Wewe pia tunatia mimba ukikipanua tu kwani shilling ngap? Ila ndoa utaisikia kwenye bomba na kutegemea misheria yenu mibovuKwahiyo unapita kuuliza wanawake walio period wanajiskiaje? We ni vampire?
Mimba mtawapa hao mazombie
Wasiojielewa
Utapigwa za uso mpaka akili ikukae sawa.Sasa kwanini watu hufunga ndoa kwa kusaini cheti.., cheti cha nini ilihali miezi sita tayari ni ndoa? Unasaini iki iweje?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HUWEZI KUSHINDANA NA MWANAMKE NDUGU YANGU.Wewe pia tunatia mimba ukikipanua tu kwani shilling ngap? Ila ndoa utaisikia kwenye bomba na kutegemea misheria yenu mibovu
Kwahiyo unahisi kila mtu humu hajaolewa. Pole sana ndo madhara ya kulelewa mtaani. Mnapinga ndoa kwasababu mmeona negativity tupu na mmeshindwa kuzichujaWewe pia tunatia mimba ukikipanua tu kwani shilling ngap? Ila ndoa utaisikia kwenye bomba na kutegemea misheria yenu mibovu
Okey mkuu. Binafsi naamini mwanaume yoyote ana wajibu wa kuwa na familia anayoitunza na kuilinda na hiyo familia lazima iwe na msaidizi na msimamizi wa malezi aitwaye mama. As long as mwanaume una mtu wa aina hiyo ni sawa tu hata kama hujafunga ndoa hizi za mikataba.Mkuu, inatupasa kutofautisha kati ya kuoa na kufunga ndoa. Zamani babu zetu walikuwa wanaoa ila baada ya kuja dini za kigeni yapata miaka 100 iliyopita ndo wakaanzisha kufunga ndoa.
Ukiangalia hoja za vijana hawakatai kuoa ila wanakataa kufunga ndoa. Kufunga ndoa kuna masaibu mengi maana wanawake wa siku hizi wana tabia ambazo huwezi kuzivumilia.
Nadhani vijana kwa sasa waoe kwa kupeleka mahari nyumbani kwa binti na watambulike ila wasifunge mkataba wa ndoa.
Haha, we kweli hamnazo, unahitaji siku 180 kuzalisha mwanamke mtoto mmoja au wawili? We jamaa vipi wewe, mbona huna hoja kabisaMlee watoto wa nani ? Nyie wanandoa Tyr huwezi kupinga ndoa wakati ndio ulichokifanya.
Ndoa ni nomino.
Kuoa ni kitenzi.
Ni kama kupinga usingizi wakati unasinzia.
Nitaelewa ukibadili heading na kusema unapinga Sheria Mbovu za ndoa na sio kupinga ndoa.
Sasa nikikukuta nae si nakuachia tu uendelee naye navuta chuma kipya toka kwenye nailoni.., wewe mwenye cheti unaweza fanya hivyo? 😂😂, hiyo fidia pasipo kudhibitisha ndoa itatoka wapi, kwamba nikikaa nae miezi 6 kinyumba unadhibitisha vipi, nikikwambia tulikuwa na ugomvi ila tukaamua kuficha ili kukea watoto utabisha? 😂😂, pambaneni na shida zenu peke yenu, sisi hatutaki bhana 😂😂Utapigwa za uso mpaka akili ikukae sawa.
Ww mm naweza kutumia Cheti cha ndoa nikakulipisha faini kwa kukuta na mwanamke niliasaini NAE hicho Cheti
Ila ww hata ukinikuta red-handed huwezi kufanya chochote kwa kututhibitishia kuwa ni Mali Yako .
Muda huohuo huyohuyo Demu wako unaeishi NAE ikitimia wakati unamuacha kwa kukurupuka ana haki ya kupata fidia pasina hicho Cheti
UTAKUFA VIBAYA WW NAKUHURUMIA.
Kataa Sheria Mbovu za ndoa na sio kukataa ndoa . Ni vitu viwili tofauti.
