mwanduruka
Senior Member
- Dec 28, 2022
- 115
- 161
Dhambi ya uzinzi tunaipa nguvu bila kujijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio harusi ndio mkeo anayoitaka. Ukibisha kamuulize.Mkuu harusi ni sherehe tu watu wanaishi na mwanamke then wanafunga ndoa wakitoka apo kama wanauwezo wanaenda ukumbni kwa harusi , kuna vitu vitatu apo .
Huyo kwenye Avatar ni wewe? Nataka kuwasaliti hawa jamaa wa kataa ndoa hapa hapa hadharani!Kweli... Hilo ni jambo la kila mmoja kilimudu kutokana na mazingira yake sio la kuhamasishana
Mkuu kampeni ya kataa ndoa dhumuni lake ni kuhimiza sheria za ndoa ziangaliwe upy na kuwashtua hawa dada zetu wawe na maadili mema kma wanataka ndoa ila mpka sasa kwetu haina faida .Hio harusi ndio mkeo anayoitaka. Ukibisha kamuulize.
Wait na wewe utapakwa mesemesekataa NDOA
wake za watu tunawagonga Sana huku kitaa
NDOA zilikua zamani sio Sasa
Mkibadilisha heading za thread zenu za kataa Ndoa nitakuja kuunga mkono hoja.Mkuu kampeni ya kataa ndoa dhumuni lake ni kuhimiza sheria za ndoa ziangaliwe upy na kuwashtua hawa dada zetu wawe na maadili mema kma wanataka ndoa ila mpka sasa kwetu haina faida .
Kwakuwa mna fake id basi mnajiongelesha vitu vya ndoto zenu. Kila mtoto ana acc yake my foot🤣 nakwambia huyo ulomzalisha ni wa uswahilini. Au kamwambie staki ndoa we nenda katafute wa kukuoa uone kama atabaki.Namwambia kila sku sitaki ndoa na yupo tu tena ni msomi wa njee ya nchi tu na katulia , akienda kwa mwngne navuta mwingne sijawahi kuwa baba wa ovyo kwa sbabu ata kabla ya kuwa na watoto nilisema nitakua na watoto 9, kila mmoja ana account yake mpka wanazaliwa wana chakujisimamia.
Ndoa ni mradi
Ndoa ni mradi
Na Sheria zenu Mbovu za ndoa ndio mpinga kristo mkuu.Kukataa ndoa n kumpibga kristo
Unaweza ukaoa, na watu tukakuoa wewe na uliyemuoa.Nasisitiza kama hutai kuoa bhas jua utaolewa tu one day
Hujasema mliishia wapi! Hebu ongeza nyama. Tupo wapi kwa sasa?!Wee huniambii kitu nikakuelewa,
Ningekuwa sijawahi kuoa hapo sawa,
Mimi nilifunga ndoa kabisa ya kiislamu ila mwanamke alipoanza kunipangia ratiba ya kwichi kwichi (na mimi hii ndo starehe yangu kubwa), baadae akaanza kuniambia nitaondoka mimi yeye nimuachie nyumba akae na watoto (wakati nyumba yenyewe ya kupanga), ikafika kipindi nikawa hata kurudi nyumbani nachukia nikajikuta nafanya kazi masaa kumi na sita,
Mwanamke unaacha kila kitu ndani lakini hapiki badala yake anaenda kununua chipsi anakula na watoto (huyo alikuwa mama wa nyumbani) nilikuwa nampatia kila anachohitaji mwisho wa siku akawa anajisifu kwa watoto wa dada yangu kwa kuwaambia,
"huyo mjomba wenu mwenyewe nampelekesha"
Siku anaamua kuondoka nyumbani yeye mwenyewe akachukua kila kitu na bado narudi kazini nakuta barua kutoka chang'ombe polisi kanifungulia kesi kwamba nimemfukuza, nimemtolea vyombo nje (ninachoshukuru wale kina dada/mama walikuwa ni waelewa) na walijua kwamba yeye ndo mwenye matatizo hivyo walimuuliza tu, "kwa hiyo wewe unatakaje?"
