Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Mkakati wa shetani huo. Soma mkakati wa shetani, ajenda zake kuu kwa mwaka 2023.
Kila mwaka shetani ana ajenda zake. Za mwaka huu kuu ni
1.kupromote ushoga kwa bidii Sana, thus wamekuja kasi sana, waguse LGBT upotee, wameyamwaga ma roho ya ushoga kila mahali kupitia mitandao,mashuleni ndio usiseme.
2.Kuhakikisha wanavunja ndoa, kupitia kampeni kama hizi za kukataa ndoa, kuwaondolea wanawake utii na kuheshimu waume zao hii Kazi anafanya Lilith mke wa kwanza wa Adamu kupitia mafeminist.
Mkakati wa kwanza wa shetani ulikuwa ni kumpa mwanamke nguvu kubwa zaidi ya mwanaume kwa mgongo wa 50/50. Badaa ya hapo kilakitu kimeparanganyika.
#KATAANDOA #MKATAESHETANI
 
Somebody ejaculate to make this dust... Chakula chake angewekeza mwilini kutafutia PESA zaidi.
KATAA NDOA imekuingia sasa unabwatuka bwatuka tu hilo shimo lako lenye centimeters kadhaa lazima watu walijaze kifusi na kulikojolea utake usitake itapigwa chini na utajaa juu, habari zenu tunazo hamtupi shida
 
Mkakati wa kwanza wa shetani ulikuwa ni kumpa mwanamke nguvu kubwa zaidi ya mwanaume kwa mgongo wa 50/50. Badaa ya hapo kilakitu kimeparanganyika.
#KATAANDOA #MKATAESHETANI
Huwezi shindana na asili Hakuna gari itaendeshwa na madereva wawili ikaenda,hilo ni chukizo la uharibifu, mwanamke hawezi shindana na asili,ataishia kuwa single.
Kama huna utii achana kabisa na kuolewa.
 
Kampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi kwa kuwa hazina nia njema ya kujenga jamii, kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania

Wewe unayeshawishi watu wasioe umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
mashoga wako kazini. ni ajabu jf mods hawachukui hatua
 
Kijuu juu [emoji106].

Cha kupinga haswa ni hizo Sheria Mbovu za ndoa basi haya mengine ni kufa na tai shingoni tu.
Tena kufa kibudu hasa , tuanze na hyo ya ndoa ikivunjika kila mtu abebe chake alichopata kwa jasho lake , ikiwa ivyo watu watu wataoana na kufunga ndoa kwa upendo na utu kabsa , bila hivyo kuna dalili za utapeli .
 
mashoga wako kazini. ni ajabu jf mods hawachukui hatua
Mashoga hawawez kukataa ndoa kwa sababu na wao wana ndoa zao kisheria ambazo zina simamiwa na sheria hizo hizo zinazosimamia ndoa ya me na ke.
 
Mpka zitokomee kwanza ila naanza na kukataa ndoa kwanza[emoji3][emoji3] siwezi sema ni mbovu nikiwa ndani tayari.
[emoji1787]Poa ni vyema tu umeelewa issue ilivyo.

Hilo swala la kwamba ww umeoa au hujaoa kwaSasa itategemea na huyo unaeishi NAE.
 
Mashoga hawawez kukataa ndoa kwa sababu na wao wana ndoa zao kisheria ambazo zina simamiwa na sheria hizo hizo zinazosimamia ndoa ya me na ke.
hakuna sheria ya ndoa ya mashoga tz...let this sink in your head
 
mashoga wako kazini. ni ajabu jf mods hawachukui hatua
Wake zenu wanalia hamuwakazi vilivyo unaleta issue za kiduanzi au sio? Mtalea sana watoto wasiowahusu... Tutaendelea kuwasaidia kuwakaza endeleeni kuoa

KATAA NDOA
Screenshot_20230218-011419.png
 
[emoji1787]Poa ni vyema tu umeelewa issue ilivyo.

Hilo swala la kwamba ww umeoa au hujaoa kwaSasa itategemea na huyo unaeishi NAE.
Mpka naishi nae tambua nimemng'oa meno yakunidonoa kisheria , kwanza kukaa apa alijipendeleza mwenyewe tu , siku moja mojà alikua anakuja mwisho wa siku kahamisha na vitu vyake kabsa .
 
Tena kufa kibudu hasa , tuanze na hyo ya ndoa ikivunjika kila mtu abebe chake alichopata kwa jasho lake , ikiwa ivyo watu watu wataoana na kufunga ndoa kwa upendo na utu kabsa , bila hivyo kuna dalili za utapeli .
Pamoja mkuu lazima tuje na mikakati thabiti sio kulalamika na kulialia badala ya kurejesha nguvu huko. Vinginevo watakuja sema ukimvua tu chupi ni mkeo halali na sisi tupo hapahapa. Kama mbinu zetu zenyewe ndio hizi bado tutaumizwa tu .

Otherwise Chaputa ihusike[emoji1787]
 
Upande mmoja mwanaume anatakiwa aishi na mwanamke kwa akili sana, Upande wa pili mwanamke ana ubongo mdogo kuliko wa mwanaume, ila uwezo wake wa kufikiri ni mkubwa mno, hivyo hawa wawili kuwa kwenye mizani moja ni changamoto sana. Matatizo ya ndoa hayakuishia Edeni, na hayatakuwa na mwisho maadam hao wawili wapo pamoja.
 
hakuna sheria ya ndoa ya mashoga tz...let this sink in your head
Hakuna ndio ila mashoga wengi ni watu wenye ndoa zao pia , mimi nina mfumo dume nakataa ndoa kwa sababu ina haki swa wakati asili haikubali haki sawa , haki sawa na ushoga ni mtu na ndgu.
 
Mpka naishi nae tambua nimemng'oa meno yakunidonoa kisheria , kwanza kukaa apa alijipendeleza mwenyewe tu , siku moja mojà alikua anakuja mwisho wa siku kahamisha na vitu vyake kabsa .
Changa karata zako vizuri Mkuu, asikufanye muhanga .
 
Back
Top Bottom