Mtembezi Kichomi
JF-Expert Member
- Feb 24, 2022
- 696
- 993
Nimekwambia mwanamke haramu Yako. Ww ukamuweka Dada na mama Yako nikakuuliza hao ni haramu Yako?.Wewe umesema ukishi na mwanamke, na hukuweka kipengele cha unyumba na ndio maana nikatoa mfano wa dada ambae hakuna unyumba, nae atakuwa mke? Sasa kwakuwa umekiri unyumba ni lazima jibu hoja hiyo chini.
Kwamba nikisema tulikuwa na ugomvi kwa miezi mi5 kati ya hiyo 6 hivyo hapakuwa na unyumba bali tulificha ili tu kulea watoto, utabisha?
Sio miezi 5 tu hata miaka 2 kama mnaishi pamoja nyie jamii itawatambua kama mke na mume.Wewe umesema ukishi na mwanamke, na hukuweka kipengele cha unyumba na ndio maana nikatoa mfano wa dada ambae hakuna unyumba, nae atakuwa mke? Sasa kwakuwa umekiri unyumba ni lazima jibu hoja hiyo chini.
Kwamba nikisema tulikuwa na ugomvi kwa miezi mi5 kati ya hiyo 6 hivyo hapakuwa na unyumba bali tulificha ili tu kulea watoto, utabisha?
Haya tufafanulie kuoa ni kufanya nini ? na kufunga ndoa ni kufanya nini ?Hata kufunga ndoa ni kitenzi pia, acha kuvuruga kichwa chako bure. Kuoa ni kitendo kimoja, na kufunga ndoa ni kitendo kingine tofauti kabisa
Wew ndo inabidi upigwe banKampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi kwa kuwa hazina nia njema ya kujenga jamii, kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania
Wewe unayeshawishi watu wasioe umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
Ona ilivomuuma.Alafu hivi nyinyi hamuwezi kujiongelea nyinyi km nyinyi mpaka mtaje taje wazazi ndio matobo yenu yanasikia raha au sio? Yaan bila kutaja mzazi hamsikii raha kabisa hadi mtaje taje wazazi sehemu isiyohitaji kutaja wazazi ndio mnasikia raha wenyewe au sio?
KATAA NDOA
Haya kwakuwa tunakubaliana sasa kwamba ili ihesabike ndoa inabidi muishi kama mume na mke (Unyumba) kwa miezi 6, sasa jibu hiyo hoja hapo chiniNimekwambia mwanamke haramu Yako. Ww ukamuweka Dada na mama Yako nikakuuliza hao ni haramu Yako?.
Daah wazazi wanajua Wana mtoto mwenye akili kumbe wanae ww.Nmemaliza ukitaka tuanze upya sema 4400 others tuanze upya niendelee kukupelekea Moto
Mimi na wewe tumeelewanaMkuu nimekwambia.
Kuoa ni nomino.
Ndoa ni kitenzi.
Yaani kama usingizi na kusinzia. Huwezi kusinzia ukasema Sina usingizi.
Haha, haya, nikisema kati ya hiyo miezi 24 (miaka miwili) , miezi 23 kati ya hiyo 24 tulikuwa na ugomvi nanhapakuwa na unyumba, bali tualiamua tu kuficha ugomvi wetu ili tulee watoto wetu, utabisha?Sio miezi 5 tu hata miaka 2 kama mnaishi pamoja nyie jamii itawatambua kama mke na mume.
Mkuu kwani nisipo oa nikawa naishi tu nikiwa na haja ya kimwili naita namaliza shida zngu kila mtu anafata yake , kutakuwa na shida gani ? Coz hao wenye adabu ni wabaya kisura na kiumbo na mm kamwe siwezi aisee nitamnyanyasa tu kihisia.Na kwann uoe asiyefunzwa na mama yake,huko ni kujitakia at your own risk
Huko kote tumeshafafanuliana, kwamba kuoa hakuna cheti, bali ndoa inahusisha cheti, na ukasema kwamba hata kama hakuna cheti bado ukiishi nae tu kwa miezi 6 kama mume na mke (kiunyumba) tayari inakuwa ndoa. Ndio nikasema sasa, endapo nikisema kwamba miezi mi5 kati ya hiyo 6 tulikuwa na ugomvi na hivyo hapakuwa na unyumba bali tuliamua tu kuficha ugomvi wetu ili kulea watoto, utabisha? Ukasema hata miaka miwili pia (miezi 24), nikakuuliza tena, vipi kama miezi 23 kati ya hiyo 24 tulikuwa na ugomvi na hapakuwa na unyumba, bali tuliamua tu kuficha ili kulea watoto, utabisha?Haya tufafanulie kuoa ni kufanya nini ? na kufunga ndoa ni kufanya nini ?