Akajibu, "nahitaji kila mwezi anipe pesa kwa ajili ya watoto" (kimoyo moyo nikajisemea huyu kumbe anataka kuwatumia watoto kama kitega uchumi chake)
Maana kabla hatujaachana nilishawahi kumwambia, "nakupa miezi mitatu fikiria ni biashara gani utakayoweza kufanya ambayo itakuwezesha kuhudumia watoto hata ikitokea siku nimekufa" huwezi amini ilipita miezi mitatu nakuja kumuuliza umefikia wapi, ananijibu l, "sijaona biashara ya kufanya", shiiit
Kifupi huyu mwanamke kuna kipindi nilikuwa naishi nae kwa tahadhari, maana nilikuwa naona kabisa tunapoelekea kuna siku mmoja atamuua mwenzie
Kisha mnajaribu kutushawishi tuoe, aaah weeee... tena kwa sasa hivi wapo na msimamo wao wa 50 kwa 50
Nakwambia, "Niache kidogo"
Je, anajuta kwa wewe kumuacha au anaona poa tu?Wee huniambii kitu nikakuelewa,
Ningekuwa sijawahi kuoa hapo sawa,
Mimi nilifunga ndoa kabisa ya kiislamu ila mwanamke alipoanza kunipangia ratiba ya kwichi kwichi (na mimi hii ndo starehe yangu kubwa), baadae akaanza kuniambia nitaondoka mimi yeye nimuachie nyumba akae na watoto (wakati nyumba yenyewe ya kupanga), ikafika kipindi nikawa hata kurudi nyumbani nachukia nikajikuta nafanya kazi masaa kumi na sita,
Mwanamke unaacha kila kitu ndani lakini hapiki badala yake anaenda kununua chipsi anakula na watoto (huyo alikuwa mama wa nyumbani) nilikuwa nampatia kila anachohitaji mwisho wa siku akawa anajisifu kwa watoto wa dada yangu kwa kuwaambia,
"huyo mjomba wenu mwenyewe nampelekesha"
Siku anaamua kuondoka nyumbani yeye mwenyewe akachukua kila kitu na bado narudi kazini nakuta barua kutoka chang'ombe polisi kanifungulia kesi kwamba nimemfukuza, nimemtolea vyombo nje (ninachoshukuru wale kina dada/mama walikuwa ni waelewa) na walijua kwamba yeye ndo mwenye matatizo hivyo walimuuliza tu, "kwa hiyo wewe unatakaje?"
Akajibu, "nahitaji kila mwezi anipe pesa kwa ajili ya watoto" (kimoyo moyo nikajisemea huyu kumbe anataka kuwatumia watoto kama kitega uchumi chake)
Maana kabla hatujaachana nilishawahi kumwambia, "nakupa miezi mitatu fikiria ni biashara gani utakayoweza kufanya ambayo itakuwezesha kuhudumia watoto hata ikitokea siku nimekufa" huwezi amini ilipita miezi mitatu nakuja kumuuliza umefikia wapi, ananijibu l, "sijaona biashara ya kufanya", shiiit
Kifupi huyu mwanamke kuna kipindi nilikuwa naishi nae kwa tahadhari, maana nilikuwa naona kabisa tunapoelekea kuna siku mmoja atamuua mwenzie
Kisha mnajaribu kutushawishi tuoe, aaah weeee... tena kwa sasa hivi wapo na msimamo wao wa 50 kwa 50
Nakwambia, "Niache kidogo"
Dhumuni sio kujimwambafai ni kukuonyesha wengi wao walio wasomi ni feminist , ila ukiwa na msimamo hauyumbishwi , kuhusu account za watoto ni jambo la zuri la kuiga ata kama nmekudanganya au ni ndoto zangu , tukirudi kwenye point kwa sheria hiz za ndoa na kizazi kilivyoharibika hata hawa watoto wng nitawajenga wakijua ndoa ni utapeli tuKwakuwa mna fake id basi mnajiongelesha vitu vya ndoto zenu. Kila mtoto ana acc yake my foot[emoji1787] nakwambia huyo ulomzalisha ni wa uswahilini. Au kamwambie staki ndoa we nenda katafute wa kukuoa uone kama atabaki.
Hakuna cha yuko nje wala njenje we sema tu umezalisha wa sampuli yako. Mnachonishangaza watoto wa watu mnawachakaza na humu jf
Mnawaponda na kuwaita single mothers kwa kejeli kutwa.
Wap kristo alisema mkafunge ndoa ? Na kwanini yeye awe kipimo cha kila mtuKukataa ndoa n kumpibga kristo
Ni kukataa ndoa tu ,ndoa kwa sasa ni utapeli na kubahaitisha mno, haina tofauti na kamari , kamari inaaribi afya ya akili ata kama kuna wanaoshinda.Mkibadilisha heading za thread zenu za kataa Ndoa nitakuja kuunga mkono hoja.
Kuoa ma kuolewa haitakaa ife ila ndoa zitakufa kifo cha mendeWaache wajidanganye, wasioe wala kuolewa
Naunga mkono hoja.Kampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi kwa kuwa hazina nia njema ya kujenga jamii, kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania
Wewe unayeshawishi watu wasioe umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .