Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Pamoja mkuu lazima tuje na mikakati thabiti sio kulalamika na kulialia badala ya kurejesha nguvu huko. Vinginevo watakuja sema ukimvua tu chupi ni mkeo halali na sisi tupo hapahapa. Kama mbinu zetu zenyewe ndio hizi bado tutaumizwa tu .

Otherwise Chaputa ihusike[emoji1787]
Wakija na hiyo ya kumvua chupi ni mkeo jana tu [emoji3][emoji3] Leo ungekuta nina mke mpya[emoji3][emoji3]
 
Mashoga hawawez kukataa ndoa kwa sababu na wao wana ndoa zao kisheria ambazo zina simamiwa na sheria hizo hizo zinazosimamia ndoa ya me na ke.
Mkuu.
Ukiishi ndani na mwanamke akihitaji kukudhuru ni dakika 0 tu .

Hakuna ujanja eti uishi na mwanamke ndani bila hicho Cheti ndio ukadai umemuweza. Narudia tena "HAJAKUTAKA"
 
mashoga wako kazini. ni ajabu jf mods hawachukui hatua
Hakuna aliyekulazimisha kuoa, ona unavyohangaika kwa stress!!!
Ndoa inamaana sana kwa mwanamke...labda pia na kwa mwanaume mjinga.
 
Hakuna aliyekulazimisha kuoa, ona unavyohangaika kwa stress!!!
Ndoa inamaana sana kwa mwanamke...labda pia na kwa mwanaume mjinga.
na hakuna aliyekulazimisha uwe shoga pia....and for your info sina stress yoyote, wewe ni mpumbavu tu unayedhani kila anayepinga ushoga ana stress. Ninyi machoko ndiye mmejaa stress za kufa mpaka mnaona mchokonolewe ndipo zitawaisha.
 
Mkuu.
Ukiishi ndani na mwanamke akihitaji kukudhuru ni dakika 0 tu .

Hakuna ujanja eti uishi na mwanamke ndani bila hicho Cheti ndio ukadai umemuweza. Narudia tena "HAJAKUTAKA"
KATAA NDOA

Elewa kinachozungumziwa ndio ubwatuke bwatuke, huwezi vaa taulo lako kisha jikunyate siku zisogee sogee uombe kupelekewa Moto uzae maisha yaende usililie Cheti cha ndoa mimba mlilie kutiwa vizuri mlilie na Cheti cha ndoa mlilie,? TUTAWAPA MNACHOSTAHILI ILA SIO NDOA

KATAA NDOA
 
Kuishi na mwanamke miezi 6 ni umefunga ndoa ni sheria mbovu isiyotekelezeka kisheria .
Sheria mbovu iliyofuata mapendekezo ya wanawake tu bila kujali mapendekezo ya wanaume, Sheria mbovu kuwahi kutokea..
 
Mazingira

1. Unakaa na huyo house girl peke ake ? (Una makubaliano ya kimkataba kwamba huyo ni house girl)

2.Kama mnakaa wengi wanafamilia basi house girl ni excluded, tunategemea kuwepo kwa muhusika mwingine.
Kwahiyo wewe ndio unatunga hii sheria au unatoa wapi hizi kanuni 😂😂. Haya tufanye nakaa na house girl wawili Wasio wanafamilia, ni wanawake na si haramu, na hatushiriki unyumba, wanakuwa wake zangu kwa hiyo sheria? Tufanye mimi ni muislam na naruhusiwa wake wawil
 
Wee huniambii kitu nikakuelewa,

Ningekuwa sijawahi kuoa hapo sawa,

Mimi nilifunga ndoa kabisa ya kiislamu ila mwanamke alipoanza kunipangia ratiba ya kwichi kwichi (na mimi hii ndo starehe yangu kubwa), baadae akaanza kuniambia nitaondoka mimi yeye nimuachie nyumba akae na watoto (wakati nyumba yenyewe ya kupanga), ikafika kipindi nikawa hata kurudi nyumbani nachukia nikajikuta nafanya kazi masaa kumi na sita,
Mwanamke unaacha kila kitu ndani lakini hapiki badala yake anaenda kununua chipsi anakula na watoto (huyo alikuwa mama wa nyumbani) nilikuwa nampatia kila anachohitaji mwisho wa siku akawa anajisifu kwa watoto wa dada yangu kwa kuwaambia,
"huyo mjomba wenu mwenyewe nampelekesha"

Siku anaamua kuondoka nyumbani yeye mwenyewe akachukua kila kitu na bado narudi kazini nakuta barua kutoka chang'ombe polisi kanifungulia kesi kwamba nimemfukuza, nimemtolea vyombo nje (ninachoshukuru wale kina dada/mama walikuwa ni waelewa) na walijua kwamba yeye ndo mwenye matatizo hivyo walimuuliza tu, "kwa hiyo wewe unatakaje?"

Akajibu, "nahitaji kila mwezi anipe pesa kwa ajili ya watoto" (kimoyo moyo nikajisemea huyu kumbe anataka kuwatumia watoto kama kitega uchumi chake)
Maana kabla hatujaachana nilishawahi kumwambia, "nakupa miezi mitatu fikiria ni biashara gani utakayoweza kufanya ambayo itakuwezesha kuhudumia watoto hata ikitokea siku nimekufa" huwezi amini ilipita miezi mitatu nakuja kumuuliza umefikia wapi, ananijibu l, "sijaona biashara ya kufanya", shiiit


Kifupi huyu mwanamke kuna kipindi nilikuwa naishi nae kwa tahadhari, maana nilikuwa naona kabisa tunapoelekea kuna siku mmoja atamuua mwenzie


Kisha mnajaribu kutushawishi tuoe, aaah weeee... tena kwa sasa hivi wapo na msimamo wao wa 50 kwa 50

Nakwambia, "Niache kidogo"
kipi kilichokuvutia kwake mpaka ukaamua ufunge nae ndoa?
 
Achana na hao Upinde huwezi kushindana nao
Mnapigwa spana hadi unanyoosha miguu juu km unajifungua, sasa ulichobakiza ni kujitetea kwamba kila anaesema KATAA NDOA ni mwanachama wa upinde
 
Mkuu.
Ukiishi ndani na mwanamke akihitaji kukudhuru ni dakika 0 tu .

Hakuna ujanja eti uishi na mwanamke ndani bila hicho Cheti ndio ukadai umemuweza. Narudia tena "HAJAKUTAKA"
Hata akikutaka hana huo msuli. Halafu mnawaogopa wanawake, mbona wa kawaida tu? Mnakutana na mashangingi
 
Back
Top Bottom