Ninafanya kazi kwa karibu na vijana wengi ... Ukikuta kijana anakataa ndoa na ukaongea naye kwa utulivu msingi mkubwa ni upungufu mkubwa wa nguvu za mwili kutokana na athari mbalimbali hasa vilevi na punyeto
 
Wewe na kujua ni shoga hata mkeo amekukimbia kwa sababu ya ushoga. Mkeo anasema wanaume wameshakuharibu huko mkunduni kwako! Pole sana
 
Wewe na kujua ni shoga hata mkeo amekukimbia kwa sababu ya ushoga. Mkeo anasema wanaume wameshakuharibu huko mkunduni kwako! Pole sana
Mke hajanikimbia ila mimi ndo nimemwacha kwa talaka tatu, akaolewa na mwanaume mwingine akadumu kwenye ndoa mwaka mmoja kisha akaachika tena kwa talaka tatu

Kuanzia mwaka jana ananiomba msamaha anataka turudiane, anasema kajirekebisha na anakiri kwamba alinikosea

Wewe ni singo maza umeshazalishwa umeachwa sasa kilichobaki ni kumaliza hasira kwa wanaume, mkuu wewe shinda mechi zako kama mambo yamekuwa magumu rudi kamuombe baba watoto wako mrudiane

KATAA NDOA

NDOA NI UTAPELI

NDOA NI JANGA KWA MWANAUME

NDOA NI CHANZO CHA MWANAUME KUFA MAPEMA NDO SABABU INAYOFANYA UKIOA MWANAMKE ANAKUWA NA UHAKIKA ATAANZA KUFA MWANAUME ILI YEYE ABAKI NA MALI
 
Pumba tupu!
 
Hakuna sheria inayo sema lazima mwanaume aoe kwa wakristo sheria kumi hakuna sehemu ambayo kuna neno oa so kuoa ni maamuzi magumu sana kuishi na mtu mwingine aliye mjulia ukubwani
Sema huwezi kupingana na maumbile, kwa kizungu neture, kuepuka haya, ni ukauwe nguvu za kiume.

Ila ikiacha mkwangara unafanya kazi ni bure tu utayaishi tu yale unayodhani umeyakwepa.
 
Mtabwabwaja yote, lakini kuifanya ndoa kama kitu cha ziada maishani ati kwa sababu mapenzi yamekushinda, ni upunguani.

Kila binadamu anapigana na upweke kama hamjui, mnajifariji tu. Shenzi
 
Hakuna sheria inayo sema lazima mwanaume aoe kwa wakristo sheria kumi hakuna sehemu ambayo kuna neno oa so kuoa ni maamuzi magumu sana kuishi na mtu mwingine aliye mjulia ukubwani
Mungu alisema nendeni mkaijaze dunia. Kwa akili yako bila binadamu kuoana dunia itajaa vipi? Elewa kuoana ni kwa njia halali.
 
Na wewe mtoa mada, usiwashauri vibaya vijana waingie kwenye utapeli na ubatili wa ndoa. Kwenye ndoa hakuna furaha, kuna karaha na unafiki tu ambao mmeupa jina la uvumilivu. Yaani uvumilie ubatili na utapeli! Ndoa itaharibu afya ya akili ya vijana, ndoa itawakatisha tamaa katika maisha, ndoa itakatisha hata uhai wao. Waambie huu ukweli! Kwani wewe huuoni ubatili huu wa ndoa?
 
Hii hoja ya kupinga ndoa haraka sana nimeijua kuna baadhi humu ni upinde, wakoboaji na waliyoshindwa mahusiano kwa kukurupuka au matatizo yao binafsi ambao wanashawishi wengine wasikubali ndoa.

Upinde wote wa pande mbili wanatetea maslahi yao maaana ndoa za halali zinaharibu mambo yao hawapati wanachokitaka, hivyo kampeni yao ni ili wafanikishe hilo. Kupitia hoja ambazo hazina maana na kama ukifuatilia reply zao kwenye uzi kwa umakini utawajua.

NB: Siyo wote waliyochangia ni kundi hilo
 
Wana jf wengi mmekuwa mkipingana na watu wanaokataa ndoa kwa kuwa hoja wanazozitoa hamtaki kuzipa nafasi na mnatoa sababu zenu mnazoziona zina mashiko.

Kiukweli hili ndoa iwepo lazima makubaliano binafsi yawepo kati ya mwanamke na mwanaume, asilimia kubwa mwanaume ndo anakuwa muamuzi katika suala la ndoa.

Utandawazi umeleta Hali ya usawa wa kijinsia na hii imekuwa ikimpa nafasi kubwa sana mwanamke , kuonekana yuko Sahihi kwa kila Jambo.