We kama ulishindwa, wenzio tunaweza, mlete huyo mkeo tumuoeMimi nillioa nikaachaa kwa TALAKA, Bado nasisitiza, KATAA NDOA, NDOA NI UTUMWA, NDOA NI KWA AJILI YA KUMFAIDISHA MWANAMKE, NDOA NI KWA AJILI YA KUMKANDAMIZA MWANAUME,
KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
Liverpool VPN njoo huku
Cheti naweza nikakipata bila kuoa Cheti sio issue mkuu.Sasa nikikukuta nae si nakuachia tu uendelee naye navuta chuma kipya toka kwenye nailoni.., wewe mwenye cheti unaweza fanya hivyo? [emoji23][emoji23], hiyo fidia pasipo kudhibitisha ndoa itatoka wapi, kwamba nikikaa nae miezi 6 kinyumba unadhibitisha vipi, nikikwambia tulikuwa na ugomvi ila tukaamua kuficha ili kukea watoto utabisha? [emoji23][emoji23], pambaneni na shida zenu peke yenu, sisi hatutaki bhana [emoji23][emoji23]
Kila mwanamme anapenda kuwa na familia ila kinachowachosha ni tabia mbovu za wake zao. wawake wamepewa madaraka na uhuru wasio sitahili ndiyo maana jamii kama za wahindi na waarabu hawajatoa uhuru kwa wanawake kama jamii zetu. mwanamke anapaswa kuongozwa na kusimamiwa na mwanamme.Okey mkuu. Binafsi naamini mwanaume yoyote ana wajibu wa kuwa na familia anayoitunza na kuilinda na hiyo familia lazima iwe na msaidizi na msimamizi wa malezi aitwaye mama. As long as mwanaume una mtu wa aina hiyo ni sawa tu hata kama hujafunga ndoa hizi za mikataba.
Mwanaume kuzaa hoyo hovyo na mabinti ambao nao wanazalishwa hovyo hovyo sio sawa sababu itakuwa Kama mbwa tu, wanavyopandana kisha wanazaana.
Nimekuuliza, wewe mwenye cheti cha ndoa, ukikuta mkeo kainamishwa chuma mboga au mbuzi kagoma, unaweza ukamsusia huyo uliyemfumania na kwenda kuvuta pisi kali nyingine na kuweka ndani ilihali umeshasaini nae mkataba? Na je, unaposema mimi nitadaiwa fidia, nitadaiwa bila ushahidi wa ndoa? Kwamba tuliishi miezi6, nikikwambia tulikuwa na ugomvi hivyo hatukuishi kinyumba kwa miezi hiyo sita bali tukifiacha tu ili kulea watoto utabisha?Cheti naweza nikakipata bila kuoa Cheti sio issue mkuu.
Ila kweli hii 50/50 ni matatizo! Wanataka usawa wakati hakunaga usawa. Wanawake wanaharakati wanaoleta hii kitu nao nawaweka kundi moja na wakataa ndoa. Wote wanaharibu jamii kwa kona 2 tofauti.Kwanza mtoa mada una maoni gani kuhusu 50/50?
Kama unaona ni vyema na haki basi ulichoandika hapa hakina maana
Naunga mkono hoja watu wakatae ndoa kwa nguvu zote
Huyo Demu wa kulea nae watoto yaani uliozaa NAE. Hata ukimuacha na mm namuacha tabu ipo kwa mwanao na kwako na huyo Demu wako mtachagua wenyewe.Sasa nikikukuta nae si nakuachia tu uendelee naye navuta chuma kipya toka kwenye nailoni.., wewe mwenye cheti unaweza fanya hivyo? [emoji23][emoji23], hiyo fidia pasipo kudhibitisha ndoa itatoka wapi, kwamba nikikaa nae miezi 6 kinyumba unadhibitisha vipi, nikikwambia tulikuwa na ugomvi ila tukaamua kuficha ili kukea watoto utabisha? [emoji23][emoji23], pambaneni na shida zenu peke yenu, sisi hatutaki bhana [emoji23][emoji23]
Nadhani mkuu Tatizo ni kwamba watu wanapangiana. Naamini kila mtu akifanya kile ambacho anaona ni sahihi kwake hakutakuwa na ushindani. Nikimaanisha anayeoa aoe, anayefunga ndoa afunge, asiyetaka aachwe n.kKila mwanamme anapenda kuwa na familia ila kinachowachosha ni tabia mbovu za wake zao. wawake wamepewa madaraka na uhuru wasio sitahili ndiyo maana jamii kama za wahindi na waarabu hawajatoa uhuru kwa wanawake kama jamii zetu. mwanamke anapaswa kuongozwa na kusimamiwa na mwanamme.
