Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni muhimu haiwezi kuaribiwa na maneno matupu.Naunga mkono hoja.
Maxence,hata kama JF ni uwanja huru lkn kuna mambo kama ya kubomoa jamii msingekuwa mnayapa nafasi.Somehow yanashusha hadhi ya JF na mtu unaweza kufikiria hata kuiacha JF .Ndoa ni taasisi muhimu sana sasa kuacha mtu anahamasisha uholela sio kujenga bali ni kubomoa jamii.Tuna jukumu la kukinda the very centres of our social existance.
Waanze kupigwa ban kwanza wajinga wanaojiita fermists hao ndio walioalibu akili za wanawake wenzae mpaka kufika hatua wanaume hawataki tena ndoaKampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi kwa kuwa hazina nia njema ya kujenga jamii, kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania
Wewe unayeshawishi watu wasioe umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
Hv kristo nae amewah kuwa ktk ndoa?Kukataa ndoa n kumpibga kristo
Sio kwamba wanaume hawataki ndoa ni hawataki Sheria za Ndoa.Waanze kupigwa ban kwanza wajinga wanaojiita fermists hao ndio walioalibu akili za wanawake wenzae mpaka kufika hatua wanaume hawataki tena ndoa
HapanaHuyo kwenye Avatar ni wewe? Nataka kuwasaliti hawa jamaa wa kataa ndoa hapa hapa hadharani!
Sheria za ndoa na mmong'onyoko wa maadili kwa wakina dada vyote vinachangiaSio kwamba wanaume hawataki ndoa ni hawataki Sheria za Ndoa.
Maana halisi ya kukataa ndoa ni kukaa mbali na mwanamke. Maana halisi ya kukataa ndoa ni pamoja na kumuacha uliempa mimba apambane isipokuwa ukihitaji kumpa huduma za matumizi ya kawaida kwa ajili ya mtoto wako, maana halisi ya kataa Ndoa ni kutoishi nyumba moja na mwanamke kuanzia miezi sita kuendelea, maana halisi ya kataa Ndoa ni kutomiliki mwanamke kwa Hali yeyote.Sheria za ndoa na mmong'onyoko wa maadili kwa wakina dada vyote vinachangia
Hayo ni yako mkuu kwani mhasis wa kataa ndoa anasemaje?Maana halisi ya kukataa ndoa ni kukaa mbali na mwanamke. Maana halisi ya kukataa ndoa ni pamoja na kumuacha uliempa mimba apambane isipokuwa ukihitaji kumpa huduma za matumizi ya kawaida kwa ajili ya mtoto wako, maana halisi ya kataa Ndoa ni kutoishi nyumba moja na mwanamke kuanzia miezi sita kuendelea, maana halisi ya kataa Ndoa ni kutomiliki mwanamke kwa Hali yeyote.
Kama haupo kundi lolote kati ya hayo basi ww una ndoa iwe sherehe ya harusi ama ndoa bubu ya sogea tukae. Na ujitoe rasmi kwenye team kataa Ndoa.
Kwani ww unasemaje juu ya kataa Ndoa?Hayo ni yako mkuu kwani mhasis wa kataa ndoa anasemaje?
Kataa ndoa ni kataa ndoa tu ,kama na ww upo kwenye mkumbo wakuishi na mwanamke bila ndoa na wewe umekataa ndoa tu.,Kwani ww unasemaje juu ya kataa Ndoa?
Katikati ya timu kataa ndoa pia kuna timu wapiga papuchi tu na kutembea pia wapo sahihiNataka team kataa Ndoa pure. Yaani kusiwepo na mikanganyo ya "eti mm naishi na mwanamke nyumba moja na sijaoa". "eti mm naishi na familia yangu na sijaoa"
Narudia team kataa Ndoa sio hio. Ila msafara wa Mamba,kenge hawakosi.
Team kataa Ndoa iwe ya watu ambao hawana ndoa wala kuoa.Nataka team kataa Ndoa pure. Yaani kusiwepo na mikanganyo ya "eti mm naishi na mwanamke nyumba moja na sijaoa". "eti mm naishi na familia yangu na sijaoa"
Narudia team kataa Ndoa sio hio. Ila msafara wa Mamba,kenge hawakosi.
Wapo sahihi ndilo chaguo lao.Katikati ya timu kataa ndoa pia kuna timu wapiga papuchi tu na kutembea pia wapo sahihi
Ww umeoa, hata kama hujui Hilo. Watu wanataka sherehe kwako sio ndoa.Kataa ndoa ni kataa ndoa tu ,kama na ww upo kwenye mkumbo wakuishi na mwanamke bila ndoa na wewe umekataa ndoa tu.,
Tuko pamoja [emoji106]Nadhani tukatae kwanza hizi kampeni za 50/50... tuwakatae hawa manabii feki ambao kila siku wanavunja ndoa za watu.. tuwakatae washauri wote wa ndoa wanaojitokeza kwenye media kumgandamiza mwanaume na kuhakikisha hafurahii uanaume wake... KATAA NDOA NI KAMPENI MUHIMU YA KUWAPUNGUZA KASI HAWA WANAHARAKATI UCHWARA WANAOCHANGIA WANAUME KUPOTEZA UANAUME WAO NA KUWA WATUMWA WA MWANAMKE.
Nmeishi na wanawake zaid ya mmoja mkuu naweza waacha bila kuja kulilia huku mambo ya dawati na usawa wa kijngaWw umeoa, hata kama hujui Hilo. Watu wanataka sherehe kwako sio ndoa.
Ww unazani baada ya hio sherehe kipi kitaongezeka kwako.