Leo hii ndoa inapovunjika ataonekana mwanaume alikuwa hatoi huduma katika familia ila wanasahau kuna tabia nyingi sana anazozionyesha mwanamke na moja kwa moja zinamfanya mwanamke akose sifa ya mke.

Leo hii mwanamke amejaa na kiburi,dharau ,majivuno ,kutokuwa na heshima kabisa,matusi ,chuki iliyokisiri ,wivu wa kijinga.usaliti wa wazi.

Kiukweli wanawake kwa asilimia kubwa wanaonyesha hawako tayari na ndoa ,na hata wakiingia kwa ndoa wanaanza kuonyesha madudu yao.

Mwanaume asiye na msimamo pekee ndiye anayeweza kuvumilia Tabia mbovu za mwanamke ,maana kuendelea kuvumilia ni kama kuishi katika tanuri la moto mkali.

Tabia mbovu ya mwanamke inafanya mwanamke leo anajali ndugu zake na kusahau ndugu wa mumewe kutokana na chuki binafsi.

Tabia mbovu ya mwanamke ya wivu uliopitiliza pasipo kushirikisha inaleta mauaji mengi ,baada ya kutaka mume wake asijichanganye na wanawake Abaki kwake tu,
Mumewe abaki ndani kama mwali na asitoke nje.

Tabia mbovu ya mwanamke leo ni kawaida kumtukana mumewe na kuisingizia hasira wakati haukuwa utamaduni wetu huu.

Tabia mbovu ya mwanamke.inamfanya awe mtu wa majivuno na dharau kwa kuwa mwanaume ameamua kumuonyesha upendo wa dhati,mwanamke anaishia kumuona mwanaume huyo mjinga

Hitimisho Kama Tukiamua kuandjka Tabia mbovu za wanawake sitaweza kuzimaliza leo,na kwa sababu hawataki kubadilika basi wataanza kuandika na tabia mbaya zetu wakisahau kwamba wana nafasi kubwa za kujenga ndoa zao.

Wanaume Tukatae Ndoa,

Wanaume Tusioe Hadi wanawake wanakapoamua kubadilika.

Wanaume Tusioe wanawake ambao hawataweza kusaidia wazazi wetu wakiumwa.


Usiku mwema
 
Ndoa ni mahusiano, mahusiano kama hayakujengwa na upendo na hekima, lazima mfike huku. Suala ni kwamba, tumeasi ndio mana ndoa ni mzigo sasa hivi.

Mtu anaingia kwenye ndoa na mtu asiye sahihi kwa sababu ya mivuto ya siku mbili tatu, by the way, hakuna mahusiano yasiyo na misiguano, hata bangili hutoa sauti zikiwa mbili
 
Mimi binafsi ukiniuliza nitakujibu kwa sasa niko na amani na najisikia fresh kuliko nilivyokuwa kwenye ndoa

Kipindi nipo kwenye ndoa furaha ilikuwa ni asilimia 10, asilimia 90 ni maumivu

Ila sasa hivi furaha ni asilimia 98, maumivu ni asilimia 2 tu
Unaitafuta amani duniani? Never, you won't get it, unadhani ukiwa peke yako ndio utakuwa na amani? Unaelewa maana ya kujilisha upepo? Maana yake ni kujaribu kutafuta amani. [emoji1],

Calm down, you had married the wrong person. Damn!
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Pendwa, CCM.

Baada ya kupokea msg nyingi sana toka kwa wengi wenu kutaka kujua msimamo wangu kuhusu hii kampeni ya kataa ndoa inayozidi kushika kasi hapa JF nimeona leo nitumie haki yangu ya kikatiba ya kutoa maoni.

Wazee wa Kataa Ndoa kiukweli wana sababu ambazo ni ngumu kuzipinga, kibaya zaidi hoja zao zinasindikizwa na maombi mengi ya talaka kwa msajili wa ndoa ambapo pia kuna mfululizo wa matukio ya watu maarufu kuachana.

Tukiachana na talaka pia kuna takwimu za wanandoa kuuana na kutiana vilema vya maisha. Wazee wa Kataa Ndoa wanavyosema, "kataa ndoa linda afya yako ya akili" wana ushahidi wa kutosha jinsi wanandoa wengi walivyo na stress vichwani zinazosababishwa na mambo ya ndoa.

Wanandoa kufumaniana sio habari kubwa kwa ulimwengu wa leo. Kuwapinga wazee wa Kataa Ndoa inabidi uwe na hoja nzito sana na sio kukimbilia kusema uzeeni utaishi kwa taabu.

