Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Hio harusi ndio mkeo anayoitaka. Ukibisha kamuulize.
Mkuu kampeni ya kataa ndoa dhumuni lake ni kuhimiza sheria za ndoa ziangaliwe upy na kuwashtua hawa dada zetu wawe na maadili mema kma wanataka ndoa ila mpka sasa kwetu haina faida .
 
Mkuu kampeni ya kataa ndoa dhumuni lake ni kuhimiza sheria za ndoa ziangaliwe upy na kuwashtua hawa dada zetu wawe na maadili mema kma wanataka ndoa ila mpka sasa kwetu haina faida .
Mkibadilisha heading za thread zenu za kataa Ndoa nitakuja kuunga mkono hoja.
 
Namwambia kila sku sitaki ndoa na yupo tu tena ni msomi wa njee ya nchi tu na katulia , akienda kwa mwngne navuta mwingne sijawahi kuwa baba wa ovyo kwa sbabu ata kabla ya kuwa na watoto nilisema nitakua na watoto 9, kila mmoja ana account yake mpka wanazaliwa wana chakujisimamia.
Kwakuwa mna fake id basi mnajiongelesha vitu vya ndoto zenu. Kila mtoto ana acc yake my foot🤣 nakwambia huyo ulomzalisha ni wa uswahilini. Au kamwambie staki ndoa we nenda katafute wa kukuoa uone kama atabaki.

Hakuna cha yuko nje wala njenje we sema tu umezalisha wa sampuli yako. Mnachonishangaza watoto wa watu mnawachakaza na humu jf
Mnawaponda na kuwaita single mothers kwa kejeli kutwa.
 
Kukataa ndoa n kumpibga kristo
Na Sheria zenu Mbovu za ndoa ndio mpinga kristo mkuu.

Sikiliza hoja na malalamiko ya watu Kisha fanyia kazi. Sio kuwalaumu badala ya kuwaelimisha tena Sheria zenu za kikristo juu ya ndoa zinazolalamikiwa haswaa .
 
Wee huniambii kitu nikakuelewa,

Ningekuwa sijawahi kuoa hapo sawa,

Mimi nilifunga ndoa kabisa ya kiislamu ila mwanamke alipoanza kunipangia ratiba ya kwichi kwichi (na mimi hii ndo starehe yangu kubwa), baadae akaanza kuniambia nitaondoka mimi yeye nimuachie nyumba akae na watoto (wakati nyumba yenyewe ya kupanga), ikafika kipindi nikawa hata kurudi nyumbani nachukia nikajikuta nafanya kazi masaa kumi na sita,
Mwanamke unaacha kila kitu ndani lakini hapiki badala yake anaenda kununua chipsi anakula na watoto (huyo alikuwa mama wa nyumbani) nilikuwa nampatia kila anachohitaji mwisho wa siku akawa anajisifu kwa watoto wa dada yangu kwa kuwaambia,
"huyo mjomba wenu mwenyewe nampelekesha"

Siku anaamua kuondoka nyumbani yeye mwenyewe akachukua kila kitu na bado narudi kazini nakuta barua kutoka chang'ombe polisi kanifungulia kesi kwamba nimemfukuza, nimemtolea vyombo nje (ninachoshukuru wale kina dada/mama walikuwa ni waelewa) na walijua kwamba yeye ndo mwenye matatizo hivyo walimuuliza tu, "kwa hiyo wewe unatakaje?"

Akajibu, "nahitaji kila mwezi anipe pesa kwa ajili ya watoto" (kimoyo moyo nikajisemea huyu kumbe anataka kuwatumia watoto kama kitega uchumi chake)
Maana kabla hatujaachana nilishawahi kumwambia, "nakupa miezi mitatu fikiria ni biashara gani utakayoweza kufanya ambayo itakuwezesha kuhudumia watoto hata ikitokea siku nimekufa" huwezi amini ilipita miezi mitatu nakuja kumuuliza umefikia wapi, ananijibu l, "sijaona biashara ya kufanya", shiiit


Kifupi huyu mwanamke kuna kipindi nilikuwa naishi nae kwa tahadhari, maana nilikuwa naona kabisa tunapoelekea kuna siku mmoja atamuua mwenzie


Kisha mnajaribu kutushawishi tuoe, aaah weeee... tena kwa sasa hivi wapo na msimamo wao wa 50 kwa 50

Nakwambia, "Niache kidogo"
Hujasema mliishia wapi! Hebu ongeza nyama. Tupo wapi kwa sasa?!
 
