Hatuko hapa kufanya nashindano ya vufungu vya Biblia...
Kama unaakili ukiiangalia hiyo kauli utaona kuna pande mbili....Moja ipo wazi yani" watakatifu wa duniani" na pande nyingine imefichwa...
Yani sio kwamba Mungu hapendezwi na Watakatifu wa mbinguni, la hasha..ila anapendezwa zaidi na Watakatifu wa duniani, smbao ni watu wa kawaida, wanaishi maisha ya kumpendeza Mungu kwenye dunia iliyojaa kila aina ya vishawishi...
Swali la kujiuliza mimi na wewe je! Ni watakatifu...?
Tatizo wewe ni limpumbavue hujui kujadiliana ila unabisha bila hoja. Unafanya ubishi bila mantiki na hata unapoona umebanwa unahamisha agenda na kulazimisha watu wakkufuate.
Kiwango chako ni cha sifuri kwa sababu hakuna mtu aliyeenda shule ama anayeellewa jambo, au mwenye upeo wajuu ambaye katika mijadala atakuwa anakimbila kuwahoji watu kama wana akili, wakati huo huo anaandika uozo na kulazimisha wazungumzie uozo wake ambao hata yeye hauelewi.
Hapa agenda ni "Kitabu gan kimeandikwa kwamba wakatoliki waombe kwa watakatifu waliokufa?".
Umeleta reference ya ufunuo inayozungumzia maombi ya Watakatifu yanayofika mbinguni.
Nimekuletea references za Biblia inasema juu ya Watakatifu walioko duniani hao ndio waliobora.
Wwe unaibuka bila reference yoyote kwamba hata watakatifu waliokufa nao.... Wewe ni Mungu? Kama si Mungu leta andiko la Bibila,. Huna andiko unaleta upumbavue eti tutafanya mashindano ya mistari ya Biblia wakati huna Andiko.
Kwa jinsi ulivyomweupe, unawayawaya tu ili mradi ubishe na kuanza kkuhoji watu "je wewe ni mtakatifu",? Pumbavu kabisa linakimbia agenda iil mradi libishane tu.
Na kwa kuwa huna kiwango, unaandika kipumbavue pumbavue sana tu eti "kama una akili", wewe bwana ni hovyo. Hujui kujadili ila unajua k ubisha. Sitaki kupoteza muda wangu na makelele yako yasiyokuwa na kchwa wala miguu. Ukitaka kuzungumza na mimi, baki kwenye mada, fafanua hoja ndani ya mada na uwe na references. Vinginevyo, ishia.