SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,280
- 3,555
Alisikika kimtu kimojaMambo ya kataa ndoa Ni kampeini za wapenzi wa jinsia moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisikika kimtu kimojaMambo ya kataa ndoa Ni kampeini za wapenzi wa jinsia moja
Ndani ipo hivyo ila uhalisia haupo hivyo ww kama wanasheria wa haki waelimishen mabinti wanaoishi kiyumba wazijue hzo sheria na wawabne wame zao kwa hizo sheira uone kama hata kama kuna mtu ataishi kinyumba na mtu .Kumbe ukielimishwa sana unaweza kuelewa.
Sheria ni moja usichoelewa kwenye hio Sheria ni kipi ?Kwamba nahitaji kulala na mwanamke kwa miezi 6 ili kumpa mimba? Yaani sheria iseme kwamba ili ihesabike kama ndoa inabidi pawe na unyumba kwa miezi 6, halafu sheria hiyohiyo ije iseme, hata kama hapakuwa na unyumba kwa miezi 6 anahesabika kama mke wa ndoa. Sasa sheria ipi ipo sahihi? [emoji23][emoji23] Maana hapawezi kuwa na sheria 2 zinazokinzana, kipi ni kipi, sheria ipi tuifuate sasa [emoji23][emoji23]
Na kusema mwanamke analea watoto wasio wake, na hapo hapo hamna uhusiano wa kiunyumba, huyo si ni house girl jamani na analiowa mshahara wake kama house girl tu wa kawaida, maana hiyi ni orecise definition ya house girl, sasa house girl anaweza kukupeleka mahakamani kudai fidia? Fidia ya nini na analiowa mshahara?
Wana watoto?Wale wanaishi kinyumba hawana ndoa inayotambulika kisheria.
Sheria hiyo hiyo inasema kuishi na mwanamke asiye haramu yako kwa miezi 6 kama mume na mke (kiunyumba). Au sheria haisemi precisely sentensi ya “KAMA MME NA MKE”? Kama unasema haisemi kama mume na mke, basi hata house girl wangu hapa nyumbani si haramu yangu na ni mwanamke, na hatushiriki unyumba ila anakuwa mke wangu kwa hiyo sheria, si ndio?Sheria ni moja usichoelewa kwenye hio Sheria ni kipi ?
" Umeishi na mwanamke asiye haramu Yako, kwa huo muda wa miezi sita "
Haijalishi umempa mimba.
Haijalishi ulikuwa na ugomvi NAE huo muda (alikuwa anafanya nn na huo ugomvi wenu kwa muda wote huo).
Utalipa fidia ya huo muda wake .
Kuishi pika pakua nimetoa msaada tu , kuna mda nikimchoka ataondoka mkuu,.Hapo ndio utakuwa umekataa ndoa Sasa. Sie ww unaeishi na mwanamke ndani mwako pika pakua alafu useme unakataa ndoa. Sema umeoa bila kujua kama una ndoa.
Ndio unataka kusemaje unataka nikuzalishe na wewe?Daah wazazi wanajua Wana mtoto mwenye akili kumbe wanae ww.
Sheria mbovu mbovu...Sheria hiyo hiyo inasema kuishi na mwanamke asiye haramu yako kwa miezi 6 kama mume na mke (kiunyumba). Au sheria haisemi precisely sentensi ya “KAMA MME NA MKE”? Kama unasema haisemi kama mume na mke, basi hata house girl wangu hapa nyumbani si haramu yangu na ni mwanamke, na hatushiriki unyumba ila anakuwa mke wangu kwa hiyo sheria, si ndio?
Sawa ngoja tuoneMkuu Dozi ni kulingana na ugonjwa. Ukijibu personal nakujibu personal ukileta hoja nakujibu hoja.
Ili kunogesha kataa ndoa inabidi usioe . Sio uoe alafu useme unakataa ndoa.
Watoto 7 ila sheria za nchi waliyopo zinawatambua tu kama marafiki.Wana watoto?
MazingiraSheria hiyo hiyo inasema kuishi na mwanamke asiye haramu yako kwa miezi 6 kama mume na mke (kiunyumba). Au sheria haisemi precisely sentensi ya “KAMA MME NA MKE”? Kama unasema haisemi kama mume na mke, basi hata house girl wangu hapa nyumbani si haramu yangu na ni mwanamke, na hatushiriki unyumba ila anakuwa mke wangu kwa hiyo sheria, si ndio?
Asante kwa kunielewe. Tuko pamoja [emoji106]Ndani ipo hivyo ila uhalisia haupo hivyo ww kama wanasheria wa haki waelimishen mabinti wanaoishi kiyumba wazijue hzo sheria na wawabne wame zao kwa hizo sheira uone kama hata kama kuna mtu ataishi kinyumba na mtu .
Hasara ya yai lililopevushwa kimakosa. Mzee wa watu angetetema Bafuni tusingekuwa na uchafu Sasa hv.Ndio unataka kusemaje unataka nikuzalishe na wewe?
Kwaio kikubwa ni kurekebisha Sheria si ndio ?Watoto 7 ila sheria za nchi waliyopo zinawatambua tu kama marafiki.
Nafikiri na wewe umenielewa , tusichimbue ya humo ndani kwasababu yatatufanya tukatae hizo unzoita ndoa kabsa , tukija kijuu juu tu (kama ilivyo) ata tuonaishi kiyumba tunakataa ndoa.Asante kwa kunielewe. Tuko pamoja [emoji106]
Njoo na wewe nikutemee humo ndani nikurutubishe upate kujisifu kua umezaa maana hicho ndicho mnachopenda, na sio kingineHasara ya yai lililopevushwa kimakosa. Mzee wa watu angetetema Bafuni tusingekuwa na uchafu Sasa hv.
Sheria haziendani na tabia za kizazi hiki zibadilishwa tuone faida za ndoa bila blaa blaa kwa sababu kama maziwa yapo yanini kufuga ng'ombe kisheria.Kwaio kikubwa ni kurekebisha Sheria si ndio ?
Kijuu juu [emoji106].Nafikiri na wewe umenielewa , tusichimbue ya humo ndani kwasababu yatatufanya tukatae hizo unzoita ndoa kabsa , tukija kijuu juu tu (kama ilivyo) ata tuonaishi kiyumba tunakataa ndoa.
Tuko pamoja tukutane kwenye harakati za tokomeza Sheria Mbovu za ndoa.[emoji106]Sheria haziendani na tabia za kizazi hiki zibadilishwa tuone faida za ndoa bila blaa blaa kwa sababu kama maziwa yapo yanini kufuga ng'ombe kisheria.