Wee huniambii kitu nikakuelewa,

Ningekuwa sijawahi kuoa hapo sawa,

Mimi nilifunga ndoa kabisa ya kiislamu ila mwanamke alipoanza kunipangia ratiba ya kwichi kwichi (na mimi hii ndo starehe yangu kubwa), baadae akaanza kuniambia nitaondoka mimi yeye nimuachie nyumba akae na watoto (wakati nyumba yenyewe ya kupanga), ikafika kipindi nikawa hata kurudi nyumbani nachukia nikajikuta nafanya kazi masaa kumi na sita,
Mwanamke unaacha kila kitu ndani lakini hapiki badala yake anaenda kununua chipsi anakula na watoto (huyo alikuwa mama wa nyumbani) nilikuwa nampatia kila anachohitaji mwisho wa siku akawa anajisifu kwa watoto wa dada yangu kwa kuwaambia,
"huyo mjomba wenu mwenyewe nampelekesha"

Siku anaamua kuondoka nyumbani yeye mwenyewe akachukua kila kitu na bado narudi kazini nakuta barua kutoka chang'ombe polisi kanifungulia kesi kwamba nimemfukuza, nimemtolea vyombo nje (ninachoshukuru wale kina dada/mama walikuwa ni waelewa) na walijua kwamba yeye ndo mwenye matatizo hivyo walimuuliza tu, "kwa hiyo wewe unatakaje?"

Akajibu, "nahitaji kila mwezi anipe pesa kwa ajili ya watoto" (kimoyo moyo nikajisemea huyu kumbe anataka kuwatumia watoto kama kitega uchumi chake)
Maana kabla hatujaachana nilishawahi kumwambia, "nakupa miezi mitatu fikiria ni biashara gani utakayoweza kufanya ambayo itakuwezesha kuhudumia watoto hata ikitokea siku nimekufa" huwezi amini ilipita miezi mitatu nakuja kumuuliza umefikia wapi, ananijibu l, "sijaona biashara ya kufanya", shiiit


Kifupi huyu mwanamke kuna kipindi nilikuwa naishi nae kwa tahadhari, maana nilikuwa naona kabisa tunapoelekea kuna siku mmoja atamuua mwenzie


Kisha mnajaribu kutushawishi tuoe, aaah weeee... tena kwa sasa hivi wapo na msimamo wao wa 50 kwa 50

Nakwambia, "Niache kidogo"
Je, anajuta kwa wewe kumuacha au anaona poa tu?
 
Kwakuwa mna fake id basi mnajiongelesha vitu vya ndoto zenu. Kila mtoto ana acc yake my foot[emoji1787] nakwambia huyo ulomzalisha ni wa uswahilini. Au kamwambie staki ndoa we nenda katafute wa kukuoa uone kama atabaki.

Hakuna cha yuko nje wala njenje we sema tu umezalisha wa sampuli yako. Mnachonishangaza watoto wa watu mnawachakaza na humu jf
Mnawaponda na kuwaita single mothers kwa kejeli kutwa.
Dhumuni sio kujimwambafai ni kukuonyesha wengi wao walio wasomi ni feminist , ila ukiwa na msimamo hauyumbishwi , kuhusu account za watoto ni jambo la zuri la kuiga ata kama nmekudanganya au ni ndoto zangu , tukirudi kwenye point kwa sheria hiz za ndoa na kizazi kilivyoharibika hata hawa watoto wng nitawajenga wakijua ndoa ni utapeli tu
 
Mkibadilisha heading za thread zenu za kataa Ndoa nitakuja kuunga mkono hoja.
Ni kukataa ndoa tu ,ndoa kwa sasa ni utapeli na kubahaitisha mno, haina tofauti na kamari , kamari inaaribi afya ya akili ata kama kuna wanaoshinda.
 
Kampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi kwa kuwa hazina nia njema ya kujenga jamii, kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania

Wewe unayeshawishi watu wasioe umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
Naunga mkono hoja.
Maxence,hata kama JF ni uwanja huru lkn kuna mambo kama ya kubomoa jamii msingekuwa mnayapa nafasi.Somehow yanashusha hadhi ya JF na mtu unaweza kufikiria hata kuiacha JF .Ndoa ni taasisi muhimu sana sasa kuacha mtu anahamasisha uholela sio kujenga bali ni kubomoa jamii.Tuna jukumu la kukinga the very centres of our social existance.
 
Back
Top Bottom