Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Kwa hapa mjini utajisumbua yaani vijana wa mjini wanajua mission za mjini na asili wa wanawake wa mjini ni balaa.

Hata wewe unawezaje kuoa hapa mjini magonjwa kibao ,madogo wanakaa uchi vinguo vya kulalia wanazunguka navyo mtaani ...Kwa uelewa tu wa kawaida tabia za mijini Zina athiri sana miendeno ya wanwake wangapi wametoka bush wakija vyuo Dar wanabadilika.

Wanawake wa kuoa wapo ila si mijini hapa ngono ni kama kunywa maji na ni Bei che ,moja kwa moja hapo hii tabia inapoteza maana halisi ya ndoa
Umeelezea vizuri sana Kaka

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Ongera mkuu lakini hakikisha kipato kiwe Cha uhakika siokufungua flaizi tu mwisho wA siku utaleta mrejesho hapa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Japo ajira yangu ni ndogo below 500,000 and above 450,000 as salary per month napambana na kilimo na ufugaji wa kibiashara ambavyo vyote kwa pamoja vinaniingizia zaidi ya 10 mil mwisho wa msimu,ndani mahindi zaidi ya gunia 50 za kula tu kwa nini niogope kuongeza wake zaidi ilihali urijali nimeumbiwa. Endeleeni kungoja ngoja kwanza zinaa nje ya ndoa itawakosesha pepo
 
Mbona kila mara nakujibu hili swali wewe kiazi.

Nimekwambia unaekaa NAE kwa huo muda Tyr ni mkeo na hata wewe umethibitisha hivyo ndio cheo ulichompa hicho Cheti ni ziada tu. Bado hujakataa Ndoa ww.

Ukikuwa utaacha utoto.

Maana kila mara nakwambia .

Ndoa ni nomino.
Kuoa ni kitenzi.

Kua kua kua, huenda ukaacha utoto.

Kwa level Yako at-least ungekuja na slogan ya #KATAA SHERIA MBOVU ZA NDOA SIO KUOA WALA NDOA.


Kua .
We una mtindio wa ubongo? Kwahiyo hata nikiishi na dada yangu miezi 6 tayari ni ndoa? Kwamba katika kipindi hicho hapatakiwi kuwa na element ya unyumba ambayo inatakiwa idhibitishwe kwamba ilikuwepo? (Kuishi kama mume na mke)? , kwamba ili mradi mmeishi tu na hakuna cha ziada hapo? Basi hata mama yako mzazi ni mkeo, maana ni mwanamke na umeishi nae kwa miezi 6, sivyo? Na kama kuna kioengele cha kuishi kinyumba , huo unyumba unaudhibitishaje endapo nitakwambia tukikuwa na ugomvi kwa miezi mi5 kati ya hiyo 6 na hatukuwa na unyumba, utabisha?

Jibu hiyo hoja
 
Vipi wewe ni shoga au una matatizo ya nguvu za kiume!!? Kwa nini unaenda kinyume na amri ya Mungu!!? Mungu alisema nendeni mkaijaze dunia sasa msipooana dunia mtaijaza vipi?
Hakuna anaepinga kuoa, kuzaa, na kujenga familia, wanapinga ndoa! Ni kweli mnavichwa vizito namna hii au mnafanya kusudi?
 
Vipi wewe ni shoga au una matatizo ya nguvu za kiume!!? Kwa nini unaenda kinyume na amri ya Mungu!!? Mungu alisema nendeni mkaijaze dunia sasa msipooana dunia mtaijaza vipi?
Maana yake nendeni mkawatie mimba muijaze dunia

Sasa Onyesha aliposema nendeni mkaoane, leta huo mstari achana na ule sijui mwanaume atawaacha wazazi wake na kuambatana na mkewe leta mstari wa maana achana na huo mstari wa upigaji
 
We uolewe wapi wewe emu acha kujifananisha, uolewe wewe na mijibu michafu hivi huna nidhamu huyo mume kaoa shimo la taka au?
Mwanaume wa kujibiwa vizuri ni yule mwenye maneno mazuri. Humu mnaokashfu wanawake lazima tuwapepete hadi muelewe kuwa sisi ndo tunawazaa tungebana miguu kusingekua na fangas kama wewe msiothamini mwanamke
 
Mwanaume wa kujibiwa vizuri ni yule mwenye maneno mazuri. Humu mnaokashfu wanawake lazima tuwapepete hadi muelewe kuwa sisi ndo tunawazaa tungebana miguu kusingekua na fangas kama wewe msiothamini mwanamke
Ndio inaonyesha sasa wewe ni kundi lipi mwanamke alieolewa na mwenye maadili hawezi kumjibu mwanaume ovyo ovyo hata kwenye social media, Ila nyinyi wadangaji ndio mnashupaza shingo alafu unasema umeolewa jamaa kaoa shimo la taka kwa ajili ya kujaza manii tu hio ndio kazi uliyobakiza huna kingine,
 
Kapanic huyo hana ndoa full maumivu hapo alipo anashinda na dildo tu muda mwingine vidole vinamsaidia hana ndoa, ana stress mwili mzima
Kizazi cha baamedi kinakuwaga na hasira. Mimba za kimboka hazijuagi baba sikulaumu. Ni mazingira uliyokulia yanakufanya uwaze kila mtu ni muuzaji
 
Ndio inaonyesha sasa wewe ni kundi lipi mwanamke alieolewa na mwenye maadili hawezi kumjibu mwanaume ovyo ovyo hata kwenye social media, Ila nyinyi wadangaji ndio mnashupaza shingo alafu unasema umeolewa jamaa kaoa shimo la taka kwa ajili ya kujaza manii tu hio ndio kazi uliyobakiza huna kingine,
Alooooh😂 yani unikashfu nikuangalie kisa we mwanaume? Hata ungekua nani. Kama huna adabu lazima urekebishwe! Kima we
 
Kizazi cha baamedi kinakuwaga na hasira. Mimba za kimboka hazijuagi baba sikulaumu. Ni mazingira uliyokulia yanakufanya uwaze kila mtu ni muuzaji
Unaona sasa ulivyo bonge la danga hadi kimboka unapajua mwanamke mwenye maadili anapajuaje kimboka kwa Malaya wauza uchi? Wewe endelea kujifariji hata utukane wazazi mimi sijamgusa mzazi wako, sababu naheshimu wazazi na sijalelewa katika maadili mabovu km yako wewe uliekosa ndoa na unataka kulazimisha ndoa, huolewi hata kwa kuroga na utawanga sana
 
Na mnavyojaza matusi ni part ya lengo la uzi? Kaungane na nguchiro anaetukana hamuwezi kukaa mnatukana watu tuwaangalie.
Sista, mi huwa situkanani wala kujibizana na wanawake , ndivyo nilivyo. Ila usinijaribu. Achana na hayo yote, tusamehe pia kama tumekwazana huko.

Haya rudi kwenye mada ya kataa ndoa au fanya kama huoni comment zangu.
 
Back
Top Bottom