Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Wee huniambii kitu nikakuelewa,

Ningekuwa sijawahi kuoa hapo sawa,

Mimi nilifunga ndoa kabisa ya kiislamu ila mwanamke alipoanza kunipangia ratiba ya kwichi kwichi (na mimi hii ndo starehe yangu kubwa), baadae akaanza kuniambia nitaondoka mimi yeye nimuachie nyumba akae na watoto (wakati nyumba yenyewe ya kupanga), ikafika kipindi nikawa hata kurudi nyumbani nachukia nikajikuta nafanya kazi masaa kumi na sita,
Mwanamke unaacha kila kitu ndani lakini hapiki badala yake anaenda kununua chipsi anakula na watoto (huyo alikuwa mama wa nyumbani) nilikuwa nampatia kila anachohitaji mwisho wa siku akawa anajisifu kwa watoto wa dada yangu kwa kuwaambia,
"huyo mjomba wenu mwenyewe nampelekesha"

Siku anaamua kuondoka nyumbani yeye mwenyewe akachukua kila kitu na bado narudi kazini nakuta barua kutoka chang'ombe polisi kanifungulia kesi kwamba nimemfukuza, nimemtolea vyombo nje (ninachoshukuru wale kina dada/mama walikuwa ni waelewa) na walijua kwamba yeye ndo mwenye matatizo hivyo walimuuliza tu, "kwa hiyo wewe unatakaje?"

Akajibu, "nahitaji kila mwezi anipe pesa kwa ajili ya watoto" (kimoyo moyo nikajisemea huyu kumbe anataka kuwatumia watoto kama kitega uchumi chake)
Maana kabla hatujaachana nilishawahi kumwambia, "nakupa miezi mitatu fikiria ni biashara gani utakayoweza kufanya ambayo itakuwezesha kuhudumia watoto hata ikitokea siku nimekufa" huwezi amini ilipita miezi mitatu nakuja kumuuliza umefikia wapi, ananijibu l, "sijaona biashara ya kufanya", shiiit


Kifupi huyu mwanamke kuna kipindi nilikuwa naishi nae kwa tahadhari, maana nilikuwa naona kabisa tunapoelekea kuna siku mmoja atamuua mwenzie


Kisha mnajaribu kutushawishi tuoe, aaah weeee... tena kwa sasa hivi wapo na msimamo wao wa 50 kwa 50

Nakwambia, "Niache kidogo"
Kataaa ndoa

Ndoa ni kwa wasio na akili
 
Sio kukugusa namaanisha kukugonga usijitoe ufahamu, nani kakwambia anataka kukugusa tu namaanisha kukugonga ukagongeka
Mademu wengi humu wanapenda sana kusema oooh sijui huna hadhi ya kuwa na mm sijui kunigusa wakati unakuta ni lalahoi bikra katolewa kwa chipsi dume na maji ya kandolo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wananivunjaga mbavu sana
 
Mademu wengi humu wanapenda sana kusema oooh sijui huna hadhi ya kuwa na mm sijui kunigusa wakati unakuta ni lalahoi bikra katolewa kwa chipsi dume na maji ya kandolo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wananivunjaga mbavu sana
Hapo alipo kiarage kina muwasha hatari hana mtu wa kumsugua alafu anajitia ooh kunigusa ooh huwezi, anajifariji tu
 
Mkakati wa shetani huo. Soma mkakati wa shetani, ajenda zake kuu kwa mwaka 2023.
Kila mwaka shetani ana ajenda zake. Za mwaka huu kuu ni
1.kupromote ushoga kwa bidii Sana, thus wamekuja kasi sana, waguse LGBT upotee, wameyamwaga ma roho ya ushoga kila mahali kupitia mitandao,mashuleni ndio usiseme.
2.Kuhakikisha wanavunja ndoa, kupitia kampeni kama hizi za kukataa ndoa, kuwaondolea wanawake utii na kuheshimu waume zao hii Kazi anafanya Lilith mke wa kwanza wa Adamu kupitia mafeminist.
 
Rejeeni kanuni za zamani za kupata wenza sahihi, hii ya kujichagulia imefeli,
Mnaoana sababu ya nyege na sio upendo sio rahisi kufika mbali.
 
Mademu wengi humu wanapenda sana kusema oooh sijui huna hadhi ya kuwa na mm sijui kunigusa wakati unakuta ni lalahoi bikra katolewa kwa chipsi dume na maji ya kandolo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wananivunjaga mbavu sana
We nae pambana upate demu huko usianzishe ligi na mimi
 
Wale wooote mnaopinga kampeni za KATAA NDOA pitieni uzi huu hapa, kuna watu wenye uzoefu kwenye taasisi ya ndoa wameweka yaliyomo huko

 
kwa wale wanaotaka kuingia kwenye ndoa ushauri huu nondo hii hapa
 

Attachments

  • Screenshot_20230218_070524_Chrome.jpg
    Screenshot_20230218_070524_Chrome.jpg
    83.8 KB · Views: 2
Ndoa za siku hizi ni pilipili.... Haki tena nimeyakumbuka sana maisha ya useja....
 
Unadhani hili lina afya kwa taifa?
AFadhari umekuja, wewe nakurudisha huku

 
Back
Top Bottom