Ongera mkuu lakini hakikisha kipato kiwe Cha uhakika siokufungua flaizi tu mwisho wA siku utaleta mrejesho hapaMi ndo kwanza nimetoka kuoa mke wa pili but from Zambia.
"Mwanaume rijali ni ngumu kuishi na mwanamke mmoja,na kama ana ana uwezo aoe zaidi" dini inaniruhusu kufanya hivyo.
[emoji2781]Kataa ndoa ndoa ni utapel tu.
Wadada mliodondosha bikra zenu njooni kuna mtu anawaita ngumbaru 😁😁Umeandika vizuri
Wanawake huu mradi wa Ndoa ulikuwa unawapa faida Sana na kurudisha maendeleo ya Mwanaume nyuma
Mfano mtu anachezewa huko kachoka then dakika ya Tisini anavizia ili afunge gori la kisigino Apate huduma zote za msingi kulala kulala kuvaa nk
Mimi nakataa ndoa labda awe bikra naweza mfikiria lakini sio hawa ngumbaru.
Vipi wewe ni shoga au una matatizo ya nguvu za kiume!!? Kwa nini unaenda kinyume na amri ya Mungu!!? Mungu alisema nendeni mkaijaze dunia sasa msipooana dunia mtaijaza vipi?Wee huniambii kitu nikakuelewa,
Ningekuwa sijawahi kuoa hapo sawa,
Mimi nilifunga ndoa kabisa ya kiislamu ila mwanamke alipoanza kunipangia ratiba ya kwichi kwichi (na mimi hii ndo starehe yangu kubwa), baadae akaanza kuniambia nitaondoka mimi yeye nimuachie nyumba akae na watoto (wakati nyumba yenyewe ya kupanga), ikafika kipindi nikawa hata kurudi nyumbani nachukia nikajikuta nafanya kazi masaa kumi na sita,
Mwanamke unaacha kila kitu ndani lakini hapiki badala yake anaenda kununua chipsi anakula na watoto (huyo alikuwa mama wa nyumbani) nilikuwa nampatia kila anachohitaji mwisho wa siku akawa anajisifu kwa watoto wa dada yangu kwa kuwaambia,
"huyo mjomba wenu mwenyewe nampelekesha"
Siku anaamua kuondoka nyumbani yeye mwenyewe akachukua kila kitu na bado narudi kazini nakuta barua kutoka chang'ombe polisi kanifungulia kesi kwamba nimemfukuza, nimemtolea vyombo nje (ninachoshukuru wale kina dada/mama walikuwa ni waelewa) na walijua kwamba yeye ndo mwenye matatizo hivyo walimuuliza tu, "kwa hiyo wewe unatakaje?"
Akajibu, "nahitaji kila mwezi anipe pesa kwa ajili ya watoto" (kimoyo moyo nikajisemea huyu kumbe anataka kuwatumia watoto kama kitega uchumi chake)
Maana kabla hatujaachana nilishawahi kumwambia, "nakupa miezi mitatu fikiria ni biashara gani utakayoweza kufanya ambayo itakuwezesha kuhudumia watoto hata ikitokea siku nimekufa" huwezi amini ilipita miezi mitatu nakuja kumuuliza umefikia wapi, ananijibu l, "sijaona biashara ya kufanya", shiiit
Kifupi huyu mwanamke kuna kipindi nilikuwa naishi nae kwa tahadhari, maana nilikuwa naona kabisa tunapoelekea kuna siku mmoja atamuua mwenzie
Kisha mnajaribu kutushawishi tuoe, aaah weeee... tena kwa sasa hivi wapo na msimamo wao wa 50 kwa 50
Nakwambia, "Niache kidogo"
ShogaKataa ndoa ndoa ni utapel tu.
Hauna hoja una mihemko tu.Shoga
Hoja yako ni ipi sasa hapo!? Sisi hatutaki kufunga ndoa ila kuwatafuna tunawatafuna kama kawa. Hekaheka mnazopitia wanandoa tunazifahamu na ndo zinazofanya tusiingie kwenye hiyo taasisi.Yani kama unashiriki mapenzi, hujakwepa ndoa, bado changamoto za mapenzi, utaziishi tu, mfano hao wake za watu unaowaginga, wanagarama zake, na ni matumaini yangu, kuna siku utalipa garama zake juu ya hao, wake za watu, Ogopa kupakwa Mafuta.
Huna hoja.[emoji2781]
Shoga ndio anaweza kukataa kuoa!Hauna hoja una mihemko tu.
Isiwe tabu mkuu .Shoga ndio anaweza kukataa kuoa!
ShogaIsiwe tabu mkuu .
Sina Shaka wewe ulizaliwa nje ya ndoa....Mimi nillioa nikaachaa kwa TALAKA, Bado nasisitiza, KATAA NDOA, NDOA NI UTUMWA, NDOA NI KWA AJILI YA KUMFAIDISHA MWANAMKE, NDOA NI KWA AJILI YA KUMKANDAMIZA MWANAUME,
KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
Liverpool VPN njoo huku
Haki sawa na ndoa na ushoga ni damu damu kataa ndoa , ndoa znapinga mfumo dume , bila mfumo dume mashoga yaliyojificha kwenye ndoa hayataisha.Shoga
Kuoa na ndoa ni vtu viwil tofautiJiandae kuolew kama hutaki kuoa
Hakuna heka heka anazo pata mwana ndoa mtafunaji akazikosa, hivi unamkumbuka yule mwanariadha Oscar Pistous, wa Afrika kusini, aliye mpiga hawara yake risasi. hawakuona ila wote wameziishi Changamoto za mahusiano mmoja kapoteza maisha, mwingine, ametumikia kifungo, ingawa hakiendani tukio lenyewe, na amepoteza kalia yake kwenye riadha.Hoja yako ni ipi sasa hapo!? Sisi hatutaki kufunga ndoa ila kuwatafuna tunawatafuna kama kawa. Hekaheka mnazopitia wanandoa tunazifahamu na ndo zinazofanya tusiingie kwenye hiyo taasisi.
#KATAANDOA
Mkuu sheria za ndoa ni zakipumbavu mno haki sawa na ujinga mwingi ziwapa wanawake viburi mno ,sio huku tz tu dunia nzima wanaogopa ndoa ni bora kuishi tu bila ndoa angalau kidgo heshima inakuwepo.Hakuna heka heka anazo pata mwana ndoa mtafunaji akazikosa, hivi unamkumbuka yule mwanariadha Oscar Pistous, wa Afrika kusini, aliye mpiga hawara yake risasi. hawakuona ila wote wameziishi Changamoto za mahusiano mmoja kapoteza maisha, mwingine, ametumikia kifungo, ingawa hakiendani tukio lenyewe, na amepoteza kalia yake kwenye riadha.
Hivyo hoja yangu, ili kukwepa changomoto jibu siyo kuto owa, jibu ni kudungwa Sindano ya kuondoa nguvu za kiume na kuwa HANISI.
Lakini ukiacha nguvu za kiume zifanye kazi, lazima utaziishi changamoto zake.