipopata sauti tu ya kujisemea duniani basi na makorokoro mengine nayo yanajiona yana haki ya kusema. Sasa kama mtu jogoo hapandi mtungi anaacha kula vitunguu swaumu apone anajikatia tamaa anakuja kushawishi vijana wengine wenye nguvu zao wasioe. Wanaokataa ndoa ni kwamba zana zao zimelegea hakuna defense nyingine. Kama zimetimia na hutaki kuoa basi we ndo unaelawiti hadi mbuzi 🌚Sisi Waafrika tuna asili ya kujumuika pamoja, kuwasha moto na kusikiliza hadithi za wazee pamoja na kuzaliana kwa wingi. Hizi TV na smartphone zikaja ndo watoto wanakuwa introvent sijui nn.
Mwafrika, Mtanganyika na introvent wapi na wapi? Tunaangalia movie na tamthilia tunajiaminisha mambo ya kuchekesha. Maupinde nayo yanasemaga yameumbwa hivyo.
Sasa si mna sign pre nups au. Na mki sign inabidi umruhusu mkeo akatafute zake. Sio unamzalisha mtoto wa watu anachakaa miaka 20 unakuja kumuacha hana hata nyoyaNdoa ni utapeli mtu azikute Mali afu mkiachana mgawane?
Mkichuma wote it's okaySasa si mna sign pre nups au. Na mki sign inabidi umruhusu mkeo akatafute zake. Sio unamzalisha mtoto wa watu anachakaa miaka 20 unakuja kumuacha hana hata nyoya
Watoto Wana mchango gani na uzee wa binadamu?Hakikisheni mnapata tu angalau watoto msije kutia huruma huko uzeeni.