Turudi katika utaratibu wetu wa kuoa kama zamani. Unatoa mahari tuu unapewa mke. kusiwepo na mambo ya kufunga ndoa maana ni majanga matupu.
Hujajibu hoja. Umesema kwamba mimi nisiye na cheti sina la kufanya nikifumania na kwamba bado nikimuacha nitadaiwa fidia.Huyo Demu wa kulea nae watoto yaani uliozaa NAE. Hata ukimuacha na mm namuacha tabu ipo kwa mwanao na kwako na huyo Demu wako mtachagua wenyewe.
NEVER.Nimekuuliza, wewe mwenye cheti cha ndoa, ukikuta mkeo kainamishwa chuma mboga au mbuzi kagoma, unaweza ukamsusia huyo uliyemfumania na kwenda kuvuta pisi kali nyingine na kuweka ndani ilihali umeshasaini nae mkataba? Na je, unaposema mimi nitadaiwa fidia, nitadaiwa bila ushahidi wa ndoa? Kwamba tuliishi miezi6, nikikwambia tulikuwa na ugomvi hivyo hatukuishi kinyumba kwa miezi hiyo sita bali tukifiacha tu ili kulea watoto utabisha?
We kweli lofa kwaio mama wa watoto wako KAHABA.Hujajibu hoja. Umesema kwamba mimi nisiye na cheti sina la kufanya nikifumania na kwamba bado nikimuacha nitadaiwa fidia.
Sasa nauliza.
1.)Mimi nikifumania naweza kumsusa huyo kahaba na kuvuta pisi nyingine, maana sina cheti wala mkataba nae, je, wewe unaweza kufanya hivyo ilihali umeshajitia kitanzi cha kusaini tena mbele ya mashahidi?!
2.) Miki nitadaiwa vipi fidia bila kudhibitisha ndoa ilikuwepo, hakuna cheti, na hata kuishi nae miezi sita utadhibitishaje tuliishi kinyumba kwa kipindi hicho, nikikwambia tulikiwa na ugomvi wa mizi mitano kati ya hiyo 6 na hapakuwa na unyumba kati yetu bali tulificha tu ili kulea watoto, utabisha?!
Wewe jamaa network imeanza kukata nini? Nakuuliza hili wewe unajibu kitu kisichoeleweka, sasa wakufanana nae nicjibu la swali gani hapo? 😂😂NEVER.
UTAPATA WA KUFANANA NAE.
Kama ww unainamisha wengine wako NAE atagawa tu.
Yoyote kati ya Hilo ni udhaifu wako .
Mbona hili nimeshakujibu. Nimekuuliza ww unaweza kukaa na mwanamke asiye haramu yako kwa huo muda bila kumgonga. Tuthibitishie huo ushoga wako? Simple tu . Hayo mengine utajua wwHujajibu hoja. Umesema kwamba mimi nisiye na cheti sina la kufanya nikifumania na kwamba bado nikimuacha nitadaiwa fidia.
Sasa nauliza.
1.)Mimi nikifumania naweza kumsusa huyo kahaba na kuvuta pisi nyingine, maana sina cheti wala mkataba nae, je, wewe unaweza kufanya hivyo ilihali umeshajitia kitanzi cha kusaini tena mbele ya mashahidi?!
2.) Miki nitadaiwa vipi fidia bila kudhibitisha ndoa ilikuwepo, hakuna cheti, na hata kuishi nae miezi sita utadhibitishaje tuliishi kinyumba kwa kipindi hicho, nikikwambia tulikiwa na ugomvi wa mizi mitano kati ya hiyo 6 na hapakuwa na unyumba kati yetu bali tulificha tu ili kulea watoto, utabisha?!