MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

Yes man made kwa maana aliyeanzisha (YESU) alikuwa MTU kweli na Mungu Kweli ....upo hapo?
Yes hakuanzisha dini. Yesu alikuwa myahudi na alifuata dini ya kiyahudi. Na wanafunzi wake vile vile walikuwa wayahudi.

Nionyesha sehemu ambayo Yesu amesema naanzisha dini.
 
Man made
 
Sababu kubwa ya kutumia sanamu ni kuiga dini za kizamani za kirumi na kigiriki.
 
Kama sikuabudu siku ya ijumaa kuu kunatendo la kwenda kwenyesanamu ya bikira maria kuipiga busu nakupiga magoti nakuiinamia ikimaanisha tendo la kuabudu ..
 
Jamani nyie wakathoric sibitisheni kwa maandiko wa biblia inampa maria mamlaka ya kuwaombea wafu.. Na ilihali yeye ni mufu swali la kwanza.. Swali lapili wapi biblia inasemama tubumbe misanamu na kuisujudia..

Kunamaandiko mangi yasiyo kuwa na idadi yanayopiga malufuku kutengeneza au kuunda sanamu na kuifananisha nakitu chochote kile kilichopo duniani au juu mbinguni.. Na mkibisha nitaleta maandiko sasa nijibuni maswali yangu kwa maandiko ili na mimi nilizike..wapi mmepewa mamlaka ya kibiblia kuunda mwana sesele alimalufu midololi au sanamu. na kuufananisha nayesu.. leteni andiko
 
Katiba ya wakiristo wote dunia ni biblia haisemi maria awe muombezi ..bali inatamka wazi wazi kuwa tunae muombezi mmoja tu ambae ni yesu kiristo. Sii maria wala hao watakatifu wenu wakupeana ..eehee haya ndio maneno ya watu kuelezwa siiuongo munao walisha watu eti maria alipaa mala muombezi huwo wote niuongo wa hazalani.kama nikweli leteni maandiko tuone kama biblia inampa mufu mamlaka ya kuwaombea walio hai..
 
Bado atakuja mtu atawaambia eti typing error "ruselani" ndio kitu gani
,"angirikani"
"luusu "badala ya ruhusu
" wakiloho" badala ya Wa Kiroho
Bule badala ya Bure
Kwabaazi badala ya kwa baadhi... Yaani huyu mtu ni tatizo mkuu Shule zimefunguliwa uende Shule ukasome vizuri na uzuri kuna elimu ya watu wazima itakufaa sana......
 
Alikuwa mpenda mashori ndio maana alijiondoa
 
Haya Otorong'ong'o kuja hapa jibu hii.
 
Cha msingi umeelewa hoja yake.sio kila mtu anajua kiswahili fasaha.
 
Mimi nakuelewa vizuri sana ndugu.asiyekuelewa huyo ana mapepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…