Kataaa ndoa

Ndoa ni kwa wasio na akili
 
Sio kukugusa namaanisha kukugonga usijitoe ufahamu, nani kakwambia anataka kukugusa tu namaanisha kukugonga ukagongeka
Mademu wengi humu wanapenda sana kusema oooh sijui huna hadhi ya kuwa na mm sijui kunigusa wakati unakuta ni lalahoi bikra katolewa kwa chipsi dume na maji ya kandolo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wananivunjaga mbavu sana
 
Mademu wengi humu wanapenda sana kusema oooh sijui huna hadhi ya kuwa na mm sijui kunigusa wakati unakuta ni lalahoi bikra katolewa kwa chipsi dume na maji ya kandolo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wananivunjaga mbavu sana
Hapo alipo kiarage kina muwasha hatari hana mtu wa kumsugua alafu anajitia ooh kunigusa ooh huwezi, anajifariji tu
 
Mkakati wa shetani huo. Soma mkakati wa shetani, ajenda zake kuu kwa mwaka 2023.
Kila mwaka shetani ana ajenda zake. Za mwaka huu kuu ni
1.kupromote ushoga kwa bidii Sana, thus wamekuja kasi sana, waguse LGBT upotee, wameyamwaga ma roho ya ushoga kila mahali kupitia mitandao,mashuleni ndio usiseme.
2.Kuhakikisha wanavunja ndoa, kupitia kampeni kama hizi za kukataa ndoa, kuwaondolea wanawake utii na kuheshimu waume zao hii Kazi anafanya Lilith mke wa kwanza wa Adamu kupitia mafeminist.
 
Rejeeni kanuni za zamani za kupata wenza sahihi, hii ya kujichagulia imefeli,
Mnaoana sababu ya nyege na sio upendo sio rahisi kufika mbali.
 
Mademu wengi humu wanapenda sana kusema oooh sijui huna hadhi ya kuwa na mm sijui kunigusa wakati unakuta ni lalahoi bikra katolewa kwa chipsi dume na maji ya kandolo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wananivunjaga mbavu sana
We nae pambana upate demu huko usianzishe ligi na mimi
 
Wale wooote mnaopinga kampeni za KATAA NDOA pitieni uzi huu hapa, kuna watu wenye uzoefu kwenye taasisi ya ndoa wameweka yaliyomo huko

 
kwa wale wanaotaka kuingia kwenye ndoa ushauri huu nondo hii hapa
 

Attachments

  • Screenshot_20230218_070524_Chrome.jpg
    83.8 KB · Views: 2
Ndoa za siku hizi ni pilipili.... Haki tena nimeyakumbuka sana maisha ya useja....
 
Unadhani hili lina afya kwa taifa?
AFadhari umekuja, wewe nakurudisha huku

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…