min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mkuu unaweza ukawa nayo na ukalala ma wengi tu mbonakinachofany ndoa tuione km utumwa ni vile inataka ulale na mke/mme mmoja tu maisha yako yote wakat kiuhalisia na ktk nature hakun mtu mwenye kulimdu hilo, otherwise awe mgonjwa