Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Ukikataa ndoa kataa na tendo la ndoa.
Hupaswi kujipatia raha ya ngono nje ya kifungo cha ndoa ikimaanisha hata punyeto ni makosa..
So ukiona unauhitaji wa sana na ngono oa.
Otherwise utavuna unachokipanda.
Kwani walio oa havuni chochote kutoka na ndoa yao?
 
Ndoa zinafaida kwa ke kwa me ni utumwa kwa dunia ya sasa,mwanamke kwangu akigusia kufunga ndoa napga chin . Nipo tyr kukaa na mwanamke ata miaka100 bila kufunga ndoa
Mwee
Haya mkuu
 
Mpka tufike huko utakuta nimeshakufa

Huo ndio ubinafsi niliousema kwa hiyo, huna mpango mwema wowote na kizazi kijacho!?

Ubinafsi unatufanya tunashindwa kuvunja circle za umasikini kwenye koo,Circle za ushirikina koo etc.
 
Hii dhani ni ya kweli, yaliyomo yamo. Kuna kipindi tuliona washika dini ndio wenye upendo wa kweli kwenye ndoa ila nao wameharibika, hawana tofauti na wamataifa, ni vurugu tupu, usaliti unafanywa bila hofu ya Mungu. Suluhisho sio kukataa ndoa maana uzazi ungalipo. Wanatakiwa kuzaliwa watoto wenye wazazi wanaoeleweka. Hii kampeni ikishika hatamu itajengeka jamii inayozaa watoto wasiokuwa na wazazi wote wawili wanaoishi pamoja. Wanawake watakuwa wanazaa kihuni zaidi hata na waume za watu. Ndoa haitaheshimiwa, single mother wataongezeka kwa kasi ya ajabu
 
Huo ndio ubinafsi niliousema kwa hiyo, huna mpango mwema wowote na kizazi kijacho!?

Ubinafsi unatufanya tunashindwa kuvunja circle za umasikini kwenye koo,Circle za ushirikina koo etc.
Mkuu nilishajitahidi mno nisiwe mbinafsi nikajikuta narudi nyuma hatua kumi na masimango kibao
 
Hiki kizazi kipo very civilized.

Mfano Mimi ni introvert sipendi kelele Wala kumfokea mtu au Mtu anipigie kelele pia sipendi kukaa karibu na mtu yoyote chumba kimoja.

Maana yake Mimi sihitaji Mwanamke na sio dhambi sisi introvert tumeumbwa hivyo.

Ndoa zinapigiwa chapuo na watu wenye IQ ndogo wanaodhani Furaha yao inatokana na Binadamu.

Mtu makini (Introvert) Hana shida na hizo na kampani fake za kuuana na kutiana Hasara.

Then mtu Kama Mimi sihitaji kuacha Legacy ya Mwanamke na mtoto hela zangu ndogo ntasaidia Yatima ,wafungwa ,wajane nk sio kwa ajili ya Mwanamke.

Nampogeza muhasisi wa kampeni ya Kataa Ndoa Mr Liverpool VPN hakika wewe ni shujaa

Pia tuendelee na No Fap challenge no time to waste.
 
Sisi Waafrika tuna asili ya kujumuika pamoja, kuwasha moto na kusikiliza hadithi za wazee pamoja na kuzaliana kwa wingi. Hizi TV na smartphone zikaja ndo watoto wanakuwa introvent sijui nn.

Mwafrika, Mtanganyika na introvent wapi na wapi? Tunaangalia movie na tamthilia tunajiaminisha mambo ya kuchekesha. Maupinde nayo yanasemaga yameumbwa hivyo.
 
Hiki kizazi kipo very civilized

Mfano Mimi ni introvert sipendi kelele Wala kumfokea mtu au Mtu anipigie kelele pia sipendi kukaa karibu na mtu yoyote chumba kimoja

Maana yake Mimi sihitaji Mwanamke na sio dhambi sisi introvert tumeumbwa hivyo.

Ndoa zinapigiwa chapuo na watu wenye IQ ndogo wanaodhani Furaha yao inatokana na Binadamu

Mtu makini (Introvert) Hana shida na hizo na kampani fake za kuuana na kutiana Hasara.

Then mtu Kama Mimi sihitaji kuacha Legacy ya Mwanamke na mtoto hela zangu ndogo ntasaidia Yatima ,wafungwa ,wajane nk sio kwa ajili ya Mwanamke.

Nampogeza muhasisi wa kampeni ya Kataa Ndoa Mr Liverpool VPN hakika wewe ni shujaa

Pia tuendelee na No Fap challenge no time to waste.

Tafuta hela ili ....
1. Ule utakacho
2. Uvae utakacho
3. Ukasali msikiti/kanisa utakalo duniani hapa yaani liwe location yoyotee...
4. USAFIRI popotee utakapo.

Tafuta hela ili u-enjoy.

Mengine WAACHIE WAO.

#YNWA
 
Sisi Waafrika tuna asili ya kujumuika pamoja, kuwasha moto na kusikiliza hadithi za wazee pamoja na kuzaliana kwa wingi. Hizi TV na smartphone zikaja ndo watoto wanakuwa introvent sijui nn.
Mwafrika, Mtanganyika na introvent wapi na wapi? Tunaangalia movie na tamthilia tunajiaminisha mambo ya kuchekesha. Maupinde nayo yanasemaga yameumbwa hivyo.
Maupinde yalipopata sauti tu ya kujisemea duniani basi na makorokoro mengine nayo yanajiona yana haki ya kusema. Sasa kama mtu jogoo hapandi mtungi anaacha kula vitunguu swaumu apone anajikatia tamaa anakuja kushawishi vijana wengine wenye nguvu zao wasioe. Wanaokataa ndoa ni kwamba zana zao zimelegea hakuna defense nyingine. Kama zimetimia na hutaki kuoa basi we ndo unaelawiti hadi mbuzi 🌚
 
Back
Top Bottom