Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekwambia THUBUTU. otherwise kasomeni tena hizo Sheria za Ndoa.Mkuu utafanya nini labda utakachofanikiwa ni kumla tu
Ukiona hivyo huyo mwanamke hajitambui kama asivyojitambua huyo mwanaume wake.Sio lazma nijibu kwa mtindo unaotaka ww , unachoongea ni kweli lakini sio sahihi sana , ndio maana watu wanaishi na wanawake wanatelekeza na hawafanyi chochote zaid tu unatumia busara kumpa vimatumizi ili alee watoto.
Mkuu huna cha kufanya labda ukutane na wajinga jinga wanaoogopa binadamu wenzao sina ndoa , nilitekwa kwa vitisho niishi nae ila sio kwa ridhaa yangu tena bora , mkuu hakimu hii kesi ipo mbele yako nitoke kwenye kifungo cha vitisho.Nimekwambia THUBUTU. otherwise kasomeni tena hizo Sheria za Ndoa.
Ww umeoa hata kama hujafanya harusi sherehe. Cha kupinga hapo ni Sheria Mbovu za ndoa ikiwemo hio inayosema ww una ndoa na sio kupinga ndoa .
Sasa ufeminist hapo umeingiaje🤣🤣🤣🤣 mko tu intimidated na wanawake wanaowachana ukweli. Nasema hivi. Huyo uliemzoa zoa huko akakuzalia sio msomi kwasababu angekua msomi angekua feminist (according to your definition of feminism) so umeokota wa kukuzalia ndo maana hana msimamo. Hao mnaowaita feminist hawana akili hizo. Huwezi kutotoleshwa wananchi watatu na bado umekaa tu. Hana mpango wa maisha? Na wewe kwa definition yako ya feminist inaonesha huyo uliemzalisha hajishughulishi na chochote na akikaa kizembe watafika tisa. Anadhani una akili za kuja kumsaidia na yeye kisa amezaa! Women have to wake up and stay far away from selfish men like you are. Unamtumia na bado unamwita single mom. Wewe ni mpumbavu. You have no respectDhumuni sio kujimwambafai ni kukuonyesha wengi wao walio wasomi ni feminist , ila ukiwa na msimamo hauyumbishwi , kuhusu account za watoto ni jambo la zuri la kuiga ata kama nmekudanganya au ni ndoto zangu , tukirudi kwenye point kwa sheria hiz za ndoa na kizazi kilivyoharibika hata hawa watoto wng nitawajenga wakijua ndoa ni utapeli tu
Ukiona mwanamke umemtelekeza na hakuna hatua aliochukua fahamu Kuna mawili ama alikupenda (anakupenda bado) ama hajitambui . Na yote hayo hakuna kizuri upande wakoSio lazma nijibu kwa mtindo unaotaka ww , unachoongea ni kweli lakini sio sahihi sana , ndio maana watu wanaishi na wanawake wanatelekeza na hawafanyi chochote zaid tu unatumia busara kumpa vimatumizi ili alee watoto.
KATAA NDOAKampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi kwa kuwa hazina nia njema ya kujenga jamii, kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania
Wewe unayeshawishi watu wasioe umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
Uzuri mmoja wanawake unaohisi wanajitambua hata awapo kwenye ndoa ni wanaharakati wa haki sawa.Ukiona hivyo huyo mwanamke hajitambui kama asivyojitambua huyo mwanaume wake.
Kwaio ukiishi NAE kivingine ndio anajitambua. Kama ni Kahaba atabaki kuwa Kahaba tu kama ametulia atabaki ametulia tu .Uzuri mmoja wanawake unahisi wanajitambua hata awapo kwenye ndoa ni wanaharakati wa haki sawa.
Huyu Halijui hilo. Huyu jamaa ni layman. Akatafute presumption of marriage. Unadhani kumzalisha mtu watoto watatu na kumwacha anazagaa hapo ndo umekimbia repercussions za ndoa? Akiamua kusema wewe ni mumewe ana uwezo huo na mahakama inakubali. Tatizo mnakaza mafuvu wakati ni vilaza. min -meNimekwambia THUBUTU. otherwise kasomeni tena hizo Sheria za Ndoa.
Ww umeoa hata kama hujafanya harusi sherehe. Cha kupinga hapo ni Sheria Mbovu za ndoa ikiwemo hio inayosema ww una ndoa na sio kupinga ndoa .
Hakuna fresh yeyote huko bro kaoa huu mwaka wa pili anajuta kwanini aliamua kuoa, shenzi typuDah kweli ila kunA wengne wameoa na wanaishi vzuri tu au ndo wanatuektia
Kwa hiyo ndoa ni Mwiba?Mimi nillioa nikaachaa kwa TALAKA, Bado nasisitiza, KATAA NDOA, NDOA NI UTUMWA, NDOA NI KWA AJILI YA KUMFAIDISHA MWANAMKE, NDOA NI KWA AJILI YA KUMKANDAMIZA MWANAUME,
KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
Liverpool VPN njoo huku
Umeweka hisia mno , legeza ubongo binafsi single mother siwezi ata mtongoza tu , ila ndoa hapana , haina faida kwangu kama najua kutafuta kwanini nisizae ata wawe 50 ni matakwa yangu , kuna wanawake ni feminist ila ukiwa mwanaume haswa hawana jipya unawazalisha ata kumi kama mayai yapo.Sasa ufeminist hapo umeingiaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mko tu intimidated na wanawake wanaowachana ukweli. Nasema hivi. Huyo uliemzoa zoa huko akakuzalia sio msomi kwasababu angekua msomi angekua feminist (according to your definition of feminism) so umeokota wa kukuzalia ndo maana hana msimamo. Hao mnaowaita feminist hawana akili hizo. Huwezi kutotoleshwa wananchi watatu na bado umekaa tu. Hana mpango wa maisha? Na wewe kwa definition yako ya feminist inaonesha huyo uliemzalisha hajishughulishi na chochote na akikaa kizembe watafika tisa. Anadhani una akili za kuja kumsaidia na yeye kisa amezaa! Women have to wake up and stay far away from selfish men like you are. Unamtumia na bado unamwita single mom. Wewe ni mpumbavu. You have no respect
Mkuu wewe kama unataka kuoa wee oa tuKwa hiyo ndoa ni Mwiba?
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Mimi nimeoa ila nakataa ndoa ,njoo na hoja kwamba ndoa ina umuhimu .
Ss ww kuoa demu tu huwez utamuoa nani mwengine labda ww ndo uoleweUnaweza ukaoa, na watu tukakuoa wewe na uliyemuoa.
Nimeona mengi sitaki ingia humo.Mkuu wewe kama unataka kuoa wee oa tu
Ila hizi kampeni zinazoendelea za kukataa ndoa ziacheni kama zilivyo