Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Mkakati wa kwanza wa shetani ulikuwa ni kumpa mwanamke nguvu kubwa zaidi ya mwanaume kwa mgongo wa 50/50. Badaa ya hapo kilakitu kimeparanganyika.Mkakati wa shetani huo. Soma mkakati wa shetani, ajenda zake kuu kwa mwaka 2023.
Kila mwaka shetani ana ajenda zake. Za mwaka huu kuu ni
1.kupromote ushoga kwa bidii Sana, thus wamekuja kasi sana, waguse LGBT upotee, wameyamwaga ma roho ya ushoga kila mahali kupitia mitandao,mashuleni ndio usiseme.
2.Kuhakikisha wanavunja ndoa, kupitia kampeni kama hizi za kukataa ndoa, kuwaondolea wanawake utii na kuheshimu waume zao hii Kazi anafanya Lilith mke wa kwanza wa Adamu kupitia mafeminist.
#KATAANDOA #MKATAESHETANI