MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

Ninachojua ugomvi Wa Luther name kanisa Catholic ni waumini kuuziwa hat ya msamaha.
 
Sijahujumu nimewaambia habari njema za wokovu ili msipotee bali mrithi ufalme wa Mungu.
Wokovu unao uzungumzia ni upi....?kwa taarifa yako Kanisa Katoliki ndio waasisi wa wokovu hivi vikundi vingine vilikuja kwa mslahi ya kidunia zaidi,

Chunguza vzuri historia ya hicho kikundi unacho sali nacho ukishindwa tupi huku JF utapewa historia.
 
Ninachojua ugomvi Wa Luther name kanisa Catholic ni waumini kuuziwa hat ya msamaha.
Vp kuhusu kuruhusiwa kwa makaasisi na watawa kuoa au kuolewa....?hili ulijui.....?na ndio maana nasema hivi vikundi vilikuja kimaslahi ya kidunia zaidi, na kwa taarifa yako Luther alirudi kanisani kuomba msamaha kiongozi wa kanisa wkt huo(PAPA) alimwambia kanisa limekusamehe Ila rudisha wanakondoo wote ulio wachukua kanisani hilo lilimshinda Luther,hizi historia wachungaji wenu hawawezi kuwaambia na pengine hawazijui.....upo apo.
 
Wokovu unao uzungumzia ni upi....?kwa taarifa yako Kanisa Katoliki ndio waasisi wa wokovu hivi vikundi vingine vilikuja kwa mslahi ya kidunia zaidi,

Chunguza vzuri historia ya hicho kikundi unacho sali nacho ukishindwa tupi huku JF utapewa historia.
Ni kweli Roman Catholic ndio chanzo cha kusujudia sanamu ya Bikra Maria wakidhani ndo watapata wokovu, Maria alishakufa kama Daudi ambaye Paulo anadai kaburi lake lipo hadi leo.hao wote wanasubiri ufufuo.Wokovu unapatikata kwa kumwamini Yesu Kristo pekee, kwani yeye yu hai siku zote
 
Wewe uko affected na mafundisho ya kina Miller....

Hv pale Mathayo 16:16-19 ebu pitia mwenyewe alafu uje uniambie yule alikuwa ni Miller au EGW au Luther au yule mfalme wa uingereza mwasisi wa Anglican au viongozi wa vile vikundi ambavyo mwanzo wake ni utata mtupu...
 
Ila naamini iko cku mtakuja kuwaelewa Wakotoliki sasa hv ni vgumu sana kuwaelewa....!
 
Hivi unajua kilichoko nyuma ya hilo kanisa? Au unaongea tu
Soma Ufunuo 13:1-18.

Kumbuka Yesu hakuacha dini ya Catholic, angalikana, au upentecoste.
Yesu alikuja kumkomboa mwanadamu ktk utumwa Wa dhambi. Tangu mwanzo hata sasa
Yesu anasema

[Yohana 8:12
Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, Bali atakua nuru ya uzima.

Mahali pengine Yesu akasema, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima hakuna atakae kwenda Kwa baba pasipo kupitia kwangu.]

Nataka nikwambie tu ndugu Yang, hatuwezi kufika mbinguni Kwa kupelekwa na hayo madhehebu tu,

Hapa Msingi mkuu ni kumwamini Yesu kama Bwana na Mwokozi Wa maisha yako.
Angalia usidhani na kujiona umesimama ktk imani, kumbe umeanguka ktk imani.
Mwamini Yesu ndugu yangu.
 
Tupa mbali uongo hapa! Kanisa alilosema Yesu si Roman Catholic
 

Hivi unahabari Ellen G White yupo Jehanam kutokana na mauaji aliyosababisha mwaka 1844...
 
Wewe ndiwe Petro na Juu ya Mwamba huu nitalijenga Kanisa Langu..


Petro ndiye Baba Mtakatifu wa Kwanza...Sasa jiongeze mwenyewe Kanisa aliloliacha Yesu ni lipi..
Kuwa uzia waumini hati ya msamaha,
Kusujudia sanamu ya birkira maria
[Eti mama maria utuombee sisi wenye dhambi!] Kweli?? Mtu alie kufa atakuombeaje wewe mwenye dhambi???
Yesu ndie alikufa Kwa ajili ya dhambi za mwanadamu na sio bikira maria,
Hili sio kanisa aliloacha Yesu! Hivi unajua historia ya roman catholic church au unaongea tu.
Usihadaike na hilo kanisa eti litakupeleka mbinguni!
Hio sahau!!!!

Narudia soma ufunuo 13:1-16
Huyo yule mnyama aliebadilisha nyakati na majira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…