Baada ya kusoma nyuzi na comments nyingi za wazee wa Kataa Ndoa nikagundua madhaifu yao kadhaa ambazo zimenisaidia kuandika huu uzi. Hawa jamaa wengi wao wana vipato duni sana kitu kinachowafanya wachanganyikiwe wakifikiria majukumu ya ndoa kama wanaume.

Kwenye uzi wa kuhamasisha kujenga nyumba wengi wao wamejitokeza kupinga na kusema duniani tunapita tu. Kimsingi kwenye mambo ya fedha wengi wao wamekata tamaa. Kama taifa tuwasaidie kufufua matumaini yao kwenye shughuli za kiuchumi ili nao waingie kwenye ndoa taifa lizidi kuwa imara kupitia familia zilizo imara.

Wazee wa Kataa Ndoa pia ni watu kimaadili walishakengeuka na kutofuata maamrisho ya wazazi/walezi wao. Wengi wao waliamua kwa makusudi kukiuka maadili. Wengi wao walianza kuchakata mbususu katika umri mdogo sana bila ndoa.

kwenye uzi wa mzee rikiboy wa kula tunda kimasikhara utakutana na wazee wa Kataa Ndoa wakitiririka. Ndoa ni jambo takatifu na lina uhusiano wa karibu sana na maadili. Hawa jamaa wajitazame kwanza wao kama tabia zao zinaruhusu kuwa mfano kwa watoto wao watakaowapata kwenye ndoa.

Wasiishie kulaumu wanawake wakati wao wana matendo maovu toka wakiwa wadogo. Jitu halijamaliza hata form six tayari limeshachakata papuchi kama 20 hivi.

Hawa jamaa pia wamepata mwanya wa kuyatoroka majukumu yao ya kiume kupitia huo uchochoro wa Kataa Ndoa. Mwanaume aliyekamilika ni muhimu kuwa na familia kupitia ndoa takatifu. Huwezi kujiita mwanaume mwenye mafanikio bila kuwa na familia.

Mafanikio ya mwanaume ni kuwa na pesa, afya njema na familia bora. Sasa vijana kwa makusudi kabisa wanataka kujivua uanaume wao. Mwanaume unatakiwa uwajibike kwa 100% kwa mkeo, watoto na kila kilicho ndani ya nyumba yako yaani hata paka akiumwa lazima uhusike. Wazee wa Kataa Ndoa kwa kutotaka usumbufu wanakwepa haya majukumu.

Wazee wa Kataa Ndoa pia wameshindwa kukubaliana na ukweli kwamba mwanamke ni kama bahari huwezi kuichunga. Suala la kuchapiwa halijaanza leo. Tatizo ni kwamba siku hizi mambo mengi yako hadharani kwasababu mbalimbali hasa kukua kwa teknolojia.

Siri hakuna. Ukisoma biblia utaona Yusufu alibambikiziwa kesi ya ubakaji kisa tu alikataa kuchakata mbususu ya mke wa Potifa aliyekuwa afisa mkubwa kwenye serikali ya farao. Vijana wa hovyo kwa nyakati hizi wangefurahi sana kuchakata lishangazi.

Kuna mwanajeshi Uria alichapiwa mke na Mfalme Daudi. Nabii Ibrahim ilibaki kidogo tu achapiwe mke na mfalme. Hata hapa TZ kuna stori kwamba tajiri fulani alichapiwa mke na mmoja wa waasisi wa taifa letu hadi mtoto kuzaliwa ambaye kwa sasa ni mwanasiasa maarufu.

Tofauti na nyakati hizi ni kwamba wale wa zamani waliweza kuhimili hizi changamoto na kujikuta wanafika uzeeni na wake zao. Vijana wa Kataa Ndoa hili pia mkalitazame maana nyie mkiachana mnawaanika wenzi wenu mitandaoni hovyo hovyo.

Nahitimisha kwa kuwasihi vijana mbadilishe misimamo. Mimi pia sijaoa ila niko chimbo nasaka binti wa Kisabato mwenye C ya B/maths O-level. Ndoa ni jambo takatifu hivyo tupambane tuingie kwenye huo utakatifu badala ya kufanya zinaa ovyo ovyo.
 
Unataka watu waingie wasiangalie mvuto?
 
Kampeni ya kataa ndoa ipo mjini daslam , huu mji ni mgumu Sana Kwa ndoa...!! Wanawake Wakishakaa Kwa dada zao walioolewa na washua wanakuwa na tamaa kupitiliza mwisho wanazinguana na maboy zao wa ndoto , wanaishia kuzalishwa na wahuni wenye verosa , baada ya hapo ni kudanga tuu na usingo mother ...

wanaume wa kuoa single mother ratio ni 1:100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…