Hao watoto umewapata na nani ?Kama ni yy huyo unaeishi NAE Basi hata ikiwa ni ugomvi wa mwaka bila unyumba , Sheria itakutambua kama mume wake.Haya kwakuwa tunakubaliana sasa kwamba ili ihesabike ndoa inabidi muishi kama mume na mke (Unyumba) kwa miezi 6, sasa jibu hiyo hoja hapo chini
Endapo nikasema katika kipindi cha miezi mi5 kati ya hiyo miezi 6 tulikiwa na ugomvi na hivyo hatukuwa na unyumba bali tulificha tu ugomvi wetu ili kulea watoto wetu, utabisha?
Unashambulia personality sna hoja ni kwamba watoto wakike mbadilike hasa hwa wazuri wa sura na umbo , tunapenda kuwaoa mno ila watu wanaoa sura mbovu na umbo baya kwa sababu hawa hawana soko na ujanja , inabidi waigize tabia njema, ndio maana mwenye ndoa wngi wanawaumiza wake zao kihisia kwasababu atachepuka na mzuri tu.Aliekwambia OA ni nomino nani ?
Kasomeni,. Naona wengine mnaandika hata msichokijua .
True,pia watu hawaelewi Kwamba ndoa sio kwa kila mtuMkuu kwani nisipo oa nikawa naishi tu nikiwa na haja ya kimwili naita namaliza shida zngu kila mtu anafata yake , kutakuwa na shida gani ? Coz hao wenye adabu ni wabaya kisura na kiumbo na mm kamwe siwezi aisee nitamnyanyasa tu kihisia.
Kwamba nahitaji kulala na mwanamke kwa miezi 6 ili kumpa mimba? Yaani sheria iseme kwamba ili ihesabike kama ndoa inabidi pawe na unyumba kwa miezi 6, halafu sheria hiyohiyo ije iseme, hata kama hapakuwa na unyumba kwa miezi 6 anahesabika kama mke wa ndoa. Sasa sheria ipi ipo sahihi? ππ Maana hapawezi kuwa na sheria 2 zinazokinzana, kipi ni kipi, sheria ipi tuifuate sasa ππHao watoto umewapata na nani ?Kama ni yy huyo unaeishi NAE Basi hata ikiwa ni ugomvi wa mwaka bila unyumba , Sheria itakutambua kama mume wake.
Kama sio watoto wa huyo mwanamke, lakini mmelea pamoja akiwa ndani kwako, utalipa fidia ya huo muda wake huo pasina kujali kama ulikuwa unamgonga ama laah.
Hapo ndio utakuwa umekataa ndoa Sasa. Sie ww unaeishi na mwanamke ndani mwako pika pakua alafu useme unakataa ndoa. Sema umeoa bila kujua kama una ndoa.Mkuu kwani nisipo oa nikawa naishi tu nikiwa na haja ya kimwili naita namaliza shida zngu kila mtu anafata yake , kutakuwa na shida gani ? Coz hao wenye adabu ni wabaya kisura na kiumbo na mm kamwe siwezi aisee nitamnyanyasa tu kihisia.
Achana na mzazi wangu unaongea na Mimi sio mzazi wangu, ushaelewa nimekwambia onyesha palipoandikwa nendeni duniani mkaoane na kufunga ndoa, km hakuna sema ulipo nije nirutubishe hayo mayai yaliyokosa rutuba tuendelee kuijaza dunia maana hilo ndio agizo kuu tulilopewa sio kuoana na kufunga ndoaOna ilivomuuma.
Kwani hapo umetukaniwa mzazi ? au umekosa jibu ?
Tunataka reference kutoka kwenye uhalisia tukianza na kwenye familia yenu.
Kwani ukisema mama angu aliolewa ila hajafunga ndoa ni tusi ?
Au ukisema mama angu hajaolewa Wala hajafunga ndoa ni tusi ?
[emoji1787][emoji1787]
Wale wanaishi kinyumba hawana ndoa inayotambulika kisheria.Mke anataka ndoa ? Ndio umeongea nini Sasa , amekuaje mke kama Hana ndoa.
Mkuu Dozi ni kulingana na ugonjwa. Ukijibu personal nakujibu personal ukileta hoja nakujibu hoja.Unashambulia personality sna hoja ni kwamba watoto wakike mbadilike hasa hwa wazuri wa sura na umbo , tunapenda kuwaoa mno ila watu wanaoa sura mbovu na umbo baya kwa sababu hawa hawana soko na ujanja , inabidi waigize tabia njema, ndio maana mwenye ndoa wngi wanawaumiza wake zao kihisia kwasababu atachepuka na mzuri tu.