Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,359
- 4,528
Kamari kama utakurupuka ila kama utamjua huyo unayetaka kufunga naye ndoa haiwezi kuwa kamari tsnaKufunga ndoa ni kamari tu , haimaanishi kamari ni nzuri ata kama ukila pesa .
NIMEONA KULE FACEBOOK, INSTA NA HASA TIKTOK.Kampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi kwa kuwa hazina nia njema ya kujenga jamii, kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania
Wewe unayeshawishi watu wasioe umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
Ni kama tunavoona Mo, Bakhresa, Rostam Aziz,GSM na matajiri wengine wanavopigwa jua kubeba zege na kushindia mlo mmoja.Mkuu haina haja ya kusoma , tumeona yanayomtokea mwaka ,familia ya mengi na wengi kitaa .
Mbona fresg tu ndoa mzee baba.. wife wangu anakusalimia 😅😅Kuna watu wametoka kufunga ndoa hata miezi 4 hawajafika,timbwili tayari
Ova
Utamjuaje mtu mkuu moyo wa mtu ni kichaka , ww Jilie mbususu ila kumjua mtu haiwezekani .Kamari kama utakurupuka ila kama utamjua huyo unayetaka kufunga naye ndoa haiwezi kuwa kamari tsna
Hizo nyuzi zinaamasisha kukataa ndoa au kukataa kuoa?Kampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi kwa kuwa hazina nia njema ya kujenga jamii, kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania
Wewe unayeshawishi watu wasioe umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
Si unaona Sasa, kumbe tatizo umepata wa kufanana nae. Kisha unakuja kulialia Ndoa .Wenye ndoa si ndio hawa huku tunaopoa nao milipo ya bar[emoji3][emoji3]
Tungeanza na tofauti ya maneno hayo mawili kwanza mkuu. Kama unajua tupe msaada . Alafu ndo turudi kwenye sababu za kukataa au kukubali.Hizo nyuzi zinaamasisha kukataa ndoa au kukataa kuoa?
Nikweli mkuu nipe faida tano za ndoa ambae mimi sina ndoa sipati ? Kama unahisi ata mimi nina ndoa ila sijitambui, kwa nn dunia iweke vyeti na mashaidi na saini kwenye karatasi kama ushaidi wa ndoa?Ni kama tunavoona Mo, Bakhresa, Rostam Aziz,GSM na matajiri wengine wanavopigwa jua kubeba zege na kushindia mlo mmoja.
Huo ndo udhaifu wako. Kubali Hilo kwanza ndo usaidiwe.Utamjuaje mtu mkuu moyo wa mtu ni kichaka , ww Jilie mbususu ila kumjua mtu haiwezekani .
Ndoa mkuuHizo nyuzi zinaamasisha kukataa ndoa au kukataa kuoa?
Ewaaa hapo ndo pa kuanzia binafsi najua machache ndo maana nikauliza kwanzaTungeanza na tofauti ya maneno hayo mawili kwanza mkuu. Kama unajua tupe msaada . Alafu ndo turudi kwenye sababu za kukataa au kukubali.
Ni swa mkuu haibali kwamba ndoa kwa sasa ni kizungumkuti dunia nzima.Si unaona Sasa, kumbe tatizo umepata wa kufanana nae. Kisha unakuja kulialia Ndoa .
Ndoa kwa tz zilianza majuzi tu , ila kuoa ni natural kabsa , jambo ambalo ata wanyama wanalifanya.Tungeanza na tofauti ya maneno hayo mawili kwanza mkuu. Kama unajua tupe msaada . Alafu ndo turudi kwenye sababu za kukataa au kukubali.
Hauna ndoa ipi ? Wakati ndoa unayo Tyr.Nikweli mkuu nipe faida tano za ndoa ambae mimi sina ndoa sipati ? Kama unahisi ata mimi nina ndoa ila sijitambui, kwa nn dunia iweke vyeti na mashaidi na saini kwenye karatasi kama ushaidi wa ndoa?
Ok km ni kukataa ndoa nami nakubaliana nazo ila kam zinapinga kuoa me sitokubaliana nazo, ujue tunachangany kati ya ndoa na kuoaNdoa mkuu
Mchunguze kwanza kabla ya kumuoa na hakikisha umemjua vyema, mtu hawezi kukuigizia kila siku akipata uhakika wa kuolewa atajisahau na kuonssha tabia yake kama alikuwa ni mchafu.Utamjuaje mtu mkuu moyo wa mtu ni kichaka , ww Jilie mbususu ila kumjua mtu haiwezekani .
Udhaifu upi masterHuo ndo udhaifu wako. Kubali Hilo kwanza ndo usaidiwe.
NakubaliNdoa kwa tz zilianza majuzi tu , ila kuoa ni natural kabsa , jambo ambalo ata wanyama wanalifanya.